Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Slaa ni mbea na mnafiki jk aliongea kwenye kikao halali na alitoa ushauri huo live sasa wewe unaongea utumbo gani.
Watu wenye akili wanapojadili jambo ni vyema uwe unatulia!!hivi bado tu hujawahi kuambiwa jinsi unavyochafua jukwaa kwa upuuzi unaoandikaga humu?
 
STRATEGY FAILURE!
(We've just lost a Queen for our opponent's Pawn!)

Kweli kabisa tunawezavuna kura za watutsi, lakini tusishangae kupoteza kura nyingi zaidi za wanaokerwa na hila za watutsi,ambao ni wengi, kwenye mikoa ya maziwa makuu na kwingineko nchini! Mbinu ya 'ENEMY'S ENEMY IS A FRIEND' ina madhara yake, na hapa kwakweli Dr. Slaa katupaka matope!
Uongozi wa chama chetu uweke uzalendo mbele, kura zitafuata!
DAIMA, KWENYE 'SENSITIVE ISSUES' TAIFA LETU LIBAKI MOJA!

Sure mkuu!!
 
sASA ndugu Morinyo kama unafahamu kuwa wapinzani wote wa Kagame wako nje ya nchi, na hao FDLR wako misituni sasa Kikwete anawezaje kumshauri Kagame akazungumze nao? kundi la FDLR limeshatajwa kuwa ni kundi la kigaidi na ndivyo dunia inavyolitambua, sasa Kikwete anaanzaje kumshauri Kagame aafanye mazungumzo na magaidi? mbona asiishauri marekani kuingia kwenye meza ya mazungumzo na al qaeda? au ameshindwa nini kumshauri Kenyata aondoe majeshi yake somalia na kukaa na al shabab katika meza ya mazungumzo? Ushauri mwingine kabla hujaautoa ni vizuri ukajipima kwanza kama ungekuwa wewe ungeuchukuliaje.

fldr waliharamishwa na janja ya kagame ili wasiingie katika siasa za kagame ambazo amezishikilia mikononi mwake!
 
well said mkuu! Hapa kwenye ishu ya kitaifa huyu Slaa asituyumbishe kabisa!jitu linawaza tamaa ya madaraka tu!

“Mimi sipendi nchi zetu ziingie vitani kwa sababu ya kauli za viongozi wawili, hapa tunazungumzia kushambulia na kushambuliwa, hawa marais wawili wangekutana kumaliza tofauti zao, maana wananchi wa mataifa haya ni ndugu,” alisema...
Huyu ndie Dr Slaa, anasema hakuna haja ya kuingia vitani kwa sababu ya tofauti tu ya kauli za viongozi.....we hutaki! unataka kagame apigwe tu!
 
Na hii ndiyo LOGIC YA DR W.P. SLAA mkuu iwapo umemsoma kwa kina!..Tatizo ni moja tu kwa wana CCM wanaojipambanua kwa michango yao humu jamvini, ni kwa sababu tu hayo yamesemwa na Dr Slaa ambao kwao ni adui yao mkuu na kikwazo kikubwa kwao!!

Alichokifanya JK ni kosa tu la kiufundi kwani inawezekana nia yake ni njema (mimi sina hakika) hata kama ni kiongozi wa AU au SADC au EAC. Kamwe hawezi kuongea jambo lolote linalohusu Rwanda na Wanyarwanda na Kagame Rais wao kana kwamba anaongea na mkuu wake wa mkoa wa KIGOMA. Rwanda ni nchi huru ni lazima iheshimiwe hata kama ina matatizo yake kama hayo.Na wale wanaosema kuwa wanaweza kuipiga Rwanda kama upigavyo mwanao wa miaka mi5 ni KUJILISHA UPEPO TU kwani ukubwa wa pua si uwingi wa kamasi.....Hatujui wanawaunga mkono Rwanda ni kina nani.Na je, sisi tunawajua marafiki na maadui zetu??...JK kama kaamua kuwa mpatanishi,basi afanye hivyo kwa uwazi na kuyaheshimu makundi yote!!

Another pumbaz!!huo mkutano JK alioongea ulikuwa unahusu amani katika nchi za maziwa makuu na alitoa ushauri tuu na sio kwamba alimwambia PK..hivi nyie mnawaowatetea hao warwandese ni wahangaza nini??maana hawa kwa kuteteana nawajua fika....JK tuko pamoja kwa hili.na kama ukubwa wa pua sio makamasi ajaribu tu huyo PK kama hakukimbilia kwa M7 na nchi tutamwachia Binamungu teehteeh..chezea TPDF ww...
 
Watu wenye akili wanapojadili jambo ni vyema uwe unatulia!!hivi bado tu hujawahi kuambiwa jinsi unavyochafua jukwaa kwa upuuzi unaoandikaga humu?
Mkuu asante kwa kunitusi ila mimi naomba nisikutusi kama vipi jichagulie tusi ujitukane mwenyewe,kitendo alichokifanya slaa hatuwezi kumchekea hata kidogo kama mtu anamuunga mkono adui wa nje halafu anatafuta uongozi huyu mtu wa nini kwa kauri zake zile tukimwita msaliti na mnafikinkwa taifa lake tutakuwa tunakosea,

wewe kama ni mzee wako na unaunga mkono usaliti na unafiki kwa taifa hujitambui kaoge maji ya bahari .
 
Naungana na Dr Slaa na watanzania wote wanaopenda amani na majirani zake. Aidha, sikuiona busara ya Rais Kikwete kumtaka hadharani Rais Kagame na Rwanda kuzungumza na wauaji wale. Wengi wetu humu hamjui uzito wa kilichotokea mwaka 1994 ambapo mpaka leo watu 1 millioni wahakuweza kuwa accounted for. Katika nchi yenye watu 10 million, hiyo ni idadi kubwa mno na ni kubwa hata hivyo kwa standard yoyote. Nadhani Rais wetu angeweza tu kuongea na Kagame kwenye mikutano yao ya ndani uwezekano wa kukaa na wale nk. Rwanda ni nchi ndogo sana na Tanzania ambapo pia wanaishi Wanyarwanda wengi tu mpaka ndani ya seriklai na majeshini, hakuna haja ya ugomvi. Tofauti ingekuwa kama wanataka meter kadhaa ya ardhi yetu. Nadhani Rais wetu ashughulike zaidi na matatizo ya ndani Tanzania na umasikini wa watanzania walio wengi kuliko hilo la Rwanda. Kwangu anaona ni ku divert attention juu ya matatizo ya ndani na serikali yetu kuwa adiu wa raia wake. Kwangu adui ni Malawi anayetamani ziwa letu la Nyassa. Hakuna haja ya Tanzania kuwa na uadui na jirani. Ukimgusa Kagame, unamgusa Museveni. Hilo yujue. Kenya atasimamia pale maslahi yake yatakapokuwa pindi vurugu zikitokea. Congo na wacongo wala haitabiriki na kwa hiyo sio wa kutilia maanani sana. Kule Congo kuna Wanyarwanda kama milioni 5, na Rais Joseph Kabila pia ni Mnyarwanda kwa hiyo lolote laweza kutokea. Watanzania tuwe waangalifu sana na ukanda huu wa maziwa makuu. Kuna mambo mengi yaliyojificha. Tujenge Tanzania na tudumishe ujirani wetu. Kama Kikwete binafsi na tatizo na Kagame binafsi wayamalize wenyewe. Vita ya Kagera 1979 bado inaumiza Tanzania na sio jambo jema kupigana bila sababu. Wamarekani wasitutumie kwa maslahi yao. Asanteni.
Dr slaa is right sio tu kwamba sio vizuri kidiplomasia kikwete kumshauri kagame waziwazi katika mambo sensitive kama hayo bali pia morally kikwete hana credibility ya kumshauri kagame. kumbuka maneno ya Yesu "Ondoa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako kisha ndio utoe kibanzi kilichomo ndani ya jicho la nduguyo" Asante Dr. silirudishi kadi
 
Hivi kwanini humu kuna wanajamii forum wajinga na wapumbavu?..kwa ujinga huu wa baadhi ya wana CDM a.k.a chadomo niliamua kujitoa rasmi ktika chama hicho ili kulinda heshima yangu.Kiufupi chadema na mama zao sijui na baadhi ya baba zao hawapendi amani kabisaaa...hivi utajisikiaje tanzania ikikosaamani na tukawa kama kongo.Najua kuwa wana cdm wote ni wajinga na ndio maana slaa hata akiwambia mavi yanaliwa gomeeni vyakula vya masokoni mle mavi yenu mtakula:yield:
 
Mkuu asante kwa kunitusi ila mimi naomba nisikutusi kama vipi jichagulie tusi ujitukane mwenyewe,kitendo alichokifanya slaa hatuwezi kumchekea hata kidogo kama mtu anamuunga mkono adui wa nje halafu anatafuta uongozi huyu mtu wa nini kwa kauri zake zile tukimwita msaliti na mnafikinkwa taifa lake tutakuwa tunakosea,

wewe kama ni mzee wako na unaunga mkono usaliti na unafiki kwa taifa hujitambui kaoge maji ya bahari .

Naunga mkono, safi sana. Usikate tamaa kwenye kuwaambia ukweli hawa warwanda.
 
Mkuu huna akili ili rais aweze kuwaita viongozi wa nchi nyingine mpaka awe ameteuliwa kuwa mpatanishi wa kimataifa wa hilo swala vinginevyo awaite kirafiki,

kumbuka kile kilikuwa ni kiakao halali na ule mgogoro ilikuwa ni sehemu ya maswala yaliyokuwa mezani kwa maana ya mada mojawapo kwa nini useme kuwa jk alitoa ushauri mahala ambapo siyo sahihi,

halafu swala la helen kijo bisimba yule ni mburundi siyo mrwanda na anatumika hovyo na wanasiasa kwa kufanya anayofanya,huyu mama sijawahi kumsikia akitetea watu waliopatwa matatizo mpanga wawe ni wapinzani wa serikali.

Nafikri wewe ndio unakosea, au unasukumwa na hisia zaidi.
Kikwete angewaita Kirafikri kuwashauri au kuwapatanisha, kusubiri kuteuliwa na labda Umoja wa Mataifa au Umoja wa Africa ni hatua ingine, sijui kwa nini unaanza na matusi ????

Alafu kuhusu Dr Hellen, usianze kusukumwa na hisia zako au ushabiki, hivi Mpare wa Milimani anakua Mrundi???
Dr Hellen ni Mpare wa Milimani huko Usangi wilaya ya Mwanga Mkoa wa Kilimanjaro na yeye kama taasisi yao ilivyo ni mtetezi wa haki za Binadamu. Ana haki kama Mtz mwingine kusema mawazo yake na kukosoa kwake, hicho hakimfanyi awe Mrundi hata siku moja.

Kama hujui unaweza kuuliza kabla ya kuandika hisia zako hapa.
 
Hoja ya Dr. Slaa ilikua kwamba Nchi haiwezi kuwa dragged vitani kwa sababu ya kauli ya Kikwete na vile vile akashsuri Kikwete aanze kwanza kukaa na wapinzani wake.

Si busara kutoa your personal opinion kwa maswala ya ndani ya nchi nyingine ukijua na wewe ni rais wa nchi pia, Marekani huwa wanafanya hivyo, lakini unaweza ukaelewa marekani ni wababe! Unaweza ukajikuta unaharibu diplomasia ya nchi kwa kutaka sifa za kusuluhisha watu! Kikwete siyo Katibu wa UN awe na break kwenye kuzungumzia maswala ya nchi za watu..
 
Ichunguze kwanza yako kwa kutetea maharamia wanaoiangamiza nchi kila leo. Halafu kajifunze kuandika badala ya kuandika mjadara na kubadirika. Kama ungekuwa na elimu ya kweli usingeandika mjadara na kubadirika. Thamini Utanzania wako kwa kutetea nchi yako badala ya kutetea mafisadi.

Mr. Man ninaona mambo ni mazuri kama umeweza kuona makosa katika maandishi yangu mambo yanakwenda vizuri. Karibu sana kwani IQ yako imetoka 10% na kufikia sasa 10.5 % karibu sana. Kuhusu mawazo yako ya kwamba kuwa mzalendo nafikiri inabidi niwe nasubira kwani tunavyo endelea utabadirika tu. Lbd kwa kukumbusha ni kwamba wewe ni kti ya watu walio okotwa kutoka huko vijijini na kutafutiwa mahali pa kujibana na baadae ndiyo ukaaanza kufagia pale lumumba na sasa unafikiri UDC utaupata! Lkn jitahii uongeze IQ yako kwani ya UDC hata ukiwa na 40% bado kwa nguvu ya mag utapata tu! karibu sana
 
Hoja ya Dr. Slaa ilikua kwamba Nchi haiwezi kuwa dragged vitani kwa sababu ya kauli ya Kikwete na vile vile akashsuri Kikwete aanze kwanza kukaa na wapinzani wake.

wewe kiraka tu_yaan Slaa unaanza kwa heshima ya (Dr), Rais Kikwete unaandika kwa madharau eti Kikwete_kutumikia njaa kaz sana
 
Aliyoyaongea Dr Slaa ndio yalikuwa kichwani mwangu.Namuunga mkono Dr Slaa kwa hili.Tanzania hatuwezi kuingizwa Vitani kwasababu ya matatizo binafsi ya JK na Kagame.

CCM otewalipo + Kikwete + Mwiguru =janga la taifa
 
wewe kiraka tu_yaan Slaa unaanza kwa heshima ya (Dr), Rais Kikwete unaandika kwa madharau eti Kikwete_kutumikia njaa kaz sana

Kikwete alisomea wapi.Nina shahada 2 za uzamili.Nimezisotea kamwe sitawahi kutamka jina "Dr.Kikwete" hata kwa mtutu.
 
Dr.Slaa anaweza kuongea hivyo kwa sasa. Lakini hata Dr. Slaa angekuwa Rais wa nchi,maisha yake binafsi na mipaka ya nchi yake ikitishiwa,angeanza kwanza ku deal na wanaotishia mipaka ndipo angekuja kutatua ya ndani.

Ukiwa unagombana na mkeo/mumeo ndani,ukasikia watu wanataka kuvunja gate wavamie kwako,cha kwanza utaenda kupambana na wanaivunja gate lako ukisha wasambaratisha ndio utarudi ndani kupatana na mkeo/mumeo.
Hivi Kikwete ni Katibu wa UN? Au ni Kiranja wa Rwanda? Yeye Kikwete angeambiwa hadrani na Kagame aache kutesa waandishi wa habari, aache kupiga mabomu wapinzani wake, aunde tume kuchunguza mauji ya kisiasa majibu yake yangekuwaje kwa Kagame? Hayo ni mambo ya Ndani kwa mtu, huwezi kuyasema hadharani, hiyo Kauli ya Kikwete imewapa nguvu waasi wa Rwanda lazima Kagame akasirike, halafu anamwambia Kagame azungumze na waasi, huku yeye akipeleka Jeshi Kongo... It is Hypocricy!
 
"Mimi sipendi nchi zetu ziingie vitani kwa sababu ya kauli za viongozi wawili, hapa tunazungumzia kushambulia na kushambuliwa, hawa marais wawili wangekutana kumaliza tofauti zao, maana wananchi wa mataifa haya ni ndugu," alisema...
Huyu ndie Dr Slaa, anasema hakuna haja ya kuingia vitani kwa sababu ya tofauti tu ya kauli za viongozi.....we hutaki! unataka kagame apigwe tu!
Jk aliongea vizuri sana hakuna mahara alipotaka vita tena katumia kauri nzuri sana ila slaa ndiyo kaharibu kwa kumuona jk kaksea na kumsapoti kagame ambaye amekuwa akitukana kila kukicha hivi jk angetoa kauri kama za kagame slaa angesemaje naona angeenda moja kwa moja icc kumshitaka jk huyu mzee kwa nini anamchukia sana jk na kwa nini akawa na roho mbaya kiasi hiki kwa jk na taifa.
 
Back
Top Bottom