Bob Lee Swagger
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 1,362
- 519
Hatua nzuri sio Dr Slaa kukanusha umiliki na ulipiaji wa kadi ya CCM. Hatua nzuri ni "kumfukuza" uanachama wa CCM Dr Slaa kwenye mkutano wa hadhara kwa kuwa amekuwa akiitesa sana CCM na viongozi wake kwa kuwaumbua na kuwadhalilisha hadharani. Tena mumrudishie na hizo ada zake hata kwa M au TigoPesa. Naisubiri kwa hamu hiyo siku.
Mkuu WildCard, wewe si uliuliza hivyo, sasa hebu ona huyu jamaa alivyojibu..
- So mnawaonea dagaa kumbe gombe mnaogopa? Mnawafukuza watoto wadogo wasio na makosa lakini wakubwa kina Slaa mnawaogopa? Sasa mkishika nchi itakuwaje?
le mutuz
Sijui kama hata umeelewa alichoandika WildCard hapo juu, ukakurupuka kujibu tu..
Mwenye hasara sio wewe bali wale wanaotegemea uwaongoze!!