Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 3,414
- 4,688
Not his wife please,say with one of his own girlfriend
Are you one them girl?
Not his wife please,say with one of his own girlfriend
Heshima kwako rais wangu mpendwa kimbilio na mkombozi wa watz
kwa sheria za tanzania ukiishi na mwanamke kinyumba zaidi ya miaka miwili ni mkeo.
Wapi kafungia ndoa?
tatizo lenu hamsoni hata sheria za ndoa ndiyo maana mnadhani ndoa mpaka mfunge
haya soma hapo chini ikusaidie.
Dhana ya kuchukulia ndoa
Kuna dhana inayokanushika (rebuttable
presumption) kuwa mwanamme na mwanamke wakiishi pamoja kwa miaka miwili au zaidi huchukuliwa kuwa ni mke na mume mbele ya sheria
japokuwa hawakuwahi kufunga ndoa. Dhana hii imeelezwa katika kifungu cha 160 cha Sheria ya Ndoa.
li dhana hii iwepo ni lazima yafuatayo yathibitishwe.
(i) Lazima ithibitike kwamba mwanamke na mwanamme wameishi pamoja kwa muda wa miaka miwili au zaidi kwa mfululizo.
(ii) Lazima pia ithibitike kuwa umma
unaowazunguka unawachukulia na
kuwapa heshima kama mke na mume.
(iii) Lazima ithibitishwe kuwa watu hao
walikuwa na uwezo wa kuwa mke na mume
wakati walipoanza kuishi pamoja kama
umri ulikubalika kisheria.
(iv) Ni lazima pia ithibitishwe kuwa kati ya hao wawili au wote hakuna aliye na ndoa
inayoendelea.
Chadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.
We usizunguke na masheria yako ndoa ipo ya kanisani msikitini bomani au mila katika hizo slaa kafungia ndoa wapi maana ukisema huyu mke au mume ndo inatambulika hvyo sasa unakuja na masheria ambayo kwa Jamii hayana tija kama una mtoto wa kike utakubali awekwe ndani kiholela bila kupitia njia zinazojulikana za halali basi ukikubaliana na hyo sheria yako utakuwa baba ----- ambaye hajawah kutokea duniani
fuatilia kwanza Slaa alichoenda kufanya na anachoenda kufanya rais wako kila sikuChadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.
Slaa anaongelea nchi ya watu wali masters of their country`s destiny....Jk anaongelea nchi isiyojua destine ila inasubiri hisani ya bahati nasibu au huruma ya wengine.fuatilia kwanza Slaa alichoenda kufanya na anachoenda kufanya rais wako kila siku
rudi shule kasome (3rd person present)
talk about (something) with a person
Hongera sana next Rais wetu....
Keep out of reach of your wives
Chadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.
Chadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.
Chadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.