SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,973
- 75,055
Ina maana na Lowassa naye siyo mpinzani kama ukifuata mantiki ya hoja yako?
Kwani Lowasa ameingizwa kwenye serikali ya mtukufu?
Ina maana na Lowassa naye siyo mpinzani kama ukifuata mantiki ya hoja yako?
.. sasa mbona hii inaenda mbali zaidi; unataka tuamini kile anayefanya kazi ndani ya serikali ni CCM?Kwani Lowasa ameingizwa kwenye serikali ya mtukufu?
😀😀😀😀😀Dr Slaa sio issue tena ya mjadala. He is nothing
Alikuwa akiishi Canada kwa pesa za CCM halafu baadaye mkadanganywa anafanya kazi ya kuuza duka!!
Lengo kuwapumbaza "wajinga" waamini ili waondoe wazo la kuwa alikuwa akitumia pesa zenu
Sasa ndiyo ujue kuwa unafuata mkumbo kwa viongozi wa cdm wkt hujui yaliyomoyoni mwao.Mi namuunga mkono Marijani Rajabu Jabali la Muziki
Looks like you are drunk, dude!!CCM inapesa?
Hahahaaa leo kimewashuka mbwiiiii
Hamna uhakika wote wazungu wanasemaga...
"You have been taken by surprised"
Wemzako wanalipwa shukrani kwa kazi nzuri walioifanyia ccm, je wewe utaishi ukimbizini mpaka lini?.. sasa mbona hii inaenda mbali zaidi; unataka tuamini kile anayefanya kazi ndani ya serikali ni CCM?
Kwani akiwa kada kuna shida gani? Vipi bado upinzani ulikuwa ukimuhitaji kwani? Mara kadhaa tuliwahusia humu, Muombeni radhi arudi na myatii masharti yake ikiwepo na kumtoa EL. Mkapuuzia.Rais alisema kule Zanzibar kuwa kamwe wapinzani hawatatia pua kwenye serikali yake. Hivyo jibu ni kuwa Dr. ni kada mzuri tu wa CCM.
.. sasa mbona hii inaenda mbali zaidi; unataka tuamini kile anayefanya kazi ndani ya serikali ni CCM?
Anzisha mada,akili ndogo tu inahitajika kujua uzi unajadili niniPage ya 69 mnamjadili Dr Slaa kuwa na kadi ya CCM? Mbona hamuulizi ya Chadema iko wapi?