Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

Dr. Slaa & CHADEMA Must Come Clean Now! or Else!!

Naona haukuwa makini kusoma taarifa ya dr na mahojiano yake na kituo cha Runinga cha chanel 5.Dr alimtaka Nape apeleke ushahidi kuwa kadi imelipiwa ofisi gani na lini,acha ukilaza......

- Nah sijawahi kusikia anakanusha bro, mbona ya kuwa na kadi alisema wazi na wote tumesikia na kusoma magazetini, hili la kulipia kadi hajakanusha ni wakati muafaka sasa akakanusha kwamba hajawahi kulipia kadi yake ya CCM, ili apewe risiti zake!1

le mutuz
 
- Ndio tatizo letu kubwa Africans, huwa tunadharau sana mambo flani na kuyaita madogo ukweli ni kwamba record inajiweka wazi hapa kwamba Slaa akipewa Uongozi wa Jamhuri atakuwa ni Kiongozi wa namna gani na Chadema pia mkipewa uongozi wa Jamhuri mtakuwa ni watawala wa namna gani, mtakuwa mnaoena wadogo tu na kuwaacha wakubwa kwa visingizio kwamba ni mambo madogo!!

- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje? Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!!

le mutuz

........

Mkuu una maana kuwa yeye ni mwanachama wa CCM?
attachment.php

Hili sharti la kutoka uanachama unapojiunga na chama cha upinzani unasemaje?
 
- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje? Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!! le mutuz ........

Hawezi kuwa raisi wa mataahira kama wa CCM.
 
Mkuu una maana kuwa yeye ni mwanachama wa CCM?
attachment.php

Hili sharti la kutoka uanachama unapojiunga na chama cha upinzani unasemaje?

- I mean ukiwa na kadi ya chama kingine cha siasa na unailipia kila mwezi si unakuwa mwanachama wa kile chama au?

le mutuz
 
- Alianza Mheshimiwa Nape kwa kusema kwamba Dr. Slaa anayo kadi ya CCM, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba DR. Slaa amekuwa akiilipia Kadi yake ya CCM kila Mwezi, akiwa na maana hata Mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa Chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye Uongozi wao wa Taifa na Mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu Chadema wamefukuza the so called Mamluki, sasa kama kina Slaa wanaachiwa ina maana Chadema ikishika Taifa kutakuwa na Sheria mbili, moja ya Slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

LE MUTUZ - THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA.

Mzee unanikumbusha enzi za Mrema 2005 wakati anaenda kuchukua/kurudisha form ya Kugombea Urais. Alikwenda amevaa Joho huku akisema CCM wanamtishia Degree, sasa ndo hiyo kaipata sasa. My point is; Pamoja na kufail and we all know you failed, Unakuja kututishia hapa JF kwa kuweka avatar picture/photo ya Kijoho!?!?
 
- Ndio tatizo letu kubwa Africans, huwa tunadharau sana mambo flani na kuyaita madogo ukweli ni kwamba record inajiweka wazi hapa kwamba Slaa akipewa Uongozi wa Jamhuri atakuwa ni Kiongozi wa namna gani na Chadema pia mkipewa uongozi wa Jamhuri mtakuwa ni watawala wa namna gani, mtakuwa mnaoena wadogo tu na kuwaacha wakubwa kwa visingizio kwamba ni mambo madogo!!

- Katibu Mkuu mzima wa Chama cha Ukombozi, amegombea mpaka Urais na bado anataka kugombea tena leo anakutwa na kadi ya CCM, mnajaribu kila njia kumtetea je akiwa Rais itakuwaje? Kwenye hili Chadema mnatungusha sana Taifa hili, kama Slaa ana kadi ya CCM na anailipia basi hafai kuwa kiongozi wa Taifa huko Chadema wala Jamhuri na inaleta maswali magumu sana kama kweli mpo serious na kushika Taifa!!

le mutuz
Kwani Jumanne alikuwa mtu wa namna gani?
 
Wewe bwana mdogo William, sisi wakazi Wa London tunajua unaposema kuwa una Bomu la Kiongozi aliyetaka kubaka unamlenga nani!! Hayo yalishazungumzwa hapa JF soma kumbukumbu. Hayana mshiko.
Sasa unaweza kutueleza kwa nn Nape amekimbia maswali leo?
Operation fukuza itaendelea maana na sisi tuna makachero CCM,
Hivi kwa nini hujiulizi tunajuaje mbinu zenu kirahisi. Tumewaweza!!
 
- alianza mheshimiwa nape kwa kusema kwamba dr. Slaa anayo kadi ya ccm, Dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then mh. Nape akaongeza tena kwamba dr. Slaa amekuwa akiilipia kadi yake ya ccm kila mwezi, akiwa na maana hata mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya ccm.

- mpaka leo dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa chadema na dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye uongozi wao wa taifa na mamluki, hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu chadema wamefukuza the so called mamluki, sasa kama kina slaa wanaachiwa ina maana chadema ikishika taifa kutakuwa na sheria mbili, moja ya slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

le mutuz - the king of all bongo network social media.
........


Mkuu umekuwa kimya muda mrefu sana,tukadhani umerudi new york city kwa wajanja!!!
 
- alianza mheshimiwa nape kwa kusema kwamba dr. Slaa anayo kadi ya ccm, dr. Slaa akamjibu kwamba ni kweli anayo, and then Mh. Nape akaongeza tena kwamba dr. Slaa amekuwa akiilipia kadi yake ya CCM kila mwezi, akiwa na maana hata mwezi uliopita ameilipia, na yupo tayari kuonyesha risiti za Dr. Slaa akilipia kadi yake hiyo ya CCM.

- Mpaka leo Dr. Slaa hajakanusha wala kukubali kwamba huwa anailipia kadi yake, huu ni wakati muafaka sasa chadema na Dr. Slaa wakakanusha au kukubali, ama sivyo inaweka wingu kubwa sana kwenye uongozi wao wa taifa na mamluki.

Hasa ukizingatia kwamba ni majzui tu chadema wamefukuza the so called mamluki, sasa kama kina slaa wanaachiwa ina maana chadema ikishika taifa kutakuwa na sheria mbili, moja ya slaa na nyingine ya wananchi wa kawaida?

le mutuz - the king of all bongo network social media.

.......

Mbona unawaza kwa kurudi nyuma mkuu, kichwani uko sawa kweli ama maumivu ya kunyimwa nafasi ya uongozi kwa CCM bado hayajaisha...
 
- I mean ukiwa na kadi ya chama kingine cha siasa na unailipia kila mwezi si unakuwa mwanachama wa kile chama au?

le mutuz.......

Sheria si zipo? Mpelekeni Mahakamani. Kama kuna kosa litajulikana huko. Tafuteni sababu nyingine.
 
mbona unawaza kwa kurudi nyuma mkuu, kichwani uko sawa kweli ama maumivu ya kunyimwa nafasi ya uongozi kwa ccm bado hayajaisha...

........

- Nah sitaki kuamini kwamba huko Chadema mna maumivu ya kukosa uongozi wa Taifa au?

le mutuz
 
Hivi mtu mzima mwenye akili timamu unaweza jiita "THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA"Kweli mzee malecela amekula hasara.
 
Hivi mtu mzima mwenye akili timamu unaweza jiita "THE KING OF ALL BONGO NETWORK SOCIAL MEDIA"Kweli mzee malecela amekula hasara.

- Lakini hana kadi ya Chadema, the ishu hapa ni Dr. Slaa mpaka leo kwa nini hajakanusha au kukubali kwamba anailipia kadi yake ya CCM?

le mutuz
 
Hili jamaa mimi huwa nalidharau sana. Akili ya kushikiwa kabisa, we mtu uliyeshindwa hata kupata alama D tatu kwenye mtihani wa kidato cha nne ndo upange mipango ya kumdondosha Dr Slaa. Hiyo ni akili ya fisi kufuatilia mkono wa mlevi kwamba huenda mkono ukadondoka. This is Shit...

Habari ya kadi imeisha expire, kama ilivyo expire ya wewe kumtukana Kikwete kwenye mtandao wa Ze Utamu
 
Ila jamani usomi unadhalilishwa sana hapa nchini, eti mtoa hoja na yeye ni graduate si unaona mavazi yake au amevaa tu? Leo hii anaongelea hoja ya kipuuzi kama hii duh. Kwenye CCM huyu ni kijana sio? Vijana wa CCM tumieni muda mwingi kufikiria namna ya kujenga chama chenu na si kuifuatafuata Chadema. Wananchi wa siku hizi tunaona. Kama alivyosema msemakweli, jibuni hoja hizo vinginevyo forget 2015
 
Back
Top Bottom