Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

Kwa wanaojua,wanieleze. Kwanini asiwe wa CCM yetu au mwingine wa upinzani? Wenzake wako busy kushawishiwa kugombea Urais. Wengine wamekuwa wanasiasa bora jana. Yeye yuko Marekani kwa mwaliko wa Gavana. Hapotezi muda huko jamani?

Lakini,afadhali asijihusishe na Urais ili tushinde kwa urahisi. Akirudi aalikwe tena na tena ughaibuni hadi Oktoba ifike na kupita. Yaani, tunaomba asiseme kuhusu Oktoba.

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Sawa tunekusikia, tutamshauri ahudhurie mialiko yote itajayo mfikia mwaka huu
 
Nikuvute huyo ndie mtu ambaye amebaki Tanzania hata Black and white people they want him mr Dr Slaa his the one of smart people around tha world.

Swissme
 
Dr. Slaa hajaenda kubembea kama JK, amekwenda kutafuta ufumbuzi na uzoefu wa wenzetu walioendelea jinsi wanavyoweza kufaidika na rasilimali za nchi yao, kwa kuanzia na jinsi ya kupata katiba bora na si bora katiba kama maccm wanavyotuaminisha
 
Na waomba watanzania wenzangu wajiulize kwanini Dr.Slaa aamue kwenda kutembelea US space centre?.Ukijiuliza swali hilo na kupati jibu hapa utagundua kitu kilichoko moyoni mwa huyu Daktari.Shida yetu watanzania inabaki kuwa uwa hatujiulizi "kwanini?".HAKIKA tungekuwa tunajiuliza swali ili hakika tungesha pata majibu ya matatizo mengi sana.

Mimi nikiwa kama mmoja wapo wa wapenzi sana wa kuchunguza ANGA au space watcher nafarijika sana kuwa katika utawala wake Tanzania itapiga hatua katika utaalam na utafiti wa anga.

Hapa Tanzania hakuna nyezo ambazo sinawawezesha watafiti binafsi kufanya tafiti zao za anga na serikali iko usingizini kuhusu anga.Watu wanaona mwezi mchanga inaongezeka kadri inavyo kucha lakini hawajui sb,katika ukanda wetu sayari kama Venus,Mars,Jupiter vinaonekana lakini uelewa wa wananchi ni mdogo sana.

Mbona USA wameweza?.Tatizo la nchi hii ni kuwa uswahili katika kila kitu.Hatutafika tusipoweka uswahili pembeni na kuembark science.

Serikali ijukue nafasi yake ili tuweze kupiga hatua kwenye utafiti wa anga.Natoa shukrani kwa Dr.Slaa kwa kututamanisha.
 
Chadema kila siku mnalalamika kuwa rais Kikwete anakwenda Marekani kujipendekeza kwa wazungu lakini Slaa mnaona kafanya jambo la maana akijipendekeza kwa wazungu.

Inajulikana wazi BABA RIZ safari zake US ni za kwenda kujipendekeza na kuombomba lkn MH. SLAA yeye anaenda huko tena kwa kualikwa ili kukutafutia njia sahihi ya wewe MBURULA usiyejitambua upate kujitambua kwanza na upate huduma bora na sio bora huduma ili uweze kukabiliana na hali halisi iliyopo hivi sasa chini ya utawala uliyozeeka usiokuwa na dira zenye mwelekeo wa mafanikio.
 
katika watu wajinga ni kama wewe ambao mmekuwa mkifurahia ama marais wenu au marais watarajiwa kwenda marekani ukweli urafiki wa marekani siku zote umekaa kimaslahi wao hawajali hata kama watanzania milioni kumi mfe ili mradi maslahi yao yalindwe tumeona walichofanya irak na libya
 
Hapo space centre hata kipindi kile si alienda?.
maana yake ni kuwa hapo kuna rafiki yake anafanya kazi hapo,alikua kamtembelea
 
katika watu wajinga ni kama wewe ambao mmekuwa mkifurahia ama marais wenu au marais watarajiwa kwenda marekani ukweli urafiki wa marekani siku zote umekaa kimaslahi wao hawajali hata kama watanzania milioni kumi mfe ili mradi maslahi yao yalindwe tumeona walichofanya irak na libya

Kwa hiyo unatakaje??
Anataka Dr Slaa aende kutembelea Afganistan au Somalia???
Au ulitakaje hasa we GAMBA!!
 
.Tatizo la nchi hii ni kuwa uswahili katika kila kitu.Hatutafika tusipoweka uswahili pembeni na kuembark science.

Hapo ndo tatizo letu lilipo hasa. USWAHILI-SWAHILI ndo unaongoza kila kitu nchi hii.
 
Sisi wenye akili timamu za kuzaliwa na za darasani tunajua kuwa Dr. slaa ni mtu sahihi kwa Tanzania ya sasa, lazima mwaka huu kieleweke...
 
haha...jamaa wamefunguliwa Lumumba hawana plan B, wanazuga kupotezea ili lumumba watafute jibu la email iliyolick.

yaani hawa jamaa wananikumbusha "fungulia mbwa" ya uwanja wa mpira enzi za miaka ya 80's na pale uwanja wa Sabasaba kwenye maonesho! Enzi za nauli ya UDA ni shilingi DALA iliyoleta jina daladala.

tujiulize, "who lets the dogs out?"
 
By Ron Tackket,

CHADEMA Secretary General, Dr. Wilbrod Slaa has arrived safely into the United States, in the State of Indiana, where he was met by the State Governor Mike Pence at Indianapolis International Airport
‏
Gavana wa Indiana amekwenda uwanja wa ndege kumpokea katibu wa chama kimoja cha upinzani cha Tanzania?

Duu, okay.
 
Back
Top Bottom