Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

- Finally, tunaona vijana wenye gutts wanaanza kujitokeza kuliko tunaojiita Great Thinkers, kazi kutetea mediocre, unaona huyo mwanaume amejitokeza tena bila kuogopa kwamba Slaa kuwa na kadi ya CCM ni out of the line, inamuondolea Moral Authority ya kuongoza Mapinduzi au chama cha Wakombozi!

- Ni hoja ambayo haiendi kokote pamoja na matusi mengi sana tena ya kizamani, ukweli ni kwamba Slaa arudishe kadi yake ya CCM publicly kama alivyotangaza kuwa anayo!

Es!

simply your are '419'
 
S
- facts:- mh. Nape kasema slaa ana kadi ya ccm, slaa amejibu ni kweli, nape amesema slaa anailipia kadi yake all the times, slaa hajajibu so anasubiriwa ajibu akikataa aonyeshwe risiti zake ambazo amekuwa kilipia kadi yake ya ccm!!


Es!
sasa tumefika kutaka kumchokoza Dr, Hamtamuweza huyo. Nape akili ndogo, atajiumbua
 
Kila mtu anajua kuwa kabla Dr. Slaa hajajiunga na CHEDEMA alikuwa mwanachama wa CCM akiwa na kadi, sasa cha ajabu hapa ni nini? ni kitu gani kinampotezea "moral authority"? CCM wenyewe wanajua kabisa kwamba Dr. Slaa sio mwanachama wao tena! hata wewe pamoja na akili yako kuwa ndogo bado unajua kwamba Dr Slaa sio mwanachama wa CCM!

- Brother haya ni maneno ya kutetea mediocre ni hatari sana kwa Taifa mnalotaka kulikomboa, Slaa ana lkadi ya CCM airudishe now, maana inamuondolea Moral Authority ya kuongoza na until this problem is solved, ni vigumu sana kwake kuja na National Agenda mpya au ya zamani!!

Es!
 
kaaa kweli jk kawaloga vibaya na mkipona lazima mue machzi! hongera kwa kujinafkisha kaka mkubwa ukiona yote yanakutoka ujue nduguzako magamba wamesha ku alert kua maji yameshafika shngoni! pole kaka ***** nazi!
 
Mimi ni mgeni humu jamvini, lakini naomba wanaJF mniruhusu nichangie kidogo huu uzi kama ifuatavyo-

Ndugu Edo Mwamalala, napenda nikuulize swali dogo tu, mtu kumiliki kadi ya ccm ndio indicator ya kupima kuwa ni mamluki wa CCM? Matendo ayafanyayo mtu katika kukiendeleza na kukiimaisha chama ndio kiwe kipimo.

Kumbuka kuwa majority ya wanachama wa vyama vya upinzani wametokea chama tawala na hivyo kuna uwezekano mkubwa wengi wao, MIMI nikiwa mmoja wao bado tunazokadi za ccm. Lakini ni wanachama wafu. Huenda hata wewe bado una kadi za chama cha kijani kama vile kadi ya umoja wa vijana nk. Mimi kwa upande wangu hata sikumbuki niliihifadhi wapi hiyo kadi ya kijani na huenda imeshaliwa na panya au mende! Ila kadi yangu ya chama kitukufu cha sasa(CHADEMA) ndio iko kwenye waleti yangu na ndio ninailipia ada za uanachama.

Hata huyo mpuuzi Nape anamilki kadi ya CCJ na kadi ya ccm, hivyo apuuzwe. Mamluki wa CCM ndani ya CHADEMA utawagundua kwa matendo yao ya kujipendekeza kwa JK na CCM kama wafanyavyo ZITTO na SHIBUDA. Dr Slaa amefanya mengi katika kuimarisha CHADEMA. Kwa sasa CDM imefungua kata, matawi na mashina mengi sehemu mbalimbali nchini tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma. Maendeleo hayo yanawapata kiwewe magamba ndio sababu kila kukicha hawaishi kumtafutia kashfa Dr. Slaa.

Lakini wameshachelewa kwani current more than 55% ya Watanzania wameshatambua kuwa CCM ni pumba na CHADEMA ni mchele. 2015 Kura za Urais, Ubunge, Udiwani ni kwa CHADEMA.

Mwisho kabisa naomba WANACHADEMA makini tusiyumbishwe na magamba akiwemo NAPE. Dr. Slaa anawanyima usingizi hawa magamba, usiku kucha hawalali bali nikumuwaza Dr. wetu wa ukweli. Big up sana Dr. Slaa na WANACHADEMA!!!
 
Ninachoshangaa ni pale mwandishi anaposema wanachama wa CHADEMA lakini mwanzo mpaka mwisho inatolewa habari ya mtu mmoja tu, huu ni uandishi wa kijinga sijawahi ona, na pia kama amesimamishwa uanachama, nadhani ilikua busara kwa mwandishi kuwatafuta wanachadema ambao ni neutral kupata balanced story, otherwise its poor story of the day
 
Hivi ni kwa nini zikikaribia sikukuu vichaa huwa wanaongezeka! Kuna nini hapo cha maana alokiandika huyu dogo!

Kama alisoma vizuri majibu ya dr. Slaa; haikuwepo haja ya kuendelea kuweweseka namna hii. Dr. Slaa alisema hiyo Kadi iko kwenye kumbukukumbu tu; mzee wetu ni muwazi sana - watu wa hivyo ndo tunawapenda.

Kwa mwendo huu tuanze kufuatilia mmoja mmoja; wote walowahi kumiliki kadi ya umoja wa vijana CCM walizirudisha? Kuna kipindi serikali ilikuwa inalazimisha kila mtanzania anayejiunga na masomo kuanzia O'level awe na kadi ya Umoja wa vijana, binafsi nililipia lakini kwa kuwa sikuwa na mwamko wa siasa - sikuichukua na sijui iko wapi.
 
Mimi ni mgeni humu jamvini, lakini naomba wanaJF mniruhusu nichangie kidogo huu uzi kama ifuatavyo-
Ndugu Edo Mwamalala, napenda nikuulize swali dogo tu, mtu kumiliki kadi ya ccm ndio indicator ya kupima kuwa ni mamluki wa CCM? Matendo ayafanyayo mtu katika kukiendeleza na kukiimaisha chama ndio kiwe kipimo. Kumbuka kuwa majority ya wanachama wa vyama vya upinzani wametokea chama tawala na hivyo kuna uwezekano mkubwa wengi wao, MIMI nikiwa mmoja wao bado tunazokadi za ccm. Lakini ni wanachama wafu. Huenda hata wewe bado una kadi za chama cha kijani kama vile kadi ya umoja wa vijana nk. Mimi kwa upande wangu hata sikumbuki niliihifadhi wapi hiyo kadi ya kijani na huenda imeshaliwa na panya au mende! Ila kadi yangu ya chama kitukufu cha sasa(CHADEMA) ndio iko kwenye waleti yangu na ndio ninailipia ada za uanachama. Hata huyo mpuuzi Nape anamilki kadi ya CCJ na kadi ya ccm, hivyo apuuzwe. Mamluki wa CCM ndani ya CHADEMA utawagundua kwa matendo yao ya kujipendekeza kwa JK na CCM kama wafanyavyo ZITTO na SHIBUDA. Dr Slaa amefanya mengi katika kuimarisha CHADEMA. Kwa sasa CDM imefungua kata, matawi na mashina mengi sehemu mbalimbali nchini tofauti na ilivyokuwa miaka ya nyuma. Maendeleo hayo yanawapata kiwewe magamba ndio sababu kila kukicha hawaishi kumtafutia kashfa Dr. Slaa. Lakini wameshachelewa kwani current more than 55% ya Watanzania wameshatambua kuwa CCM ni pumba na CHADEMA ni mchele. 2015 Kura za Urais, Ubunge, Udiwani ni kwa CHADEMA. Mwisho kabisa naomba WANACHADEMA makini tusiyumbishwe na magamba akiwemo NAPE. Dr. Slaa anawanyima usingizi hawa magamba, usiku kucha hawalali bali nikumuwaza Dr. wetu wa ukweli. Big up sana Dr. Slaa na WANACHADEMA!!!

- Kweli siko la kufa haliwezi kusikia dawa!!

Es!
 
Naona DUDE anache-chemea taratiiiibu. Sisi kazi yetu ni kukuchana tu, NO EXCUSE

- HAYA NI MANENO YANGU YA MWAKA 2009, YAPO VERY CLEAR OF WHAT I STOOD FOR THEN AND NOW!

Wakuu wote heshima mbele, na wakulu Mwanakijiji, Invisible, na Waberoya,

Ninaomba niseme hivi, mimi ni mwananchi M-Tanzania, ninatoka mbali sana na taifa langu hili, katika hii safari nimejionea mengi sana mazuri na mabaya. Katika siasa za sasa niliamua kwa makusudi binafsi kujiunga na kundi la kupinga ufisadi, na pia nikajiunga hapa JF ili kuendeleza mapambano hayo na kutoa mchango wangu hata kiduchu kwa ajili ya taifa langu.

Katika vita kuna kushinda na kushindwa, sina tatizo kukubali kushindwa lakini ni haki yangu kufurahi inapotokea ushindi hata kiduchu, regardless ule ushindi umekujaje au umeletwa na nani! Je leo nina furaha kwa sababu CCM imebadilika na sasa Tanzania ni safi ever? Hapana! Eti sasa katiba imebadilika hapana! Matatizo ya taifa langu yapo pale pale, lakini jana mafisadi wamepigwa kipigo kizito, tena sana. Jana kwa mafisadi ni siku ya huzuni kubwa sana kuliko hata siku Lowassa alipoondolewa kwa rushwa.

Tarime aliyeshinda ni Taifa langu, na ndio matokeo yake haya sasa yanashuka mpaka chini pole pole, sasa eti ninafurahia nini, ninafurahia kupigwa fimbo jana kwa mafisadi ambao toka Dr. Slaaa atanagaze rasmi majina yao na matendo yao maovu, tumekuwa katika heka heka kubwa ya kupigana nao, yes sometimes wanashinda, lakini na sisi wananchi walalahoi tunashinda pia, na this is one of huo ushindi.

Eti tunaishangilia CCM in general hapana, lakini pia tunakuwa samba samba with time, tunakua current with our national politics. Tarime Chadema iliposhinda tumeshangilia sana, na mimi CCM nikiwa mmojawapo sikusikia mtu hapa akinilaumu, eti ni kwa sababu Taifa litakuwa halina tatizo tena? Hapana, ila ni kwa sababu matokeo kama yale yanaweza kuwafanya CCM wakaanza kua na akili japo kidogo, na huu unaweza kuwa ndio mwanzo wenyewe.

Hapa tunashngalia uwezo wetu JF wa kuweza kupata habari nyeti, nzito, na muhimu za taifa mapema na fast kabla wananchi karibu wote wa Tanzania, hawajazipata, eti hiyo sio sababu nzito ya kua na furaha? No kwangu ni heshima kubwa sana kwetu wananchi hapa kuweza kuongoza kwa upataji habari muhimu za taifa, kama vile tulipokuwa mbele kwenye kupata habari za kipigo cha Chunya.

Sasa do I need to apologise kwa sababu ya furaha yangu kwa mafisadi kupigwa changa la macho, absolutely No! Je ninafurahia nini? Ninafurahia kitendo cha mafisadi kukataliwa nafasi ya kutuburuza na pia kutupelekewa ujumbe mzito na CCM kwamba mchezo wao finally unaanza sasa kuwaudhi hata wale waliokuwa wakiwapigia kifua. JF tumeshiriki sana kwenye huu uamuzi wa jana kwa sababu tulikwua wa kwanza hapa kwueka hata mkataba feki wa jengo la UV-CCM, ni maudhi kama yale ndio yamepelekea huu uamuzi against mafisadi.

Salaam kwa Wote tulioko mastari wa mbele dhidi ya mafisadi, na tufurahie huu ushindi mdogo huku tukielewa kwamba mapambano bado kabisaa, na huenda ndio kwanza yameanza.

Na ninaahidi kwamba tupo pamoja na sasa tunajaribu kuendelea ku-monitor yanayojiri katika huu mkutano, na ninashukuru sana kwamba the ishu hapa leo JF sio uongo au credibility ya dataz, ila ni mengine ya kawaida kwenye siasa ambayo kwa ushindi huu mdogo, tuko tayari kuishi nayo.

Mungu Aibariki Tanzania! na Tuwe na amani!

FMES Wazee wa Sauti Ya Umeme! na Soon tutakua na uptodates!
 
nadhani leo mtamuelewa vizuri sana tuntemeke.
slaa ni mamluki ndo maana haishi kuibua migogoro chadema.
hatetewi huyo ushahidi upo mpaka wa risiti kinachosubiliwa ni yeye abishe tu ukweli uwekwe hadharani.
zitto na mbowe mnatosha sana kwa ukombozi wa taifa hili huyo mamluki mfukuzeni .
kama mko serious na taifa hili.
ndo maana analipwa mshahara wakati mbowe amekijenga chama hiki kwa mamilioni na hajawahi kuyadai alipwe.
fukuzeni huyo babu ni kimeo.
hahaaaaa slaa anaweza anaweza,iyo iyooooo anaweza sanaa ,kumiliki kadi mbili anawezaaaa iyo iyooooo anaweza sanaaaa.
 
- facts:- mh. Nape kasema slaa ana kadi ya ccm, slaa amejibu ni kweli, nape amesema slaa anailipia kadi yake all the times, slaa hajajibu so anasubiriwa ajibu akikataa aonyeshwe risiti zake ambazo amekuwa kilipia kadi yake ya ccm!!

Es!



1.Mbona Mlifoji majambia ya bendera za CUF na bila aibu IGP Omar Mahita akautangazia umma wa watanzania kuwa CUF inaleta

machafuko siku moja kabla ya uchaguzi mkuu. CCM lifanikiwa kuihalibia CUF katika uchaguzi huo kwa maelezo ya uwongo na

kutungaje mtashindwa kufoji vielelezo vya ushuhuda wa uongo juu ya Dr Slaa?


2. Bila aibu wa woga ccm na polisi wametunga uwongo juu ya mauwaji ya Ally Zona Morogoro na kusema wahusika ni CDM je kitu

gani kitatushawishi tuamini kwamba risiti za malipo ya kadi ya ccm kwa Dr slaa ni ya za kweli na sio za kutunga na kuzushi?

Kunamifano mingi sana ya ccm na serikali yake kutunga uwongo ilikufanikisha malengo yake, huo ushahidi wakutunga hautabadili

mawazo na mwelekeo wa mabadiliko ndani ya vichwa vya watanzania.
 
- facts:- mh. Nape kasema slaa ana kadi ya ccm, slaa amejibu ni kweli, nape amesema slaa anailipia kadi yake all the times, slaa hajajibu so anasubiriwa ajibu akikataa aonyeshwe risiti zake ambazo amekuwa kilipia kadi yake ya ccm!!

Es!

Kuwa na kadi ya CCM si hoja maana ndio chama pekee kilichokuwepo na hasa ukizingatia kabla ya vyama vingi kadi ya CCM kwa mtu mzima yeyote ilikuwa ni lazima uwe nayo kwani ukitaka kujiunga na chuo au unataka kuingia taasisi mbambali za kitaifa ilikuwa inatumika kama reference kama vile tunavyotumia sasa hivi vitambulisho vya kupigia kura.

Back to the point; mie nadhani hoja kuu hapa ni kama kweli analipia kadi huku yupo CDM hapo ndio panatia shaka kwani pandikizi ni pandikizi tu hata kama lingerudisha kadi lakini moyo na dhamira yake bado ingebaki CCM, pia kwa upande mwingine kwa kauli ya Nape naweza sema amedhihirisha kwamba kumbe serikali ya CCM ipo kwa ajili ya kudhoofisha upinzani kwa kuweka mapandikizi kwenye vyama vya upinzani na si kujenga uwanja huru wa demokrasia ili kila mtu awe na haki ya kujiunga na chama cha siasa anachopenda (ameonyesha kwamba wanamapandikizi mengi kwenye vyama vya upinzani na wanaruhusu hii kwenye chama ndio maana akatoa kauli hii Slaa anairipia kadi yake)
 
Ndugu wanachama wa cdm mapambano yameeanza mtoa maada ni gamba namba one,,je ni mpaka mtu akose cheo ndo aanze slaa analipwa hela nyingi ,,sijui ana kadi ya ccm ..anajua makubaliano ya cdm na dr sec..tunachoangalia ni ufanisi hata akilipwa biliion mradi image ya cha cdm iko juu we dont care!!najua umetumwa na nepi utakula jeuri yako..sisi makamanda hatusikilizi majungu.hizo ni kazi za kina mama..imekula kwako,,thread yako haiana mashiko.dhaifu wewe...shame on you
 
nadhani leo mtamuelewa vizuri sana tuntemeke.
slaa ni mamluki ndo maana haishi kuibua migogoro chadema.
hatetewi huyo ushahidi upo mpaka wa risiti kinachosubiliwa ni yeye abishe tu ukweli uwekwe hadharani.
zitto na mbowe mnatosha sana kwa ukombozi wa taifa hili huyo mamluki mfukuzeni .
kama mko serious na taifa hili.
ndo maana analipwa mshahara wakati mbowe amekijenga chama hiki kwa mamilioni na hajawahi kuyadai alipwe.
fukuzeni huyo babu ni kimeo.
hahaaaaa slaa anaweza anaweza,iyo iyooooo anaweza sanaa ,kumiliki kadi mbili anawezaaaa iyo iyooooo anaweza sanaaaa.

Mtu hafukuzwi kwa matashi ya kauli za wanasiasa wasio wanachama wa cdm kama nape wala kutoka kauli za watovu wa nidhamu kama MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chadema, Katibu wa Chadema mkoa wa Mbeya ambaye amesimamishwa kwa kudaiwa kuwa mamluki wa CCM, Edo Mwamalala
 
nadhani leo mtamuelewa vizuri sana tuntemeke.
slaa ni mamluki ndo maana haishi kuibua migogoro chadema.
hatetewi huyo ushahidi upo mpaka wa risiti kinachosubiliwa ni yeye abishe tu ukweli uwekwe hadharani.
zitto na mbowe mnatosha sana kwa ukombozi wa taifa hili huyo mamluki mfukuzeni .
kama mko serious na taifa hili.
ndo maana analipwa mshahara wakati mbowe amekijenga chama hiki kwa mamilioni na hajawahi kuyadai alipwe.
fukuzeni huyo babu ni kimeo.
hahaaaaa slaa anaweza anaweza,iyo iyooooo anaweza sanaa ,kumiliki kadi mbili anawezaaaa iyo iyooooo anaweza sanaaaa.

Hapo nilipobold, TUJENGE TABIA YA KUFICHUA MAOVU BILA KUTISHIA, KAMA VIONGOZI WAKUU WA KISIASA WANAENDESHA SIASA ZA NAMNA HII HATUWEZI KUFIKA KWANI KAMA USHAHIDI UPO WEKA HADHARANI BILA KUTISHIA. Hii ina affect wananchi wa kawaida kwa kuona kumbe ni utaratibu wa kawaida tu huu
 
Back
Top Bottom