Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

ukiona umekataliwa rudi tu kwenye ccm haina haja ya kuja na hoja za kitoto kama hizi. ni aibu kwa mtu kaka huyu kutioa maneno ya kijinga na alikuwa mwanachama wa chadema kwa muda mrefu leo hii ndio anakuja na sera zisizo na mashiko fikiri kabla ya kusema

Wakiambiwa ukweli kwamba wao ni mamluki wanabisha. Kwani lazima awe katibu wa mkoa hata kama utendaji wake hauridhishi? Kama sio mamluki kwanini asitulie tu kama wanachama wengine? Kwani wangapi wamevuliwa uongozi lakini bado ni waaminifu kwa chama chao?

Imeshafahamika kwamba yuko njiani kufuata nyayo za mamluki mwenzake aliyekuwa mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya Sambwee Shitambala kwahiyo aende tu haya majitaka anayojaribu kutapisha mtaani watu wanamuona kwa macho yote.

Kama kazi aliyokuwa ametumwa hajaikamilisha awaeleze tu ukweli watamuelewa na kumkabidhi majukumu mengine.

Muhimu ni gambaz watambue kwamba Chadema inazidi kuwa imara na thabiti sasa kuliko huko tulikotoka, na haturudi nyuma kamwe!
 
Dr. Slaa awe na kadi asiwe na kadi ya CCM hilo halituhusu,Tunachojua Dr.Slaa ndiye mkombozi wa Taifa hili.full stop.
 
Mtapiga sana kelele na kuokoteza sababu ila fimbo zitaendelea hadi pumzi yenu ya mwisho,endeleeni kui publicize CHADEMA

kumtetea babu katika hili kunahitaji uwe na akili ya panzi!
na ubongo wa kuku tena aina ya tetea.
hahaaaaa mwambieni babu anawezaaaa iyo iyoooooo anaweza sanaaaaaaaaa kuwa mwanachama wa vyama viwili anawezaaaaaaaaa iyo iyooooo anaweza sanaaaaa.
 
nasikia nape yupo njiani kuelekea mtaa wa ufipa kinondoni kwenda kubeba mzigo wao wa misumari.
 
Mimi ni mgeni humu jamvini, lakini naomba wanaJF mniruhusu nichangie kidogo huu uzi kama ifuatavyo-

Ndugu Edo Mwamalala, napenda nikuulize swali dogo tu, mtu kumiliki kadi ya ccm ndio indicator ya kupima kuwa ni mamluki wa CCM? Matendo ayafanyayo mtu katika kukiendeleza na kukiimaisha chama ndio kiwe kipimo.

Kumbuka kuwa majority ya wanachama wa vyama vya upinzani wametokea chama tawala na hivyo kuna uwezekano mkubwa wengi wao, MIMI nikiwa mmoja wao bado tunazokadi za ccm. Lakini ni wanachama wafu. Huenda hata wewe bado una kadi za chama cha kijani kama vile kadi ya umoja wa vijana nk. Mimi kwa upande wangu hata sikumbuki niliihifadhi wapi hiyo kadi ya kijani na huenda imeshaliwa na panya au mende! Ila kadi yangu ya chama kitukufu cha sasa(CHADEMA) ndio iko kwenye waleti yangu na ndio ninailipia ada za uanachama.

Hata huyo mpuuzi Nape anamilki kadi ya CCJ na kadi ya ccm, hivyo apuuzwe. Mamluki wa CCM ndani ya CHADEMA utawagundua kwa matendo yao ya kujipendekeza kwa JK na CCM kama wafanyavyo ZITTO na SHIBUDA. Dr Slaa amefanya mengi katika kuimarisha CHADEMA. Kwa sasa CDM imefungua kata, matawi na mashina mengi sehemu mbalimbali nchini tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma. Maendeleo hayo yanawapata kiwewe magamba ndio sababu kila kukicha hawaishi kumtafutia kashfa Dr. Slaa.

Lakini wameshachelewa kwani current more than 55% ya Watanzania wameshatambua kuwa CCM ni pumba na CHADEMA ni mchele. 2015 Kura za Urais, Ubunge, Udiwani ni kwa CHADEMA.

Mwisho kabisa naomba WANACHADEMA makini tusiyumbishwe na magamba akiwemo NAPE. Dr. Slaa anawanyima usingizi hawa magamba, usiku kucha hawalali bali nikumuwaza Dr. wetu wa ukweli. Big up sana Dr. Slaa na WANACHADEMA!!!

umechangia kishabiki tu...nyie wanachama wa vyama hivi kazi mnayo.
Wakina sie tuko in a freestyle mode ,yaani tunachangia for funny pale tunapojisikia na kama namna tu ya kupass time.
Sasa wewe umesema nape bado anayo kadi ya CCJ .tena kwa uhakika kabisaaa.
Kwani huyo NAPE UNAISHI NAE PAMOJA hadi uwe na uhakika huo.
 
Akili chafu huyu ! kwa Dr. slaa, hiyo ni souvenir. Tunaangalia matendo na si vinginevyo.
 
kumtetea babu katika hili kunahitaji uwe na akili ya panzi!
na ubongo wa kuku tena aina ya tetea.
hahaaaaa mwambieni babu anawezaaaa iyo iyoooooo anaweza sanaaaaaaaaa kuwa mwanachama wa vyama viwili anawezaaaaaaaaa iyo iyooooo anaweza sanaaaaa.
Wewe ndiye mwenye akili ya panzi hujui hata katiba ya chama unachotetea inasemaje kuhusu uanachama:

Nikupe shule ya katiba ya CCM juu ya uanachama:
(1) Mtu akikubali kuwa Mwanachama itabidi atekeleze haya yafuatayo:-
(a) Atatoa kiingilio cha Uanachama
(b) Atalipa ada ya Uanachama kila mwezi isipokuwa kama akipenda anaweza kulipa ada ya mwaka mzima mara moja.
(c) Atatoa michango yoyote itakayoamuliwa

(2) Viwango vya kiingilio, ada na michango vitawekwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.
(3) Uanachama wa mwanachama utakwisha kwa:-
(a)Kufariki.
(b)Kujiuzulu mwenyewe.
(c)Kuachishwa kwa mujibu wa Katiba.
(d)Kufukuzwa kwa mujibu wa Katiba.
(e)Kutotimiza masharti ya uanachama.
(f)Kujiunga na Chama kingine chochote cha siasa.

(4) Mwanachama ambaye uanachama wake unakwisha kwa sababu yoyote ile hatarudishiwa kiingilio alichokitoa, ada aliyotoa wala michango yoyote aliyoitoa.
 
- Finally, tunaona vijana wenye gutts wanaanza kujitokeza kuliko tunaojiita Great Thinkers, kazi kutetea mediocre, unaona huyo mwanaume amejitokeza tena bila kuogopa kwamba Slaa kuwa na kadi ya CCM ni out of the line, inamuondolea Moral Authority ya kuongoza Mapinduzi au chama cha Wakombozi!

- Ni hoja ambayo haiendi kokote pamoja na matusi mengi sana tena ya kizamani, ukweli ni kwamba Slaa arudishe kadi yake ya CCM publicly kama alivyotangaza kuwa anayo!

Es!
Kweli mkuu watatafuna hilo fundo la Slaa na kulimeza.
Unafiki una mwisho.
 
kwani we unadhani mbowe hajui kwamba babu baba slaa ni kimeo?
acheni kujiuma uma hapa babu kaingia choo cha vijana ilihali akijua wazi kwamba yeye umri umeenda.
jibuni hoja babu ana kadi mbili ni mamluki ndani ya chadema,ni askari wa kukodi analipwa kwa kazi ya ukombozi.
ni mganga njaaaa.
angekuwa ni rais wetu zitto hapa je mngemtetea hivi?
masikini zitto una damu ya kunguni kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
slaa mnasema kanya,ila angekuwa zitto kaharisha hahaaaaa chadema bwana!
hivi kilichokuwa kinamfanya awe anachoma kadi za wenzie wakati yeye kampa mshumbusi aiweke kwenye mkoba wake ni nini?
Watu wanamwangalia mamluki kwa mambo haya:

1. Je Slaa anafanya kazi zenye maslahi kwa Chadema? Jibu ni ndiyo na ndio maana anaandamwa na CCM.

2. Je CCM wanafaidika chochote kisiasa kwa uwepo wa Slaa Chadema? Hapana, kwa kweli Slaa anaiumiza kichwa CCM, ndio maana siasa za maji taka haziishi.
 
- Brother haya ni maneno ya kutetea mediocre ni hatari sana kwa Taifa mnalotaka kulikomboa, Slaa ana lkadi ya CCM airudishe now, maana inamuondolea Moral Authority ya kuongoza na until this problem is solved, ni vigumu sana kwake kuja na National Agenda mpya au ya zamani!!

Es!......

Unawaza chini ya kiwango, wewe unasifika kwa utapeli wako wa mtandao, una "moral authority" ipi ya kutoa hukumu dhidi ya Dr. Slaa? au mtu akiachana na chama fulani na akaamua kuiweka kadi yake kwenye maktaba yake kwa ajili ya kumbukumbu, hapo ubaya upo wapi?

Tatizo lako wewe na vibarua wenzako wa Nape mnakariri mambo kama mazuzu bila hata kufikiri. Hivi Dr. Slaa anaye tunza kadi ya chama alichokihama na Kinana anaye nufaika na ujangili ni nani hatari kwa watanzania?
 
m
- facts:- mh. Nape kasema slaa ana kadi ya ccm, slaa amejibu ni kweli, nape amesema slaa anailipia kadi yake all the times, slaa hajajibu so anasubiriwa ajibu akikataa aonyeshwe risiti zake ambazo amekuwa kilipia kadi yake ya ccm!!

Es!........

kwa nini basi CCM wasimfukuze huyu mwanacha msaliti...nikweli mko tayari kuendelea kuwa na mwanacha anaekibomoa cha kuanzia kaskazi hadi kusin,mashariki hadi magharibi?...mkiambiwa mnaakili za samaki sijui kwa nini mnakasirika?...
 
Ama kweli ukistaajabu ya musa utaona ya filauni, kumbe cdm iko vizuri na inaenda vizuri maana mti wenye matunda matamu kwa

walaji ndio hupopolewa mawe. (Endeleeni kulusha mawe kwa chadema, maana mnasaidia sana kuenea kwake)
 
kinachonitatiza kwenye hili ni kwamba, ALIYETOA SHUTUMA ZA KADI YA DR. SLAA NI NAPE AMBAYE YEYE ALIKUWA ANAANZISHA CHAMA CCJ NA WAKATI YUPO CCM sasa kati ya hao nani mnafiki? Na nadhani kila mtu anajua kwamba Dr. Slaa alikuwa ni mwanachama wa ccm
 
Inasitikitisha jinsi watanzania tulivyo kuwa wepesi wa kuamini uwongo wa wazi, hata tunajadili kwa kireeefu.
Huu si ni upuuzi!! Tafadhali tukasome Katiba iliyopo tuikosoe na kupendekeza mambo yatakayoisaidia nchi miaka ijayo achana na walevi wa siasa za ccm.
 
- Finally, tunaona vijana wenye gutts wanaanza kujitokeza kuliko tunaojiita Great Thinkers, kazi kutetea mediocre, unaona huyo mwanaume amejitokeza tena bila kuogopa kwamba Slaa kuwa na kadi ya CCM ni out of the line, inamuondolea Moral Authority ya kuongoza Mapinduzi au chama cha Wakombozi!

- Ni hoja ambayo haiendi kokote pamoja na matusi mengi sana tena ya kizamani, ukweli ni kwamba Slaa arudishe kadi yake ya CCM publicly kama alivyotangaza kuwa anayo!

Es!

Acha jazba kadi nini bwana umamruki wa mtu hautokani na kuwa na kadi ya ccm unaweza kuwa mamluki bila kadi. ebu jiulize matendo na maneno ya slaa yanaonyesha kuwa yeye ni mamluki.

Maalim seif nae mamluki hana kadi ya ccm lakini anashirikiama na ccm hadi kwenye serikari acheni kutuondoa ktk mapambano mnazusha isue tusaham mapa? bano yetu.

Toeni majibu ya matatizo yetu ipi dhambi kubwa kuwa kadi ya ccm au EPA, Richmond, Rushwa, Umaskini wa watanzania,Mabilioni ya uswis kuwa makini JF kuna watu wenye akili zao ila mkiingia nyinyi na itkadi zetu mnlewa vyama vyenu.

Nyie ndo wababaishaji ilishajitoa huko mnapokeaji michango yake mmezoea wizi hata wa ada ya 1000.
 
Huyo jamaa kazoea kuiba na souvenir za watu wengine!
Awarudishe wake za watu.

Ukikubali kuibiwa mke ni kudhihirisha kwamba wewe mwenyewe ndio msingi wa tatizo la mkeo. Kama ni lawama unazibeba mwenyewe.

Btw Sijawahi kuona ama kusikia mtu mwenye akili timamu anasema ameibiwa mke wake. Hata hivyo mtu mwenye akili timamu naye hawezi kudai kwamba mke wa mtu anaweza kuibiwa!
 
Hii imekuja baada ya "Tamko la CCM walilolitoa Dodoma"!Kwa bahati nzuri namjua mno Mwamalala kwani natoka nae kijiji kimoja na najua tabia zake!Kimsingi CHADEMA tuliisha waonya kuhusu huyu jamaa kwani ni mtu wa njaa sana na nina uhakika wa 100% kaisha vuta"mpunga"toka CCM!Mwamalala ni mtu wa hovyo hovyo na aliye tayari kufanya lolote ukimuonyesha pesa!

Kimaadili kuwa na kadi mfu SIO DHAMBI wala KOSA lkn kulipia kadi 2 za vyama tofauti ni kinyume sana na maadili na kama Dr Slaa angefanya hivi CCM wasingekubali awahenyeshe vibaya kwenye uchaguzi wa 2010 kwani wangetundika tu malipo ya kadi yake hadharani uchaguzi ungekwisha!

Kimsingi CCM wanajaribu ku diverge issues ili watz wasiwahoji why wameshindwa ku deliver!Le mutuz;Field Marshal ES na Nape;Azimio lenu la Dodoma mmekurupuka sana na mnaonekana ma-mbumbumbu mbele za wajuvi!
 
mkuu ... kwa heshima unaonaje ukarudi tuu huko ulikokuwa US ukaendelea kuendesha malori ....

Amakweli usilolijua ni kama usiku wa kiza mkuu awali nilikuwa namuheshimu sana huyu jamaa kwa hoja zake lakini baada ya kumjua ni mtu wa aina gani nimemdharau sana

Nakukumbuka kunawakati alianzisha mada huku akawanatumia ids mbili hii anayoitumia na ya Willy na kujifanya kama ni watu wawili tofauti hapo ndiyo nikajua huyu hana akili hata kidogo.
 
Kweli nimeamini maneno ya Amani Karume kwamba magamba yana akili za samaki!!

Kwamba wanajivunia Dr. Slaa kumiliki kadi ya ccm na wakati huo huo akiwa Katibu Mkuu wa Chadema anayewanyima usingizi lakini hawajawahi kuthubutu kutangaza/kukiri hadharani kwamba amevunja masharti ya katiba yao na hivyo kumchukulia hatua za kinidhamu na kikatiba!
 
Back
Top Bottom