Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Mike Pence one of the toughest Governor in USA!!
Dr Slaa atapata mengi ya maana kutoka kwa Pence
 
Hongera sana kamanda wetu Dr. Wilbrod Slaa.....


CHADEMA wakiikamata ikulu, hakika tutaona jinsi Tanzania itakavyobarikiwa mbinguni na duniani.

Nchi imenajisiwa na maccm kila mahali hakuna pa kupumulia, laana ambayo sasa imepitiliza ndiyo maana tunaona vifo vya kila aina Tanzania.

Mungu Mbariki Dr. Slaa
Mungu Ibariki CHADEMA
Mungu Ibariki UKAWA
Mungu Ibariki Tanzania
 
Kwa hiyo unatakaje??
Anataka Dr Slaa aende kutembelea Afganistan au Somalia???
Au ulitakaje hasa we GAMBA!!
umejuaje kama mimi gamba akiliza kuambiwa changanya na za kwako huwa mnakurupuka kushabikia siasa kama unajua historia ya marekani wale wote anaowaita magaidi mwanzoni walikuwa watu wao wa karibu sana kama osama au sadam sasa wewe ukiona mtu kaalikwa marekani meno yote nje ndio maana mnashangilia vyandarua vya misaada wakati wenzako wanachota dhahabu
 
umejuaje kama mimi gamba akiliza kuambiwa changanya na za kwako huwa mnakurupuka kushabikia siasa kama unajua historia ya marekani wale wote anaowaita magaidi mwanzoni walikuwa watu wao wa karibu sana kama osama au sadam sasa wewe ukiona mtu kaalikwa marekani meno yote nje ndio maana mnashangilia vyandarua vya misaada wakati wenzako wanachota dhahabu

Ulichoandika hiki ndo kinadhihirisha mnato wa akili yako na ndo maana nimekwita we GAMBA.
Kwa hiyo unataka kutwambia Mwl. alivyoenda UN Marekani katika kudai uhuru wa Tanganyika naye aligeuzwa kuwa gaidi.
Hivi unamaanisha baba Riz1 anavyoenda kila siku huko USA ni gaidi mtarajiwa siyo!!??
We hakika ni GAMBA tu.
 
Momentarily, Dr. Wil Slaa will be live broadcasted in one of the largest talk Shows in Mid-Western United States.To listen to the talk show live, please follow the link April 14 - Dr. Willibrod Peter Slaa | 93.1 WIBC

Dr. Slaa, Will also be giving lectures at Indiana and Butler Universities, as well as having a meeting with city officials later on during the Day

Ron Tackket
 
Pamoja na UKAWA kuikataa Katiba Pendekezwa kuwa ni ya CCM kuna ukweli mdogo ambao sijui kama wameutazama. Ndani ya Katiba Pendekezwa kuna kipengele kama sikosei kuhusu mgombea urais lazima apate asilimi 50 ya kura laa sivyo kuunda serikali ya Mseto. Sheria hii haipo katika katiba ya mwaka 1977..

Kama katiba Pendekezwa itakataliwa kabisa ama hata kupigiwa kura ina maana hata vile vipengele vinavyowapa nafuu Upinzani havitatumika katika uchaguzi huu, hivyo CCM atakuwa mshindi kwa vyovyote vile hata akipata asilimia 40 bado nina hakika atakuwa juu ya vyama vyote.

Na kama katiba Pendekezwa ikipewa kura ya NDIYO ina maana Katiba ya wananchi imekufa kabisa! hapa nampongeza Dr. Slaa kwa kusimama na wananchi. Kura ya HAPANA hata kama itawagharimu Ushindi...lakini tukubali kwamba CCM are masters wa kiini macho!
 
Huu ni uchizi safari ya kikazi kiongozi anaambatana na hawara,kwani hakuna wasaidizi makao makuu?
 
Dr. Slaa, who said that Chadema and its parters in UKAWA coalition will never accept a mutilated Constitution not meant for the people, but for the few corrupt rulers and their henchmen.
 
Pamoja na UKAWA kuikataa Katiba Pendekezwa kuwa ni ya CCM kuna ukweli mdogo ambao sijui kama wameutazama. Ndani ya Katiba Pendekezwa kuna kipengele kama sikosei kuhusu mgombea urais lazima apate asilimi 50 ya kura laa sivyo kuunda serikali ya Mseto. Sheria hii haipo katika katiba ya mwaka 1977..

Kama katiba Pendekezwa itakataliwa kabisa ama hata kupigiwa kura ina maana hata vile vipengele vinavyowapa nafuu Upinzani havitatumika katika uchaguzi huu, hivyo CCM atakuwa mshindi kwa vyovyote vile hata akipata asilimia 40 bado nina hakika atakuwa juu ya vyama vyote.

Na kama katiba Pendekezwa ikipewa kura ya NDIYO ina maana Katiba ya wananchi imekufa kabisa! hapa nampongeza Dr. Slaa kwa kusimama na wananchi. Kura ya HAPANA hata kama itawagharimu Ushindi...lakini tukubali kwamba CCM are masters wa kiini macho!
So you suggesting that they should support this flawed constitutional review just because is expedient to them politically?
 
Mshume Kiyate

Tatizo sio kwenda nje tatizo ni mara ngapi na tija ya safari hizo? Unajua hata kama jakaya angekwenda vijijini mfululizo bado kungekuwa na tatizo kwani kwa utamaduni wa watanzania shughuli za maendeleo zingesima kila wiki au kila mwezi aendapo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom