Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Ahsante rais wangu wa moyoni tunataka rais kama wewe mweye ushirika na watu wote Mungu akujali safari yako iwe na mafanikio zaidi
Ameena na mungu atasikia dua zetu
Ahsante rais wangu wa moyoni tunataka rais kama wewe mweye ushirika na watu wote Mungu akujali safari yako iwe na mafanikio zaidi
rudi shule kasome (3rd person present)
talk about (something) with a person
Mkuu wachana naye huyu tupo naye hapa tandare naye anautaka udc.
Wakati JK anaomba msaada wa chakula na si namna ya kupata chakula, wakati JK hajui kwanini watanzania ni Masikini....huyu mzee anawaeleza wamarekani mpango wa kiuchumi,anawaeleza wamarekani shida ni nini ktk hili taifa na anawaeleza kuwa yupo tayari kuongoza jahazi kuelekea nchi kavu.Hiyo ndio kauli ya nahodha na si abiria..hadi sasa JK ni abiria wa hii nchi..Nchi ipo ktk auto pilot ....Chadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.
umempa vyema..km Dan Alves alipowaambia Mancity wana wacheza ghali ila hawana class ..Na akawapiga goal ugenini na nyumbani.Yule mwingine anapiga picha na mauza unga, mara anageuka kuwa mpiga picha maharusini. Hii laana itaisha miezi minne kuanzia sasa.
Kama akina mhongo na watz wengine wamesoma for years hawajaweza master basic logics.ndio mikataba inayohitaji negotions kibao kabla ya final draft?Kama ile mikataba 17 iliyoandikwa kichini kwa dakika 15?hivi mlijua nini kimeandikwa?
Not his wife please,say with one of his own girlfriend
Wakati JK anaomba msaada wa chakula na si namna ya kupata chakula, wakati JK hajui kwanini watanzania ni Masikini....huyu mzee anawaeleza wamarekani mpango wa kiuchumi,anawaeleza wamarekani shida ni nini ktk hili taifa na anawaeleza kuwa yupo tayari kuongoza jahazi kuelekea nchi kavu.Hiyo ndio kauli ya nahodha na si abiria..hadi sasa JK ni abiria wa hii nchi..Nchi ipo ktk auto pilot ....
Kama akina mhongo na watz wengine wamesoma for years hawajaweza master basic logics.ndio mikataba inayohitaji negotions kibao kabla ya final draft?
umeona wapi nimesema dr.slaa kaingia mikataba?kwanini yeye aingie mikataba kwa niaba ya CCM?ya mahusinao ya vyama kafanya mingi.Na anawez sign mingine uS sasa kwani shida yako nini?Yeye sio km MiccmMikataba ipi Dr Slaa ameingia kwa niaba ya nchi? Huko kaenda kuwatembelea marafiki zake na kucheck Afya Kwani kila Kitu tunajua tena zaidi ya wewe Pia apate muda wa mapumziko na ka concubine chake safi sana then arudi zake Tanzania. Tunayajua mengi zaidi ya wewe unavyoyajua ndani Ya Chama chako
Mikataba ipi Dr Slaa ameingia kwa niaba ya nchi? Huko kaenda kuwatembelea marafiki zake na kucheck Afya Kwani kila Kitu tunajua tena zaidi ya wewe
Pia apate muda wa mapumziko na ka concubine chake safi sana then arudi zake Tanzania. Tunayajua mengi zaidi ya wewe unavyoyajua ndani Ya Chama chako
Kwa kingereza hiki sidhani kama hata habari yenyewe umeielewa inawezekana umeishia kuangalia picha tu akakimbilia kukomenti.
His concubine, that fits for him....not his wife
He is still committing adultery at that age kweli? It's high time now to ask for forgiveness to the Lord, he is 89 yr old but.....Babu please and please start repenting now time is not friendly any more......
Ni wewe tu kutuletea habari:banghead:
Hujapata clue bado ktk alichoongea..Utafagiwa pamoja na uchafu ktkofficeNicholas, Mipango ipi ya Dr Slaa imeinufaisha nchi? Tuwekee hata mmoja ambao kila mtanzania atajua, tusifanye siasa uchwara kwenye hili Nihabarishe mafanikio Ya Ziara ya Babu kwa nchi Yetu walau Moja nami nielimike. Asante.
Unaona ya upande mmoja tu,vipi upande ule unaowacha watoto kama kuku wa mayai?
Nicholas,
Mipango ipi ya Dr Slaa imeinufaisha nchi? Tuwekee hata mmoja ambao kila mtanzania atajua, tusifanye siasa uchwara kwenye hili
Nihabarishe mafanikio Ya Ziara ya Babu kwa nchi Yetu walau Moja nami nielimike.
Asante.
Nicholas,
Mipango ipi ya Dr Slaa imeinufaisha nchi? Tuwekee hata mmoja ambao kila mtanzania atajua, tusifanye siasa uchwara kwenye hili
Nihabarishe mafanikio Ya Ziara ya Babu kwa nchi Yetu walau Moja nami nielimike.
Asante.
Matumizi mabaya ya neno breaking news....huyu mhuni ndio unatuwekea breaking news hapa...