Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Hujapata clue bado ktk alichoongea..Utafagiwa pamoja na uchafu ktkoffice

Kweli wewe ulisoma mzumbe hata comments zako zinajoinesha, Ndio maana ulikuwa unaponda UDSM

Kweli walimu wenu akina Prof Itika, Nkya, Millanzi walifanya kazi kubwa, leo nimeamini

Sasa nikiona post zako sipati shida Kabisa najua ni zao la chuo bora kabisa ambacho unakisifia kila kukicha.... .......
 
Yes ofcourse,

Babu katerekeza wake watoto wake kwa Bi Rose hata huruma hana afadhali nawe umeliona hilo, kumbe asubuhi asubuhi vijana wa Bavicha mnakuwa mna akili kidogo

Asante kwa kuliona hilo pia mkuu! Mwambie aanze kutubu sasa

Wakati dr anatubu,waambie mafisadi wote walioiba fedha za escrow na kugawana pale stanbic waanze kutubu maana october lazima wapelekwe segerea na familia zao na koo zao wote.
 
Mbona ccm mkimsikia dr slaa mna-panic sana?

Hasa tukisikia Yupo na dada yetu wakifanya zinaa tunaumia sana kwani tunampenda sana Babu yetu umri huu sio rafiki tena kwake aanze kufanya toba.

Sie siyo wanafiki tunamtakia babu Maisha mema Mbele ya Mungu wake kwani Muda wa kutubu upo.
 
Kweli wewe ulisoma mzumbe hata comments zako zinajoinesha, Ndio maana ulikuwa unaponda UDSM Kweli walimu wenu akina Prof Itika, Nkya, Millanzi walifanya kazi kubwa, leo nimeamini Sasa nikiona post zako sipati shida Kabisa najua ni zao la chuo bora kabisa ambacho unakisifia kila kukicha.... .......
Haha....Chuo gani wanapata PHD kwa kupeana paper badala ya kupost ktk journal za kuheshimika
 
Hasa akiwa na concubine wake maana tunaogopa sana zinaa......

Mnafiki mkubwa wewe eti tunaogopa zinaa wewe sio mzinifu kazini na mkeo? Ndio mnachokiangalia kwenye akili zenu manake manawaza tupu tu watu wa hovyo sana mkiwa katika jamii sijui mmelogwa na nani .
 
Wakati dr anatubu,waambie mafisadi wote walioiba fedha za escrow na kugawana pale stanbic waanze kutubu maana october lazima wapelekwe segerea na familia zao na koo zao wote.

Kwani ameshaanza kutubu? Safi sana nami nitamuombea katika sala zangu

Muda siyo rafiki tena kwake hayo mambo Angefanya miaka 40 iliyopita sio kwa umri wake ni FEDHEHA na aibu kubwa
 
Hasa akiwa na concubine wake maana tunaogopa sana zinaa......
Si mnaogopa mmefiia dose y amwisho ya viagra bado mashangingi wa hilo shamba la alizeti hamuwafikishi?Lazima msijiamini,hamuwezi washawishi ndio maana mnafanya kazi ya kuondoa wanaume .
 
Mnafiki mkubwa wewe eti tunaogopa zinaa wewe sio mzinifu kazini na mkeo? Ndio mnachokiangalia kwenye akili zenu manake manawaza tupu tu watu wa hovyo sana mkiwa katika jamii sijui mmelogwa na nani .
Mkuu,

Usitukane Mungu hapendi,tushindane kwa hoja siyo kwa matusi Ndio uungwana
 
Chadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.

www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/535699-picha-ziara-za-dr-slaa-hillary-clinton-mwl-nyerere-vs-safari-357-za-jk-nje-ya-nchi-22.html#post12446511
 
www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/535699-picha-ziara-za-dr-slaa-hillary-clinton-mwl-nyerere-vs-safari-357-za-jk-nje-ya-nchi-22.html#post12446511
Ben...wasiwe wanakufananisha na Mkapa,walimshambulia wewe...sasa wenyewe wamechoka siwasikiii tena wakimbebesha zigo la dhaifu
 
Jamani hebu angalieni hizo picha, nothing against Dr. Slaa lakini presentation matters jamani hapo mahala kama vile back office ya mtu.
 
Huyu ndiye Rais wa Watanzania anayesubiri kuapishwa.
 
Wana Ukumbi,

Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Slaa, yupo ziarani nchini Marekani akiwa ameambatana na mke wake, bibi Josephine.

Katika ziara hiyo, pamoja na mambo mengine, Dr Slaa amewasilisha mada mbalimbali zikiwemo zenye kuhusu katiba mpya, haki za binadamu nk

Kama ilivyo ada katika mijadala ya namna hii, baada ya mgeni rasmi kumaliza kuhutubia, nafasi utolewa kwa wageni wengine pia kutoa maneno mawili matatu, na hapo ndipo alipoibuka Josephine!

Josephine, ambae anatarajiwa kuwa "the next first lady" baada ya mama Salma Kikwete, ameboronga kabisa kwenye kuzungumza lugha ya kingereza (kutema yai) na badala yake ameishia kujiaibisha mbele ya Wamarekani!

Katika maneno yake amekaririwa akisema "the woman is a source of wealth for man in our lifes", kitu ambacho Wamarekani hawakuelewa alitaka kumaanisha nini. Vilevile, Josephine alishindwa hata kutoa 'a simple good evening' wakati wa dinner party badala yake alisikika akisema " me good, me good" wakati wa salamu!

USHAURI KWA CHADEMA: kama kweli mpo makini katika kuitaka Ikulu, hakikisheni mnaandaa mazingira yote yawe sawa. Ikiwemo hata kumuandaa our next first lady! Nasema hivyo kwa kuwa hata Bukhali wa Nigeria aliandaliwa yeye sambamba na mke wake.
 
Jamani hebu angalieni hizo picha, nothing against Dr. Slaa lakini presentation matters jamani hapo mahala kama vile back office ya mtu.
Hizo small boarrooms kwa private meetings.Ushamba tuu ndio unakusumbua...back office kuna vyoo,stone au nyuma ya kiti...sasa inamaa alimlazimsha mwenye office kugeuka nyuma?
 
Wakati Dr. Slaa anaumiza kichwa jinsi gani watanzania wanaweza kufaidika na rasilimali ya nchi yao, Jk yeye Ni kukwea pipa kwenda kubembea
 
Daaah ha ha ha haaa! Hadi rahaaa, Rais wa kweli wa mioyo wa watanzania Mh sana Comrade W. Slaa.

Tunajua huko US umewakilisha vema interests za watanzania na maslahi mapana ya nchi yetu Tanzania.

Mungu aendelee kukulinda tunakuombea
 
hivi katika kukaa kwako ulishaona ndoa unayofunga iwe kanisani au msikitini unapewa cheti cha kanisa au msikiti? kwa kukusaidia tu ndoa zote ni za serikali hayo makanisa na misikiti ni agents tu wa serikali. kwa kukusaisdia zaidi ni kuwa ili kanisa au msikiti lifungishe ndoa lazima kwanza wajisajiri serikali na kupewa cheti maalumu kinachowatambua kufungisha ndoa. Bila hivyo ndoa yoyote itakayofungwa hata kama umepewa cheti ni bandia. Mkuu nakushauri uwe unasoma kidogo siyo kuja na habari za mitaani.

http://www.tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/Marriage Ordinance, (cap 29)_1.pdf

We ni useless huelewi nlichokuwa naongea mi nimeuliza slaa kafungia ndoa wapi embu soma vizuri uelewe maana kama inafungiwa huko ndo maana inatambulika mume na mke coz ya vyeti sa slaa cheti anacho usiwe unakurupuka kucomment kama hujajua nlikuwa naongelea nini
 
Back
Top Bottom