Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Huyu ndiye Rais wa Watanzania anayesubiri kuapishwa.

......na hata sasa ni Rais wa mioyo ya watanzania, Ndiye anaongoza nchi maana akiona jambo haliendi vizuri hawezi kufumbia macho.

Mungu amlinde Rais wetu Dr W Slaa
 
Go go go my President, go go go CDM.........Tanzania tuitakayo inakuja
 
Acha kujiabisha mwenyewe inaonekana Dr slaa ulitaka aende na wewe kama kiburudisho chake ila umeachwa sasa wivu kibao...lugha yenyewe sio yetu ya kwetu ni kiswahili.Siku nyingine tutamwambia uambatane nae kwenye ziara zake inaonekana umemiss mambo yake.
 
Rais wetu wa moyoni. Amezungumzia ya moyoni mwetu.
 
Hata kama unadhiki na unapenda sana hela za bure toka lumumba, si lazima kujidhalilisha kwa kuanzisha uzi wa kijinga namna hii ambao sio wakweli kabisa.Tunajua uwezo wa Josephine katika lugha, na pia hatuna shaka nae ndiye First lady ajae
 
Shikamoo Rais Dr Wilbroad Peter Slaa!
 
Majungu. Kama ulikuwepo let's audio clip. Huna authority ya kumkosoa mtu anapokosea kuongea lugha isiyo yako. Kiingereza si lugha mama yako. Is it?
 
Uliwahi msikia mke wa waziri mkuu wa china?Russia?wala hatakiwi hata ongea hicho kiingereza...........watafsiri.
 
acha kujiabisha mwenyewe inaonekana Dr slaa ulitaka aende na wewe kama kiburudisho chake ila umeachwa sasa wivu kibao...lugha yenyewe sio yetu ya kwetu ni kiswahili ...siku nyingine tutamwambia uambatane nae kwenye ziara zake inaonekana umemiss mambo yake

Nimetoa ushauri kwa nia njema kabisa mkuu.
 
Mbona hujaleta na mazuri yao waliyozungumza huko? Ina maana hajazungumza kizuri chochote
 
Uwezo wa Josephine kwenye kiingereza ni mkubwa kuliko Kikwete
 
Last edited by a moderator:
yaonekana bado chadema wanaitikisa JF yani pamoja na wale maharamia Wa kigoma kutoswa bado chadema inawika dah!
 
I wish ningekuwa n ile clip ya mbunge wakati wa interview ya East Africa Community. MANI BAK tpaul mnaikumbuka ile anaulizwa what is your Proffession? Akasema I am a political ....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Nimetoa ushauri kwa nia njema kabisa mkuu.

Kama ungekuwa unashtakiwa mahakamani ungepata shida kueleza wapi ulipoanzia na kuishia na huo ushauri wako wa nia njema.

A wise man once told me, if you have nothing nice to say, then don't say anything.

Unamkosoa Josephine ambaye nina hakika amekuzidi umri. Hivi, wewe ni binadamu au malaika asiye na kasoro?

Wanadamu tu wepesi kuhukumu, wakati hata Yesu na Mohammed hawakuwahi kuhukumu.

Soma vitabu, PATIENT ZERO, uvielewe.

Kumcha Mungu ni mwanzo wa hekima.
 
Last edited by a moderator:
Katika maneno yake amekaririwa akisema "the woman is a source of wealth for man in our lifes", kitu ambacho Wamarekani hawakuelewa alitaka kumaanisha nini. Vilevile, Josephine alishindwa hata kutoa 'a simple good evening' wakati wa dinner party badala yake alisikika akisema " me good, me good" wakati wa salamu!

USHAURI KWA CHADEMA: kama kweli mpo makini katika kuitaka Ikulu, hakikisheni mnaandaa mazingira yote yawe sawa. Ikiwemo hata kumuandaa our next first lady! Nasema hivyo kwa kuwa hata Bukhali wa Nigeria aliandaliwa yeye sambamba na mke wake.
We hayo umeyapata wapi au upo kwenye msafara?
 
Hizo small boarrooms kwa private meetings.Ushamba tuu ndio unakusumbua...back office kuna vyoo,stone au nyuma ya kiti...sasa inamaa alimlazimsha mwenye office kugeuka nyuma?

Kaka mimi naishi marekani kwa miaka. So, let me advise you this kama unakwenda kwenye well organized group lazima upelekwe kwenye conference room ya ukweli.
 
Kaka mimi naishi marekani kwa miaka. So, let me advise you this kama unakwenda kwenye well organized group lazima upelekwe kwenye conference room ya ukweli.
Km unaishi marekani ungekuwa unafahamu OVAL HOUSE...ni padogo panaangalia landscape na uwanda wote upande huo.Hapo huwa maraisi wa marekani huwaalika watu kuongea issue kubwa za kiduia na kanda zake.Then km kuna umuhimu ndipo mnakwenda kwenye hio lundo la watu.hapo dr alikuwa kaijadili vitu muhimu kumbiana misimamoc,changamoto etc...Wenzio huwa wanajitambualisha kukaa ktk hizo nchi ili kuficha upumbavu na ufichu wa uelewa wa mamabo ktk nchi walizopo.wengi tuu tunawajua hujifunza vingi wakirudi TZ kuliko waliwa ughaibuni. Umbea ndio ngao ya CCM..bahati mbaya huwa mnaongea umbea na kumiliki viwanda vya uongo ambao unatosha wadanganya nyie wenyewe tuu...Kila mahali mkibanwa hamna cha kujitetea mnabaki nakaa marekani,mdai kuonewa.mnadai wengine hawajui...hata mkitapishwa hamna cha maana cha kutapika.
 
Back
Top Bottom