ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
Futa huu upuuzi ulioletwa hapa.Please mods
Usimshawishi modes kufuta kwa kuwa katajwa Dr. slaa.
kama aliahidi kuhudhuria, ikatangawzwa kuwa kwenye mjadala atakuwepo halafu ikatokea hajahudhuria, taswira yake kwa jamii itaharibika. Kuna ukweli kaukimbia. Viongozi kama hawa hatuwahitaji tz, kwani kama anakimbia media akiwa katibu wa chama, Je akiwa rais si atazifuta kabisa?