Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

We usizunguke na masheria yako ndoa ipo ya kanisani msikitini bomani au mila katika hizo slaa kafungia ndoa wapi maana ukisema huyu mke au mume ndo inatambulika hvyo sasa unakuja na masheria ambayo kwa Jamii hayana tija kama una mtoto wa kike utakubali awekwe ndani kiholela bila kupitia njia zinazojulikana za halali basi ukikubaliana na hyo sheria yako utakuwa baba ----- ambaye hajawah kutokea duniani

Kafunga kanisani
 
Whatever you say,time will tell.Just to remind you,mdee,lema na mnyika sio wanasiasa wa kawaida,fatilia kura walizopata 2010 dhidi ya wapinzani wao na alizopata zitto dhidi ya mpinzani wake hadi kakimbia jimbo halafu urudi tena!!!!
Sasa mkuu unaleta ubishi wa kijinga kabisa maana kushinda kwa kura nyingi wakati hawakushinda wao haidhihirishi kitu. Kama Lema angeshindana na Zitto jimbo moja ungesema haya, hata hivyo kura sio ushahidi wa kiongozi bora. Hata JK amewahi kushinda kura nyingi kuliko kiongozi yeyote alotangulia ktk uchaguzi wa demokrasia 2005, pia kashinda 2010 haina maana ni kiongozi bora kuliko Dr.Slaa aloshindwa.
 
If he can't discuss the constitution in the parliament, how can he discuss that in us?
 
Back
Top Bottom