Dr. Slaa AMKIMBIA Wilson Mukama katika mjadala?

Dr. Slaa AMKIMBIA Wilson Mukama katika mjadala?

Futa huu upuuzi ulioletwa hapa.Please mods

Usimshawishi modes kufuta kwa kuwa katajwa Dr. slaa.
kama aliahidi kuhudhuria, ikatangawzwa kuwa kwenye mjadala atakuwepo halafu ikatokea hajahudhuria, taswira yake kwa jamii itaharibika. Kuna ukweli kaukimbia. Viongozi kama hawa hatuwahitaji tz, kwani kama anakimbia media akiwa katibu wa chama, Je akiwa rais si atazifuta kabisa?
 
Si usingizi, inaonekana kaishiwa kwa sababu habari zinaeleza kwamba alikuwa akikata mitaa kwenye viuga vya Dar.
Acha umbea mtoto wa kiume....unaweza kutuambia alitoa sababu gani ya kutofika....
 
Je ilijulikana ni kwanini hakuja au tunahukumu tu?
Hata hivyo Mukama hana ubavu wa kushindanishwa na Dr Slaa
Ukipenda huoni chongo, what so special na Dk. Slaa kama si kutaka kuvuruga amani.
 
Kwa vyombo vyenyewe TBC tehe nawaonea huruma sana RAIS wangu hawezi mkimbia gamba lililochoka kama MUKAMA
 
Hii nayo ni sera kweli Magamba hamna hata cha kufikiri! Dr Slaa ataongea nini na Wilson Mukamasi?

tatizo sio kuongea na mkama, alitakiwa kuongea na wananchi. kawakambia wananchi na siyo mkama. kosa hili
 
Dk. Wilbroad Slaa ameingia mitini licha ya kuthibitisha kushiriki kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1 ambacho kililenga kumkutanisha na Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama. Wote walithibitisha kushiriki lakini ghafla Dk. Slaa akaingia mitini.

Kwa kadri ninavyomjua Dr. Slaa ameona ni kupoteza muda kwenda kuongea na KILAZA WILSON MUKAMA!
Wilson Mukama anavyoonekana ni mojawapo ya MAKATIBU WAKUU DHAIFU KABISA AMBAO Chama cha Magamba imewahi kuwa nao akiwemo Mzee wa Shambaani Yusuf Makamba!

Hivi nyie wana Magamba unategemea Mukama angeweza kuhimili hoja za Dr Slaa kweli? Surely Mukama have no match to Dr. Slaa! Huo ndiyo ukweli na utabaki hivo. Wewe jitu zima eti Katibu Mkuu wa Chama Tawala unaenda kuudanganya Umma wa Watanzani kuwa CHADEMA wameingiza Makondoo 33 toka AFGHANISTAN na LIBYA!!!

Mukama alipobanwa na Dr. Slaa kwa hoja nyepesi kabisa kwamba; KAMA KWELI CDM WAMEINGIZA MAKONDOO 33 KUTOKA AFGHANISTAN NA LIBYA basi Serikali ya CCM iliyoko madarakani inapaswa kuondolewa kwasababu itakuwa imedhihirisha kuwa ni DHAIFU sana kiasi cha kuachia watu hatari tena makomandoo toka nje kuvuka mipaka na kuingia Tanzania bila ya kukamatwa na POLISI,JWTZ na UHAMIAJI!!!

Mpaka leo Mukama hajathibitisha ujio huo wa Makomandoo 33. Polisi walipomhoji ukweli wa ujio wa hao Makomandoo akaanza kuweweseka na hana la kusema! Sasa hapa nani anayefanya UTAFITI wa kina kabla ya kutamka jambo kati ya Mukama na Dr.Slaa??? Majibu mnayo watu wa Chama Cha Mafisadi-CCM.

Nampongeza Dr. kwa kupuuza kushiriki kipindi hicho maana hakina tija na ingelikuwa kupoteza muda kubishana na huyo KIHIYO wa CCM!
 
Usimshawishi modes kufuta kwa kuwa katajwa Dr. slaa.
kama aliahidi kuhudhuria, ikatangawzwa kuwa kwenye mjadala atakuwepo halafu ikatokea hajahudhuria, taswira yake kwa jamii itaharibika. Kuna ukweli kaukimbia. Viongozi kama hawa hatuwahitaji tz, kwani kama anakimbia media akiwa katibu wa chama, Je akiwa rais si atazifuta kabisa?
CCM wanaongoza kwa kukacha mijadala? je unataarifa hiyo je sababu huwa ni nini?
 
Kafanya la maana yaani wewe Mbuni halafu uende kufanya mdahalo nyumbani kwa Nyani na unayefanya nae huo mdahalo ni Kima! Heri hata wangeenda ITV au STarTv KIDOOOGO! si mnakumbuka last time kila akitaka kuongea anakatizwa ila akiongea mwenzie aaaahh, ndio hakwenda sasa wajinyonge na TENDWA NA BANA wamekiri kuwa WAAJIRI wao wanaelekea shimoni. Full stop

kwa nini alithibitisha kuhudhuria? si angekataa kwa kuanzisha ratuba nyingine kabisa?
 
Habari za ndani kabisa mtoto wa Dr Slaa mwenye miezi 2 aliezaa na Josephine ana homa kidogo hivyo ilikua vigumu kushiriki
 
tatizo sio kuongea na mkama, alitakiwa kuongea na wananchi. kawakambia wananchi na siyo mkama. kosa hili
Dr Slaa anasehemu nyingi za kuomngea na wananchi...kwanini hawakuwapa nafasi hiyo wakati wa kampeni za Igunga.......na mara nyingie walikuwa wakiupotosha umma yote yaliyokuwa yanafanywa na Mafisadi....
 
Usimshawishi modes kufuta kwa kuwa katajwa Dr. slaa.
kama aliahidi kuhudhuria, ikatangawzwa kuwa kwenye mjadala atakuwepo halafu ikatokea hajahudhuria, taswira yake kwa jamii itaharibika. Kuna ukweli kaukimbia. Viongozi kama hawa hatuwahitaji tz, kwani kama anakimbia media akiwa katibu wa chama, Je akiwa rais si atazifuta kabisa?

chuki zako kwa watanzania hazitakusaidia kitu
 
hakuna haja kwanza ccm imeshakufa yanini kupoteza muda!umesahau makamba alivyoamuru wana ccm wasishiriki midahalo wakati wa kampeni mwaka jana na mkafukuza tido mhando?slaa atashiriki mdahalo wa cdm na TANU.
 
Usimshawishi modes kufuta kwa kuwa katajwa Dr. slaa.
kama aliahidi kuhudhuria, ikatangawzwa kuwa kwenye mjadala atakuwepo halafu ikatokea hajahudhuria, taswira yake kwa jamii itaharibika. Kuna ukweli kaukimbia. Viongozi kama hawa hatuwahitaji tz, kwani kama anakimbia media akiwa katibu wa chama, Je akiwa rais si atazifuta kabisa?

Kwa mawazo haya lazima unafanya kazi BAKWATA.
 
tatizo sio kuongea na mkama, alitakiwa kuongea na wananchi. kawakambia wananchi na siyo mkama. kosa hili

Wewe kweli akili zako ni za mbayu wayu! Aongee kupitia TBC kweli? Ujuha ni ugonjwa mkubwa sana
 
Mjadala na mukama TBC? give me a break!!!

Hiyo ni kwa Dr. Slaa kupoteza Muda. TBC tunawajua sana.

Nafikiri Dr. Slaa alishaona Picha halisi ya Mjadala utakavyo endeshwa, Especially kama angekuwa Marin Hassan.

Pure UCCM!!!!!
 
Habari za ndani kabisa mtoto wa Dr Slaa mwenye miezi 2 aliezaa na Josephine ana homa kidogo hivyo ilikua vigumu kushiriki

mnafuatilia habari zake kuliko hata Rais wa marekani.Ukishakuwa maarufu kuliko watu wote afrika mashariki tabu sana.
 
CCM wanaongoza kwa kukacha mijadala? je unataarifa hiyo je sababu huwa ni nini?

J.K alikimbia mjadala kwenye race za urais, sababu ni kuwa asingeweza kujibu maswali au hoja za Dk. slaa na Lipumba. Kwa lugha nyingine, media ingetumika kumchafua sana kikwete na kuwapaisha wapinzani wake. Ndo maana alikana kabisa kushiriki mdahalo huo.

Sasa nikuulize swali,
1.Dk. Slaa, amekacha kwa sababu sawa na za magamba kukacha midahalo?
2. Kwa nini athibitishe kuhudhuria na kisha kukacha tena yawezekana bila taarifa yoyote?
kakimbia nini? watanzania au mkama? nijuze crashwise.
 
Back
Top Bottom