Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

Huwezi kutenganisha HELLEN KIJO BISIMBA na RWANDA na Vile vile huwezi kutenganisha huyu mama na SLAA , kwa hiyo siwezi kushangaa anamkosoa JK

unakosea unavopinga hoja kwa kusema huwezi kutenganisha flani na flani.....weka hoja yako ikae uso kwa uso na hoja ya slaa...siyo unaanza kufanya connections za kipumbavu hapa
 
Una uhakika gani kama watuts hawaui wahutu mpaka leo rwanda na penginepo? Au kwa vile Wahutu hawapo madarakan? soma sana kutoka vyanzo mbalimbali. Huko ni mwendo mdundo - kutokomezana. JK was right
 
Dr Slaa,
Mimi sileti ushabiki mzee wangu,ninachojaribi kukweka sawa hapa ni kwamba kuna mambo ya msingi ambayo sisi kama taifa tunatakiwa kuwajibika regardless tuna yetu ya ndani ambayo tunaweza kuyatatua muda wowote,au kwa maana nyingine mtoto huwezi kususa na kuacha wajibu wako wa msingi wa kulinda nyumba,kuua nyoka anayehatarisha usalama wa nyumbani,au kwenda machungani eti kwa sababu,eti kwa sababu baba ni mlevi-anatumia pesa yote aliyopata mnadani/gulioni kulewea,au huwezi kutoboa ngalawa unayosafiria eti sababu nahodha amekutusi 'two wrongs don't a right'.
Alichokifanya JK ni kujaribu kutoa suggestion tu,katika kujaribu kuokoa nyumba ya jirani inayowaka moto(nadhani hata ukilala njaa,ikitokea ajalia ya moto kwa jirani huwezi kukaa bila kusaidia eti kwa kuwa umelala njaa,lazima utoe msaada hata wa mawazo tu).
Lakini matusi aliyeyatoa PK ni dhahiri huyu mtu ni mshari,ametumia nguvu kubwa mno kujibu swala dogo kwa jazba kubwa,sasa hapo umeona anaashiria nini huyu kama sio chokochoko za wazi.hana nia nzuri huyu na usalama wa maziwa makuu huyu nyoka,na akitoka Kivu atakuja Kigoma akiendelea kuchekewachekewa.
Mimi ni Chadema damu, lakini sibezi mafanikio yaliyofikiwa na CCM maana huwezi kusema hawajafanya kitu kabisa,vilevile siwezi kuacha kulaani usafirishaji wata wanyama pori,ufisadi wa ccm amabo wewe ndio uliyeuibua na kutujuza watanzania wote,rushwa katika vyombo vya serikali kama police,police kutumia nguvu kupita kiasi,usafirishaji wa madawa ya kulevya ulioibuka n.k.LAKINI LINAPOKUJA SWALA LA KUSHAMBULWA KWA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA MTU WA NJE,IWE KWA RAIA,IWE KWA KIONGOZI,IWE KWA JK,IWE KWA DR.SLAA,sitaangalia mapungufu aliyo nayo mtu huyo, nitashika mtutu kumshambulia adui kwanza,nikimalizana nae ndipo narudi kumwambia ndugu yangu-mtanzania huyo kuwa aliteleza kama ameteleza kweli na siku nyingine asirudie.
Hata wewe mathalani siku ukiwa magogoni pale,ukakwaruzana na mtu yeyote wa nje,nitakutete kwa nguvu zote bila ya kuhoji umefanya kosa lipi,halafu baadae ndipo nitarudi kwako na kukuuliza umefanya nini,lakini wakati huo adui atakuwa tayari keshakiona cha mtema kuni.
Mwisho angalia attachement ya UN inavyoonyesha kwa ushahidi PK yupoje
Asante mzee kwa uungwana wako wa kujibu ,nisamehe kama nilitumia lugha kali kidogo maana nilihamaki,lakini Mungu ibariki Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania


Kusema ukweli

Nyamafu,
Hapo ndo umeona JK amekaa anajadiliana na Upinzani. Ushabiki umelewesha kiasi cha kutoelewa kila kitu kina mazingira yake! Hayo yalikuwa matembezi ya Hiari ya CCBRT na CCBRT ni chombo cha huduma kwa walemavu. Tunachoxungumzia hapa ni lini JK kakutana kujadili mgogoro na wapinzani wake na hapa ninamaanisha Chadema. Kikao pekee ni cha Kujadili Katiba Mpya, ambako hata yaliyojadiliwa hakuyatekeleza ilivyokubaliwa


Mkuu sema kweli kisa kinachokufanya uichukie CCM kwa kweli visa ni kwamba
1. Ufisadi(ujangili,wizi,uporaji,ulanguzi,uhujumu uchumi,mauaji,utesaji,wapiga dili) mfano madini(almasi,Dhahabu,tanzanite coper nk) yanapigwa dili kwa kigezo cha uwekezaji/twiga wameporwa njenje kweupe wakapanda lidege la kijeshi Quartor kwenda Doha,Tembo/kifaru wanaelekea kupotea katika ardhi ya tanzania badala ya kupambana na hali hii ccm iko busy kuiangamiza chadema ili inchi hii ipigwe dili la kufa na kupoa. Jamani tulikatae hili watanzania tupambane kuiondoa ccm ccm ni adui No.1 Tanzania.
2. Watanzania tukae macho tutambu7a uhuni unaofanywa na majangili ya ccm leo yanapita mitaani yakihubili udini na ukanda Niwaombe watanzania kwamba leo tunataza na kushangilia pale tunaposikia viongozi(majangili) ya ccm yakihubili udini bila kutafakari kwamba siku limebuma wote ni wahanga isipokuwa majangili(ccm) yenye mipesa uswizi na ulaya .Hivyo tukatae kwa nguvu zote.
3. Dalili za hili ni nyingi sisi waislam tuposhap sana tunaposikia na kuhubiliwa udini hatulazi damu wote hujingiza mkenge upande ambao shehe anahubili. Hili naliona si zuri ni lazima watanzania tutafakari mahubili yanayokuwa yanafanywa na wanasiasa hususani ya ccm Tafakari kabla ya kuchukua hatua . Mara nyingi sana tumekosea kwa kusikiliza na kuamini maneno ya udini yanayosambazwa na ccm kwa lengo la kuifight chadema. hapo mwanzo walitumia njia hi hi kuifight CUF
4 Leo wanaanza kutumia vijana kwa kuwateka na kuwanunua wakachafue mikutano ya chadema.
 
Mkuu sema kweli kisa kinachokufanya uichukie CCM kwa kweli visa ni kwamba
1. Ufisadi(ujangili,wizi,uporaji,ulanguzi,uhujumu uchumi,mauaji,utesaji,wapiga dili) mfano madini(almasi,Dhahabu,tanzanite coper nk) yanapigwa dili kwa kigezo cha uwekezaji/twiga wameporwa njenje kweupe wakapanda lidege la kijeshi Quartor kwenda Doha,Tembo/kifaru wanaelekea kupotea katika ardhi ya tanzania badala ya kupambana na hali hii ccm iko busy kuiangamiza chadema ili inchi hii ipigwe dili la kufa na kupoa. Jamani tulikatae hili watanzania tupambane kuiondoa ccm ccm ni adui No.1 Tanzania.
2. Watanzania tukae macho tutambu7a uhuni unaofanywa na majangili ya ccm leo yanapita mitaani yakihubili udini na ukanda Niwaombe watanzania kwamba leo tunataza na kushangilia pale tunaposikia viongozi(majangili) ya ccm yakihubili udini bila kutafakari kwamba siku limebuma wote ni wahanga isipokuwa majangili(ccm) yenye mipesa uswizi na ulaya .Hivyo tukatae kwa nguvu zote.
3. Dalili za hili ni nyingi sisi waislam tuposhap sana tunaposikia na kuhubiliwa udini hatulazi damu wote hujingiza mkenge upande ambao shehe anahubili. Hili naliona si zuri ni lazima watanzania tutafakari mahubili yanayokuwa yanafanywa na wanasiasa hususani ya ccm Tafakari kabla ya kuchukua hatua . Mara nyingi sana tumekosea kwa kusikiliza na kuamini maneno ya udini yanayosambazwa na ccm kwa lengo la kuifight chadema. hapo mwanzo walitumia njia hi hi kuifight CUF
4 Leo wanaanza kutumia vijana kwa kuwateka na kuwanunua wakachafue mikutano ya chadema.
 
unakosea unavopinga hoja kwa kusema huwezi kutenganisha flani na flani.....weka hoja yako ikae uso kwa uso na hoja ya slaa...siyo unaanza kufanya connections za kipumbavu hapa

Mkuu sema kweli kisa kinachokufanya uichukie CCM kwa kweli visa ni kwamba
1. Ufisadi(ujangili,wizi,uporaji,ulanguzi,uhujumu uchumi,mauaji,utesaji,wapiga dili) mfano madini(almasi,Dhahabu,tanzanite coper nk) yanapigwa dili kwa kigezo cha uwekezaji/twiga wameporwa njenje kweupe wakapanda lidege la kijeshi Quartor kwenda Doha,Tembo/kifaru wanaelekea kupotea katika ardhi ya tanzania badala ya kupambana na hali hii ccm iko busy kuiangamiza chadema ili inchi hii ipigwe dili la kufa na kupoa. Jamani tulikatae hili watanzania tupambane kuiondoa ccm ccm ni adui No.1 Tanzania.
2. Watanzania tukae macho tutambu7a uhuni unaofanywa na majangili ya ccm leo yanapita mitaani yakihubili udini na ukanda Niwaombe watanzania kwamba leo tunataza na kushangilia pale tunaposikia viongozi(majangili) ya ccm yakihubili udini bila kutafakari kwamba siku limebuma wote ni wahanga isipokuwa majangili(ccm) yenye mipesa uswizi na ulaya .Hivyo tukatae kwa nguvu zote.
3. Dalili za hili ni nyingi sisi waislam tuposhap sana tunaposikia na kuhubiliwa udini hatulazi damu wote hujingiza mkenge upande ambao shehe anahubili. Hili naliona si zuri ni lazima watanzania tutafakari mahubili yanayokuwa yanafanywa na wanasiasa hususani ya ccm Tafakari kabla ya kuchukua hatua . Mara nyingi sana tumekosea kwa kusikiliza na kuamini maneno ya udini yanayosambazwa na ccm kwa lengo la kuifight chadema. hapo mwanzo walitumia njia hi hi kuifight CUF
4 Leo wanaanza kutumia vijana kwa kuwateka na kuwanunua wakachafue mikutano ya chadema.
 
This is what we call comparing apples with oranges!

Mkuu sema kweli kisa kinachokufanya uichukie CCM kwa kweli visa ni kwamba
1. Ufisadi(ujangili,wizi,uporaji,ulanguzi,uhujumu uchumi,mauaji,utesaji,wapiga dili) mfano madini(almasi,Dhahabu,tanzanite coper nk) yanapigwa dili kwa kigezo cha uwekezaji/twiga wameporwa njenje kweupe wakapanda lidege la kijeshi Quartor kwenda Doha,Tembo/kifaru wanaelekea kupotea katika ardhi ya tanzania badala ya kupambana na hali hii ccm iko busy kuiangamiza chadema ili inchi hii ipigwe dili la kufa na kupoa. Jamani tulikatae hili watanzania tupambane kuiondoa ccm ccm ni adui No.1 Tanzania.
2. Watanzania tukae macho tutambu7a uhuni unaofanywa na majangili ya ccm leo yanapita mitaani yakihubili udini na ukanda Niwaombe watanzania kwamba leo tunataza na kushangilia pale tunaposikia viongozi(majangili) ya ccm yakihubili udini bila kutafakari kwamba siku limebuma wote ni wahanga isipokuwa majangili(ccm) yenye mipesa uswizi na ulaya .Hivyo tukatae kwa nguvu zote.
3. Dalili za hili ni nyingi sisi waislam tuposhap sana tunaposikia na kuhubiliwa udini hatulazi damu wote hujingiza mkenge upande ambao shehe anahubili. Hili naliona si zuri ni lazima watanzania tutafakari mahubili yanayokuwa yanafanywa na wanasiasa hususani ya ccm Tafakari kabla ya kuchukua hatua . Mara nyingi sana tumekosea kwa kusikiliza na kuamini maneno ya udini yanayosambazwa na ccm kwa lengo la kuifight chadema. hapo mwanzo walitumia njia hi hi kuifight CUF
4 Leo wanaanza kutumia vijana kwa kuwateka na kuwanunua wakachafue mikutano ya chadema.
 
Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, amemkosoa Rais Jakaya Kikwete, kuhusu kauli ya kumshauri Rais wa Rwanda, Paul Kagame, kuzungumza na waasi wa serikali yake.

Dk. Slaa amesema haoni busara kwa Rais Kikwete kuwaambia viongozi wa Rwanda, akiwamo Rais Kagame, kuzungumza na wafuasi wa chama cha FDRL walioko Congo kwa vile wanatambulika kama wauaji.

Alisema hayo wakati akizungumza katika kongamano la vijana wa Chadema (BAVICHA) la uchumi na ajira lililofanyika jana jijini Dar es Salaam.

Alimshangaa kuwataka kuzungumza na watu ambao Kagame anawaita wauaji wenye asili ya kundi la jeshi la Nterahamwe, lililokuwa linaangamiza Watutsi.

"Rais Kikwete hapa nyumbani hawezi kuzungumza na wapinzani, hajachukua hatua dhidi wauaji wa mwandishi Daudi Mwangosi, alishauriwa amuwajibishe Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda, amempandisha cheo," alisema.

Alisema Rais alitakiwa kuwaambia waje awapatanishe lakini si kuwaambia wazungumze na watu anaowatuhumu kuua Watutsi.

Kumezuka sitofahamu ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Rwanda, baada ya Rais Kikwete kutoa ushauri huo wakati wa mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika Addis Ababa, Ethiopia hivi karibuni.

Ushauri huo ulionekana kumchukiza Rais Kagame, anayedaiwa kuhutubia mikutano kadhaa nchini kwake na kutumia lugha ya matusi, kejeli na dhihaka dhidi ya Rais Kikwete na Tanzania.


CHANZO: NIPASHE
Mkuu sema kweli kisa kinachokufanya uichukie CCM kwa kweli visa ni kwamba
1. Ufisadi(ujangili,wizi,uporaji,ulanguzi,uhujumu uchumi,mauaji,utesaji,wapiga dili) mfano madini(almasi,Dhahabu,tanzanite coper nk) yanapigwa dili kwa kigezo cha uwekezaji/twiga wameporwa njenje kweupe wakapanda lidege la kijeshi Quartor kwenda Doha,Tembo/kifaru wanaelekea kupotea katika ardhi ya tanzania badala ya kupambana na hali hii ccm iko busy kuiangamiza chadema ili inchi hii ipigwe dili la kufa na kupoa. Jamani tulikatae hili watanzania tupambane kuiondoa ccm ccm ni adui No.1 Tanzania.
2. Watanzania tukae macho tutambu7a uhuni unaofanywa na majangili ya ccm leo yanapita mitaani yakihubili udini na ukanda Niwaombe watanzania kwamba leo tunataza na kushangilia pale tunaposikia viongozi(majangili) ya ccm yakihubili udini bila kutafakari kwamba siku limebuma wote ni wahanga isipokuwa majangili(ccm) yenye mipesa uswizi na ulaya .Hivyo tukatae kwa nguvu zote.
3. Dalili za hili ni nyingi sisi waislam tuposhap sana tunaposikia na kuhubiliwa udini hatulazi damu wote hujingiza mkenge upande ambao shehe anahubili. Hili naliona si zuri ni lazima watanzania tutafakari mahubili yanayokuwa yanafanywa na wanasiasa hususani ya ccm Tafakari kabla ya kuchukua hatua . Mara nyingi sana tumekosea kwa kusikiliza na kuamini maneno ya udini yanayosambazwa na ccm kwa lengo la kuifight chadema. hapo mwanzo walitumia njia hi hi kuifight CUF
4 Leo wanaanza kutumia vijana kwa kuwateka na kuwanunua wakachafue mikutano ya chadema.
 
Back
Top Bottom