Huyu mzee mbona anataka kudanganya mchana kweupe!!! Watumishi wa chama hawawezi kukopa kwingine?????? Huyu mzee anadhani kila mtu anadanganyika kama nanihii...
Kumbe wewe ni mtu usiye na hoja kiasi hiki
Huyu mzee mbona anataka kudanganya mchana kweupe!!! Watumishi wa chama hawawezi kukopa kwingine?????? Huyu mzee anadhani kila mtu anadanganyika kama nanihii...
Kumbe wewe ni mtu usiye na hoja kiasi hiki
Ndugu yangu ZeMarcopolo,Viongozi wa vyama vya siasa wangekuwa hawawezi kukopa Mbowe angekuwa hadaiwi na NSSF. Yaani na wewe unadanganyika haraka na kirahisi namna hiyo?! au ndio ile mtu akipenda chongo huita kengeza? Mikopo ipo kwa watu wote wanaokopesheka.Kama hakopesheki basi tatizo ni lingine lakini siyo kwa kuwa ni mwanasiasa. By the way, Slaa na mshahara wa milioni 7 alikuwa na ulazima gani wa kuchukua tena milioni 20 za chama?
Deni limeshalipwa, tena imepita miezi saba sasa. What is the issue? Sijui na siwezi kuhukumu madai kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Lakini nisingekurupuka na kusema ni uwongo kabla sijafanya utafiti. Let us give him the benefit of the doubt until proven otherwise. Lakini naona wenzangu mna haraka ya kutoa hukumu na kukimbilia conclusion kuwa asiaminiwe kupewa Ikulu. Leo ikulu inakaliwa na mwizi wa mali za umma. Sijawasikia mkilalamika. Sioni issue.
Kama mtu anayelipwa sh. 7m anashindwa kukopesheka na taasisi za fedha vipi sisi walala hoi tunakesha barabarani na kutembea kwenye jua bila kipato cha uhakika tutapona?Ndugu yangu ZeMarcopolo,
Unasahau kitu kimoja. Hata kabla hajaingia siasa Mbowe alikuwa ni mfanyibiashara mwenye mali zisizohamishika. Kwa hiyo anaweza kupata mkopo. Tungemuuliza Maalim Lipumba juu ya uzoefu wake kwa sababu huyu, kama Mzee Slaa, hana biashara. Kama Lipumba atasema kuwa ni rahisi kwake kupata mkopo, ingawa kazi yake ni full time mwanasiasa, basi tamko la Slaa litakuwa na mushkeli. Hata mwenye mshahara wa milioni saba hukopa. Labda kuna dharura ilitokea. Lakini the point is alishalipa.
Kama mtu anayelipwa sh. 7m anashindwa kukopesheka na taasisi za fedha vipi sisi walala hoi tunakesha barabarani na kutembea kwenye jua bila kipato cha uhakika tutapona?
Options
Willibrod Slaa
Hoja ya kujikopesha kwa sura ya ufisadi ni "mfu" nimetamka nilikopa 20 kwa kuwa watumishi wa vyama hawawezi kukopa kwingine. Aidha siyo 140 Million. Zote 20 m zililipwa awamu ya mwisho June 2012. Hivyo hakuna deni la chama tena.
2. Josephine hajawahi kulipwa hata senti mmoja na chama kwa ziara za Mikoani, wala kwa shughuli yeyote ile isipokuwa wakati wa kesi Arusha alipokuwa na mtoto wa miezi 3 na tulihitaji yaya
Huyu mzee mbona anataka kudanganya mchana kweupe!!! Watumishi wa chama hawawezi kukopa kwingine?????? Huyu mzee anadhani kila mtu anadanganyika kama nanihii...
Kama mtu anayelipwa sh. 7m anashindwa kukopesheka na taasisi za fedha vipi sisi walala hoi tunakesha barabarani na kutembea kwenye jua bila kipato cha uhakika tutapona?
Utaratibu gani ulitumika kumkopesha? Je, viongozi wengine pia wanaruhusiwa kukopeshwa? kwa utaratibu upi?
Kwanini TUNTEMEKE alivyotoa tuhuma hizi kwa mara ya kwanza mwaka 2011 alipigwa ban wakati inaonekana kweli wakati huo deni lilikuwepo? - Tuntemeke aombwe radhi, to be fair...
Tuhuma zimeendelea kuwepo kwa sababu hazikujibiwa.
Mkuu, issue ni kwamba swala hili lililetwa hapa JF kwa mara ya kwanza na TUNTEMEKE ambaye alipigwa ban kwa kosa la kuleta "taarifa ya uongo". More than 14 months later, ndio babu anajitokeza kukubali kuwa alichukua pesa za chama.
Mbaya zaidi, babu anakuja na porojo kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Halafu babu huyuhuyu anataka aaminiwe kuachiwa Ikulu. Bado huoni issue ilipo Jasusi?
swala alikopeshwa na wala hajajikopesha,..alikubaliwa sababu alitimiza vigezo vya kukopaKwa hili kuna tatizo... Hoja inatakiwa ijibiwe vizuri maana kila kiongozi akikopa kwa ajili ya kujinufaisha na wakati chama kinazunguka kuomba watu wachangie wengine wanakopeshana. Je wakati wa kukopa waliangalia risk zinazoweza kutokea? Thanks God zimelipwa. Je aliyekopa aliweka dhamana? Kwa kweli inapaswa kutolea maelezo mazuri swala hili. Maana swala hili wakilochukua wapizani wenu litakuwa baya pia kwenu.
Asante
Weka ushahidi kuonyesha kwamba sio 140 ni 20, na ushahidi kwamba zimelipwa zote...kwa hiyo yaya analipwa na chama?
we mbona ujatuwekea ushahidi wa uyo unaesema anaiba mali za umma?!au babu tu ndio anatakiwa kusikilizwa wengine wanahukumiwa bila ushahidi ! Don't play double standardDeni limeshalipwa, tena imepita miezi saba sasa. What is the issue? Sijui na siwezi kuhukumu madai kuwa watumishi wa vyama vya siasa hawaruhusiwi kukopa. Lakini nisingekurupuka na kusema ni uwongo kabla sijafanya utafiti. Let us give him the benefit of the doubt until proven otherwise. Lakini naona wenzangu mna haraka ya kutoa hukumu na kukimbilia conclusion kuwa asiaminiwe kupewa Ikulu. Leo ikulu inakaliwa na mwizi wa mali za umma. Sijawasikia mkilalamika. Sioni issue.