Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Status
Not open for further replies.
ndo mlivyoaminishwa? au unaushahidi?

Ushahidi upo ndugu yangu. Ulimsikia Lowassa akimchallenge Kikwete kwenye kikao cha CCM kuhusu maamuzi ya Richmond? Kwamba ni Kikwete aliyeshinikiza Richmond ipewe mkataba wa kuleta umeme. Kikwete akashindwa kujibu. Richmond ikageuka kuwa Dowans. Zote hizo ni kampuni za Kikwete. Huyu ni mwizi wa mali za umma na ushahidi upo, lakini ninyi mnashupalia tu mtu aliyekopa na kulipa. Watu wa ajabu sana ninyi.
 
Ushahidi upo ndugu yangu. Ulimsikia Lowassa akimchallenge Kikwete kwenye kikao cha CCM kuhusu maamuzi ya Richmond? Kwamba ni Kikwete aliyeshinikiza Richmond ipewe mkataba wa kuleta umeme. Kikwete akashindwa kujibu. Richmond ikageuka kuwa Dowans. Zote hizo ni kampuni za Kikwete. Huyu ni mwizi wa mali za umma na ushahidi upo, lakini ninyi mnashupalia tu mtu aliyekopa na kulipa. Watu wa ajabu sana ninyi.

No wonder serikali kulipa mishahara ya wafanyakazi wake ni mbinde.
No wonder viongozi wetu hawajui hata ni kwa nini sisi ni maskini.
Ndio maana hata kwenye mambo muhimu wanapiga usingizi.....
 
Ushahidi upo ndugu yangu. Ulimsikia Lowassa akimchallenge Kikwete kwenye kikao cha CCM kuhusu maamuzi ya Richmond? Kwamba ni Kikwete aliyeshinikiza Richmond ipewe mkataba wa kuleta umeme. Kikwete akashindwa kujibu. Richmond ikageuka kuwa Dowans. Zote hizo ni kampuni za Kikwete. Huyu ni mwizi wa mali za umma na ushahidi upo, lakini ninyi mnashupalia tu mtu aliyekopa na kulipa. Watu wa ajabu sana ninyi.
sidhani kama mimi ni miongoni mwa wanaoshupalia watu waliokopa. pili mkuu hilo la richmond/dowans ni zaidi ya tuyajuayo. hivi unaweza amini kuwa ile ripoti ya mwakyembe ilisomwa pale bungeni kabla kikwete hajaiona? sita? othman? mwema? mwamyange? it is very complicated. acheni kumezeshwa visivyomezeka. au usikurupuke tu, think.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom