William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #21
Naona haukuwa makini kusoma taarifa ya dr na mahojiano yake na kituo cha Runinga cha chanel 5.Dr alimtaka Nape apeleke ushahidi kuwa kadi imelipiwa ofisi gani na lini,acha ukilaza......
- Nah sijawahi kusikia anakanusha bro, mbona ya kuwa na kadi alisema wazi na wote tumesikia na kusoma magazetini, hili la kulipia kadi hajakanusha ni wakati muafaka sasa akakanusha kwamba hajawahi kulipia kadi yake ya CCM, ili apewe risiti zake!1
le mutuz