Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,046
TBC ndo wamechemsha kabisa hapo alitakiwa aitwe Mbowe na siyo Dr.Slaa haiwezekani ukamwita rais wa TANGANYIKA na Mukama ktbu wa chama nadhani siku nyingine amuite Dr.Slaa rais wa TANGANYIKA nawa tanzania pamoja na wa zanzibar hapo ndo angalau tunaweza pata manufaa ya mdaharo wewe unamuita Dr. aje apambane na 4m leaver unategemea nini wananchi watafaidi nini?