only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,342
- 2,528
Dk. Wilbroad Slaa ameingia mitini licha ya kuthibitisha kushiriki kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 ambacho kililenga kumkutanisha na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama. Wote walithibitisha kushiriki lakini ghafla Dk. Slaa akaingia mitini.
Kumpambanisha Dr Slaa na Mukama ni kama kupambanisha maumivu ya kichwa na HIV.......Namshukuru Dr Slaa kwa kutohudhuria huo mjadala,maana sioni mtu wa maana wa CCM anayeweza kukaa na Dr Slaa,wote vichwa tope....Indeed,TBC1 ni TBCCM kwa sasa naona Dr alisoma alama akaona uharo wa hawa jamaa........Mukama akakae kiti kimoja na Nape au Lusinde....