We usizunguke na masheria yako ndoa ipo ya kanisani msikitini bomani au mila katika hizo slaa kafungia ndoa wapi maana ukisema huyu mke au mume ndo inatambulika hvyo sasa unakuja na masheria ambayo kwa Jamii hayana tija kama una mtoto wa kike utakubali awekwe ndani kiholela bila kupitia njia zinazojulikana za halali basi ukikubaliana na hyo sheria yako utakuwa baba ----- ambaye hajawah kutokea duniani
Kafunga kanisani