Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Status
Not open for further replies.
Huyu mzee mbona anataka kudanganya mchana kweupe!!! Watumishi wa chama hawawezi kukopa kwingine?????? Huyu mzee anadhani kila mtu anadanganyika kama nanihii...

Je mtumishi wa serikali anapokopa anakatwa nini si mshahara wake,je kiongozi wa chama anayelipwa na chama na asiyefanya biashara si anakopa na kukatwa mshahara wake,hao wengine nao waseme km waliomba mkopo wakanyimwa,lkn hii nayo ni hoja ? Kwa nini tusizungumzie ufisadi wa fedha za uswis ambazo watu wamehongwa ili kugawa gas na mafuta yetu? Siasa za kipuuzi zimepitwa na wakati,tanzania maisha yanazidi kuwa magumu ccm nyie mnawaza kuendelea kupumbaza watu ,this is folish,
 
Acheni hoja dhaifu za kutetea ufisadi>
Ficheni nyuso zenu kwa unafiki mnaouonyesha hadharani.

Mnapata ujasiri wapi kukemea ufisadi serikali wakati nyie wenyewe mna mizizi ya ufisadi na kutetea ufisadi?

Mtumishi wa serikali "akijikopesha" fedha ya umma mtakuwa na uhalali gani wa kuhoji kama suala hilo vile vile litaishia vikao husika?

Kweli wezi hawana aibu!
fedha ya uma ipi wewe kimeo?ongelea majangili ya huko uccmuni huyaoni ambayo yamehamisha kila kitu,halafu nyie magamba fedha za cdm zinawahusu nini wakati hazichangi,sie wachangiaji tumeridhika na matumizi yake tunayajua lakini ninyi mnazibebea bango.wakati mmefuga majambazi na majangili kibao.leo wewe wa kujua ufusadi wakati unajua hata kipato chako sio halali!!!
 
Mwambieni Dr Slaa the damage done is collosal and permanent, credibility ya uaminifu kwa hela ya chama ina dondoka kwa kasi kubwa.
CHADEMA inatumiwa kama kampuni binafsi

Maswali mengi kuliko majibu hapa.
Tutajuaje alikopa 20mil na si 140mil
Mkopo uliidhinishwa na nani?
Je CHADEMA kina utaratibu wa kukopesha wanachama wake
Slaa anasema hawezi kukopa kwingi -si ni uongo huu?
Hana hati ya nyumba kukopea benki?
Na kukmbukumbu za pay -in slips zipo?

Nani mwingine " kajikopesha " hela ya chama?

Something fishy around here!
Maso utasababisha tupigwe BAN acha kunyea mdomo! hivi unataka pay in slip ukiwa kwenye chama cha majambazi ili utume majambazi wakamvamia au! "Hela ya chama" We mas)($%ri yanakuwasha mbona hadi watu wa board wamejibu. Niambie ni jambazi gani kati ya viongozi wako ameshajibu!
 
Let us be principled. Kwa kitendo cha katibu mkuu wa chama(Dr.Slaa) kukopa fedha ya ruzuku ni uthibitisho tosha kuwa huyu ana uroho mkubwa wa fedha na mali za umma. Ni dhahiri kwamba chama kinahitaji fedha hizi kwaajili ya kujiimarisha ya aina yoyote ile. Wanafanya kazi kwa kujitolea. Dr. Slaa analipwa kila mwezi mshahara wa sh.mil.7 plus other benefits. Huyo huyo anakopa fedha ya walalahoi ya ruzuku. Kitendo hiki alichofanya Dr. slaa ni cha kihuni, amepoteza moral authority ya kuwa kiongozi anayeweza kuaminika ktk nchi yoyote ile.Kama alikuwa na shida Je hakukuwa na namna nyingine ya kupata fedha, mpaka akope za ruzuku?
Watu wanaropoka majukwaani kuwa wanapigania haki za wananchi, kumbe wanapigania matumbo yao.
This is very bad, it is double standards.Dr. Slaa sasa awaachie vijana kazi ya ukatibu mkuu. Wakpo wengi wenye uwezo mkubwa sana zaidi yake.

Wahi MIREMBE!! unaumwa sana! Ni lini dhaifu amekuwa na ujasiri wa kujibu kuanzia ujangili wa IPTL na list of shame. We have the bravest warrior of our times!
 
Kwanini hataki kujibu hoja zote zilizoelekezwa kwake na masalia? Kuanzia za magafu wa mwanza, mwampamba wa mbozi, juliana na kisandu? Kwanini anachagua anayopenda yeye? Nadhani katibu mkuu anapaswa kuufahamisha umma kwa uwazi zaidi kuhusu haya mambo..


WanaJF,
Nilidhani walioko humu ni great Thinkers. Nilisema hakuna hoja ya kujibiwa hivo sina muda wa kupoteza kujibu hoja za kufikkirika. Ni jukumu la mwenye kuleta hoja kutoa ushahidi si jukumu la mtuhumiwa. Ndio maana wakati wa EPA/B0T. Nilitoa account no, bank husika, majina ya wahusika, tarehe ya transaction na kadhalika. Kama ni kutamka anybody anaweza kutamka chochote hat a kichaa. Hivyo watanzania, nikikaa kimya maana yake nimepuuza kwa kuwa hakuna hoja ila wanaoleta wanadhamira tu ya kutuondoa kwenye hoja za msingi. Nagpenda kwa Mara ya mwisho niwahakikishie woe wenyewe mapenzi MEma Chadema iko makini, yote tunayofanya ni kwa mujibu wa taratibu zetu tulizojiwekea. Iwapo mwenye nia Njema anahitaji kufahamu jambo milango ya makao makuu yako wazi saa zote alimradi unafuata taratibu za kawaida za kiofisi.
 
Viongozi wa vyama vya siasa wangekuwa hawawezi kukopa Mbowe angekuwa hadaiwi na NSSF. Yaani na wewe unadanganyika haraka na kirahisi namna hiyo?! au ndio ile mtu akipenda chongo huita kengeza? Mikopo ipo kwa watu wote wanaokopesheka.Kama hakopesheki basi tatizo ni lingine lakini siyo kwa kuwa ni mwanasiasa. By the way, Slaa na mshahara wa milioni 7 alikuwa na ulazima gani wa kuchukua tena milioni 20 za chama?
Mbowe ni mfanya biashara, ana assets nyingi, anakopesheka popote, Dr,Slaa atakopeshwa wapi?
 
Mkuu, issue ni kwamba swala hili lililetwa hapa JF kwa mara ya kwanza na TUNTEMEKE ambaye alipigwa ban kwa kosa la kuleta "taarifa ya uongo". More than 14 months later, ndio babu anajitokeza kukubali kuwa alichukua pesa za chama.
Mbaya zaidi, babu anakuja na porojo kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Halafu babu huyuhuyu anataka aaminiwe kuachiwa Ikulu. Bado huoni issue ilipo Jasusi?
Kwani Tuntemeke ni nani? Unamjua? si masalia haohao. Huyu sio mtu mmoja.
 
Viongozi wa vyama vya siasa wangekuwa hawawezi kukopa Mbowe angekuwa hadaiwi na NSSF. Yaani na wewe unadanganyika haraka na kirahisi namna hiyo?! au ndio ile mtu akipenda chongo huita kengeza? Mikopo ipo kwa watu wote wanaokopesheka.Kama hakopesheki basi tatizo ni lingine lakini siyo kwa kuwa ni mwanasiasa. By the way, Slaa na mshahara wa milioni 7 alikuwa na ulazima gani wa kuchukua tena milioni 20 za chama?
kwenye hizo mil 20.mchango wako ulikuwa sh. ngapi??
 
WanaJF,
Nilidhani walioko humu ni great Thinkers. Nilisema hakuna hoja ya kujibiwa hivo sina muda wa kupoteza kujibu hoja za kufikkirika. Ni jukumu la mwenye kuleta hoja kutoa ushahidi si jukumu la mtuhumiwa. Ndio maana wakati wa EPA/B0T. Nilitoa account no, bank husika, majina ya wahusika, tarehe ya transaction na kadhalika. Kama ni kutamka anybody anaweza kutamka chochote hat a kichaa. Hivyo watanzania, nikikaa kimya maana yake nimepuuza kwa kuwa hakuna hoja ila wanaoleta wanadhamira tu ya kutuondoa kwenye hoja za msingi. Nagpenda kwa Mara ya mwisho niwahakikishie woe wenyewe mapenzi MEma Chadema iko makini, yote tunayofanya ni kwa mujibu wa taratibu zetu tulizojiwekea. Iwapo mwenye nia Njema anahitaji kufahamu jambo milango ya makao makuu yako wazi saa zote alimradi unafuata taratibu za kawaida za kiofisi.

Dr. Slaa ni mbumbu wa sheria. Kukaa kimpya maana yake umekubali, siyo umepuuza.Silence presuposes concerned.
Kama mnautaratibu wa viongozi wakuu wa chama kukopeshana fedha za ruzuku(fedha za umma, siyo za kibiashara), basi utaratibu huo ni mbovu, na hauna uhalali wowote kimaadili.Kwasababu hilo siyo lengo la ruzuku. Ruzuku ya fedha ya walipa kodi kwaajili ya kuimalisha demokrasia nchini. Pia, kwanini utarajibu wa kukopeshana ruzuku anufaike nao katibu mkuu tuu wa chama na si mlalahoi mwingine wa chama hichohicho? Dr. Slaa hapa umechemka. Huna mlango wa kutokea. Huu ni ufisadi wa kimkakati!
 
We usituletee arguments za kifala hapa jf,kwani Dhaifu hana madeni?Hana mkopo?Sasa kamuulize kama ameshayalipia akupe na ushahidi utuletee hapa.Majitu mingine kama matoto yaani...!
huyo red hapo hana, na kama analo ni lakuzuga tu, mwizi mkubwa huyo...
 
Kwanini hataki kujibu hoja zote zilizoelekezwa kwake na masalia? Kuanzia za magafu wa mwanza, mwampamba wa mbozi, juliana na kisandu? Kwanini anachagua anayopenda yeye? Nadhani katibu mkuu anapaswa kuufahamisha umma kwa uwazi zaidi kuhusu haya mambo..

Hoja zilizotolewa kihuni hujibiwa kihuni hivyo hivyo.... Hoja zilizopelekwa kwenye vikao halali vya chama hujibiwa zote bila chenga, mengine hayo ni uamuzi wake kuchagua ya kujibu tena kwa wakati anaotaka yeye na sio unaotaka wewe... Hongera Dr Slaa kwa majibu mazuri, sasa watafute mengine ya kuyaongea!!
 
pesa zilishalipwa kwahiyo tunabishania deni ambalo ni non exist watanzania sisi kwanini tunapenda kubishana vitu vya kijinga na kuacha mambo msingi utakuta mtu anabishana mpaka mishipa inamtoka kubishania simba na yanga wakati mali za taifa zinapotea hata habari hana halafu anashangaa kwanini huduma za jamii zinadidimia.

Ukisema simba na yanga mbona wataonekena wazalendo..mpira unaoshabiliwa wa bara la ulaya..mbaya zaidi hawajui hata msimamo wa suala la gesi Mtwara..so sad
 
Vipi riba, mkuu umelipa nayo au katibu mkuu unapata soft loan?
Options
Willibrod Slaa


Hoja ya kujikopesha kwa sura ya ufisadi ni "mfu" nimetamka nilikopa 20 kwa kuwa watumishi wa vyama hawawezi kukopa kwingine. Aidha siyo 140 Million. Zote 20 m zililipwa awamu ya mwisho June 2012. Hivyo hakuna deni la chama tena.
2. Josephine hajawahi kulipwa hata senti mmoja na chama kwa ziara za Mikoani, wala kwa shughuli yeyote ile isipokuwa wakati wa kesi Arusha alipokuwa na mtoto wa miezi 3 na tulihitaji yaya
 
WanaJF,
Nilidhani walioko humu ni great Thinkers. Nilisema hakuna hoja ya kujibiwa hivo sina muda wa kupoteza kujibu hoja za kufikkirika. Ni jukumu la mwenye kuleta hoja kutoa ushahidi si jukumu la mtuhumiwa. Ndio maana wakati wa EPA/B0T. Nilitoa account no, bank husika, majina ya wahusika, tarehe ya transaction na kadhalika. Kama ni kutamka anybody anaweza kutamka chochote hat a kichaa. Hivyo watanzania, nikikaa kimya maana yake nimepuuza kwa kuwa hakuna hoja ila wanaoleta wanadhamira tu ya kutuondoa kwenye hoja za msingi. Nagpenda kwa Mara ya mwisho niwahakikishie woe wenyewe mapenzi MEma Chadema iko makini, yote tunayofanya ni kwa mujibu wa taratibu zetu tulizojiwekea. Iwapo mwenye nia Njema anahitaji kufahamu jambo milango ya makao makuu yako wazi saa zote alimradi unafuata taratibu za kawaida za kiofisi.

Dr.W.Slaa,

Hakuna ambaye anataka kukutoa kwenye hoja ya msingi. Ili la kukopa ruzuku ya chama wewe unaona siyo hoja ya msingi.

Naomba kufahamu ndani ya Chadema mna utaratibu wa kukokopeshana pesa za ruzuku ya chama.

Unapokea milioni 7 kwa mwezi halafu unasema hakuna wa kukopesha ndiyo maana umeamua kujikopesha.

Juliana Shonza bila kuwambia wananchi tusingejua kama umekopa pesa ya chama kwa matumizi yako binafsi.
 
Last edited by a moderator:
Dr. Slaa ni mbumbu wa sheria. Kukaa kimpya maana yake umekubali, siyo umepuuza.Silence presuposes concerned.
Kama mnautaratibu wa viongozi wakuu wa chama kukopeshana fedha za ruzuku(fedha za umma, siyo za kibiashara), basi utaratibu huo ni mbovu, na hauna uhalali wowote kimaadili.Kwasababu hilo siyo lengo la ruzuku. Ruzuku ya fedha ya walipa kodi kwaajili ya kuimalisha demokrasia nchini. Pia, kwanini utarajibu wa kukopeshana ruzuku anufaike nao katibu mkuu tuu wa chama na si mlalahoi mwingine wa chama hichohicho? Dr. Slaa hapa umechemka. Huna mlango wa kutokea. Huu ni ufisadi wa kimkakati!
Kawabane kwanza hayo majizi menzio huko kwenye lichama la majizi! Huna hoja we kilaza tu!!
"UFISADI WA KIMKAKATI" na ule wa Riz0ne kuchotewa hela za serikali na babaye unaitwaje? shame!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom