Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Dr. Slaa bado anayo kadi ya CCM?

Mods naomba muondoe huu upuuzi humu sisi watanzania tuko ktk lindi kubwa la umaskini huu ni upuuzi kwasababu najiuliza ni lini CCM walirudisha zile kadi za CHADEMA walizochukua ktk mkutano wao wa mwisho pale Jangwani kutoka kwa waliokuwa wanachama wa Chadema
 
- Finally, tunaona vijana wenye gutts wanaanza kujitokeza kuliko tunaojiita Great Thinkerso, kazi kutetea mediocre, unaona huyo mwanaume amejitokeza tena bila kuogopa kwamba Slaa kuwa na kadi ya CCM ni out of the line, inamuondolea Moral Authority ya kuongoza Mapinduzi au chama cha Wakombozi!

- Ni hoja ambayo haiendi kokote pamoja na matusi mengi sana tena ya kizamani, ukweli ni kwamba Slaa arudishe kadi yake ya CCM publicly kama alivyotangaza kuwa anayo!

Es!

Guts baada ya kufukuzwa? Hoja ya kadi haina mashiko ni kutaka tu ku diverge atttention za watu. Na wewe unaywshabikia upuuzi huu nakuonea huruma. Huyo kijana kishafukuzwa atulie sio kutupigia makelele hapa, siku zote alikuwa wapi?
 
Hichi kibabu huwa siku zote namwona kama mganga njaa tu.Na masharti yake ya kulipwa Kama mbunge endapo akikosa Urais.
 
Hivi kadi za chama zikirudishwa anakaa nazo nani? Yeye kama katibu ndiye mtendaji mkuu wa chama, mtunza kadi zote za magamba zinazorudishwa je yakwake kwann asitunze na nyingine? Kadi ikikaa kwa miezi 3 bila kulipiwa si mwanachama tena. Kuhangaika na Dr. Kwa hoja dhaifu ni ujinga fikirieni wazee wa East Africa kuwalipa, kwann gesi isibaki mtwara itoe huko ajira za kutosha wamachinga waache kukimbilia mjini? Edo umepoewa sh.ngapi? Usiwe kama kondom ukishatumika watu hawakutaki tena, watch out.
 
Cdm kinaongozwa kibabe na watu wachache! ingekua hyo kadi anayo Zitto sijui huyo babu angesemaje!
 
Hichi kibabu huwa siku zote namwona kama mganga njaa tu.Na masharti yake ya kulipwa Kama mbunge endapo akikosa Urais.

Kumshagaa Dr slaa mnaweza kwa hoja mfu zisizo na tija kwa taifa, mambo ya msingi nayenyetija kwa taifa hamuyaon!!!!!!!!

1. Kushangaa vijisenti vya chenge hamuwezi

2. Kushangaa mikataba ya mabilion yalipwayo kila mwezi IPTL hamuwezi

3. Kushangaa kada wa ccm Kutengeza kisha kusuply Dawa feki za Ukimwi mbazo maisha ya watu kupotea ndio grama yake ....

Ni watu wenye fikra za kifisadi tu ndiyo hushangaa kwa utaratibu huu.
 
Kuzungumzia mambo ya chama kingine kuacha kuzungumzia mambo ya chama chako na utawala dhaifu ni dalili nzuri za mwisho wa fikra. Lakini si ajabu, kwani kama Chadema ni tawi la CCM mbona msimuondoe huyo Slaa anaewakera ili mfanye ufisadi kwa kwenda mbele.

Kwa wenye akili tunajua mnataka kuline up safu yenu ya kuendeleza utawala dhaifu wa kifisadi kwa hoja kama yako ya kipuuzi.
 
Cdm kinaongozwa kibabe na watu wachache! ingekua hyo kadi anayo Zitto sijui huyo babu angesemaje!

Unauhakika Zito hana kadi ya chama chochote kwa maana ya kadi ya mwanachama mfu?

Huwezi kumsemea mtu kwa maana huwezi kuyajuwa matendo yake ndani ya moyo wake! kadi isiolipiwa ni sawa na karatasi lolote

chafu lisilo na maana katika matumizi, mtu yeyote anaweza kulimiliki.
 
wakati mbowe amekijenga chama hiki kwa mamilioni na hajawahi kuyadai alipwe.
fukuzeni huyo babu ni kimeo.

Wanasema ukiwa muongo uciwe msahaulifu.. Mlishakuja na uzi hapa kwamba Mbowe amewauzia magari mabovu Chadema kwa gharama kubwa.. Remember nyie watu..?

Mtamtukana sana Dr. Slaa maana mwisho wa ciku matuci ni kitu pekee mnachokiwezea to perfection and nothin else.. Kazi ya kuwapa Watanzania elimu ya uraia na kujitambua inaendelea maeneo yote ya Tanzania..
 
- HAYA NI MANENO YANGU YA MWAKA 2009, YAPO VERY CLEAR OF WHAT I STOOD FOR THEN AND NOW!


......na haya chini pia ni yako, ukitoa povu ulipom-PM jamaa?

Field Marshall ES 02:48 8th August
2009

- Mtu mmoja unahangaika thread
nzima kama unataka kutaga mayai na ID kibao unasumbuliwa na nini mkuu? Sasa unasema huu ni uongo mbona wewe ndiye wa kwanza kunitumia PM
na E-mail?
- Mkuu take a break sio lazima ulale
humu na kusumbua watu, dola 30 za maremeta umelia huku PM kila mahali usaidiwe, 300 utazitoa wapi? Tulia kama unanyolewa mkuu, ume-gogle
kila mahali hakuna unafikiri nilizaliwa jana mkuu, unafikiri google ina kila jibu?
- Ndio maana nimekataa kuweka habari zote, maana kuna watu kama wewe wenye roho kama ya nyoka, utaishia kuharibia wanaotaka kujaribu kwa sababu za ubinafsi wako, kaa pembeni mkuu acha longo longo, toka jana umeshupalia kila mahali na mi-ID yako, vipi huna kazi bro zaidi ya JF? Duh! i mean unatia kinyaa eti! Wizi ni tabia ya kuzaliwa nayo, sasa hebu kuwa mkweli zikichunguzwa background yangu na yako nani atakutwa na utapeli bro? Unafikiri ninaweza kuuza utu wangu kwa ajili ya dola 300 au something
ambacho siamini kabisa kwamba
kipo?
- Wewe una umalaika gani hasa? Mtu msamaria mwema amekuonyesha anaponunua ndizi za kwenu Bukoba huko majuu tena kwa nia njema sana,
wewe ukarudi kesho yake na
kununua zote pale dukani na kutaka kumuuzia tena yule yule msamaria mwema aliyekuonyesha duka, sasa wewe ni mtu gani? Ndio maana umeshupalia weee na hii thread ni kwa sababu unataka info, halafu uwatafute ukaharibu!
- Acha wewe huu utoto wako peleka huko mbele unachefua sana, unachohangaikia ni nini hasa, I mean hulali toka jana unahangaika kila kona, mara hivi mara vile nini shida yako mkuu sema usaidiwe, wananchi
genuine na wenye shida
wanashindwa kuuliza valid questions hapa kwa sababu yako wewe mtu mmoja tu, unawashwa na nini mkuu? Jaza fomu mimi nitakulipia hiyo 300
kama kweli una shida ya hii kitu, lakini usiharibie wengine wanaotaka kujaribu bahati zao mkuu, ninamini this thing kwamba ni for real tena kwa 100%, na tena ninazo all the info, namba za simu, fax, e-mail, na hata majina ya wahusika, sasa wewe hizi
info huna ni mpaka niamue kukupa otherwise, utaendelea kupiga piga kelele forum nzima kama kichaa na sitakupa maana hizi e-mail zako na pm
zako zote ninazijua, mkuu kacheze na watoto wako sio hapa kwenye
watuwazima! maana unachefua sana!
Respect. Field Marshall Es!
 
Huyo sasa uliyembandika hapo ndiye mamluki original uliyemlipa. Hivi huchoki na umbeya wewe?
 
- Finally, tunaona vijana wenye gutts wanaanza kujitokeza kuliko tunaojiita Great Thinkers, kazi kutetea mediocre, unaona huyo mwanaume amejitokeza tena bila kuogopa kwamba Slaa kuwa na kadi ya CCM ni out of the line, inamuondolea Moral Authority ya kuongoza Mapinduzi au chama cha Wakombozi!

- Ni hoja ambayo haiendi kokote pamoja na matusi mengi sana tena ya kizamani, ukweli ni kwamba Slaa arudishe kadi yake ya CCM publicly kama alivyotangaza kuwa anayo!

Es!

mediocre? We una matatizo! Dr. Slaa ni maarufu kuliko baba yako, anayekula na kuvimbewa kodi zetu
 

......na haya chini pia ni yako, ukitoa povu ulipom-PM jamaa?

Field Marshall ES 02:48 8th August
2009

- Mtu mmoja unahangaika thread
nzima kama unataka kutaga mayai na ID kibao unasumbuliwa na nini mkuu?

Duuh.. Yaani kwenye chama cha mafisadi na majangili ameongezeka tapeli..! No wonder anatoka povu hapa kuwatetea kumbe they have plenty in common..!
 
- Brother haya ni maneno ya kutetea mediocre ni hatari sana kwa Taifa mnalotaka kulikomboa, Slaa ana lkadi ya CCM airudishe now, maana inamuondolea Moral Authority ya kuongoza na until this problem is solved, ni vigumu sana kwake kuja na National Agenda mpya au ya zamani!!

Es!
Le Mutuz mashabiki wako kule Facebook wanauliza ile movie ya 'The Utamu' Part2 yake inatoka lini?
 
Onda ujinga wako, nyie ndo mnarudisha nyuma maendeleo ya taifa kwa kujaribu kumzima mtu makini km dr.slaa
 
Duuh.. Yaani kwenye chama cha mafisadi na majangili ameongezeka tapeli..! No wonder anatoka povu hapa kuwatetea kumbe they have plenty in common..!

W. J. Malecela
user-offline.png

Banned
verified.png

reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Mkuu na hii Ban ni yake pia huyo bwana DUDE
 
''ukihama nyumba unaenda na ufunguo wa akiba, . . .'' kumbe ndo maana Dr. Slaa anajua mambo mengi ya CCM.
 
Back
Top Bottom