Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Dr Slaa ajibu tuhuma dhidi yake

Status
Not open for further replies.
Ze Marcopolo na Wingu mmetumwa. Ni nn msichokielewa. watu wana mishahara a hadi $1.9 mil per month lkn wana loan bado. unategemea unakopa kwa malengo gani. Mnakomalia vitu vya uongo ili muonekane mmeandika.
 
Weka ushahidi kuonyesha kwamba sio 140 ni 20, na ushahidi kwamba zimelipwa zote...kwa hiyo yaya analipwa na chama?

Kesi ilikua ya chama, yy alikua pale kwa sababu ya chama, ulitaka yaya alipwe na nani?
 
Sijaona watanzania wajinga kiasi hiki,ina maana mtu kukopa ni tatizo..mbona taasisi nyingine zinakopesha wafanyakaz wake?
Hivi hamjui kuwa kwenye personal financial planning ,borrowing ni mojawapo ya component?
Hivi kuna mtu anaweza kuishi bila kukopa?au mlitaka auze madawa ya kulevya kama viongozi wengi wa CCM wafanyavyo?
Ama kweli akutukanae hakuchagulii tusi..
Watanzania shirikisheni ubongo wenu, ,,
 
swala alikopeshwa na wala hajajikopesha,..alikubaliwa sababu alitimiza vigezo vya kukopa
swala la kujiuliza je mkopo ulikuwa na interest?kama ni kweli huoni kuwa hiyo interest inakwenda cdm?

Swali jingine katiba inaeleza mwanachama anaruhusiwa kukopa fedha za chama? Kama ipo basi chama kikikusanya pesa kiweke wazi kuwa hizo pesa zitatumika kukopeshana pia sio kujenga chama peke yake.
 
:A S angry: 140,000,000-20,000,000=120,000,000/= asante babu kwa kulipa baadhi ya mzigo,nauliza hivi hizo pesa zilizobaki ziko wapi????
 
Kwani kukopa ni Kosa? hata kama zingekua bilion 140. muhimu huyo mkopaji ana sifa za kukopa na mkopeshaji akikubali kumkopesha. Kwanini watu wanamtafufa Dr Slaa ktk Ujinga? Mi nadhani kama angejichukulia hizo hela bila utaratibu au angeiba hapo ilikuwa haki kumshutumu.
 
Sioni hata hoja ya kujadili hapa. Chama kilimkopesha mtumishi wake na ameshalipa. Hakuna issue tena ya kujadili hapa.
 
Weka ushahidi kuonyesha kwamba sio 140 ni 20, na ushahidi kwamba zimelipwa zote...kwa hiyo yaya analipwa na chama?

Kuna ulazima gani wa kuweka ushahidi hapa JF. Huo ndio ukweli unaojulikana kwenye nyaraka na vikao rasmi. Mengine ni tungo za uwongo za wasioitakia mema chadema.
Ifahamike, Dr Slaa hakai na fedha ya chama kwenye akaunti yake na wala yeye siyo mtia saini wa cheki hiyo peke yake kiasi kwamba anaamua cho chote atakacho. Sivyo ilivyo.
 
:A S angry: 140,000,000-20,000,000=120,000,000/= asante babu kwa kulipa baadhi ya mzigo,nauliza hivi hizo pesa zilizobaki ziko wapi????


Sawa wewe ungetuletea kwanza ushahidi wa kwamba alikopa mil 140. Sisi tunajua mil 20 tu.
 
Sioni hata hoja ya kujadili hapa. Chama kilimkopesha mtumishi wake na ameshalipa. Hakuna issue tena ya kujadili hapa.

Sasa Mwita Maranya, na wale wanaopata mgao wa zile bil 3 zilizotengwa kwa ajili ya kumchafua Dr Slaa na Chadema nao hawana cha kuandika kweli kama wewe??
 
Huyu mzee mbona anataka kudanganya mchana kweupe!!! Watumishi wa chama hawawezi kukopa kwingine?????? Huyu mzee anadhani kila mtu anadanganyika kama nanihii...

Umeona enhee!! Mbona kuna option nyingine ya viongozi wa vyama ya kujipatia fedha, kama Mangula mbona aliiba za EPA na Msomali mbona anajipatia fedha kwa pembe za ndovu! Kwanini nayeye asingeenda kuuwa tembo?
 
Swali jingine katiba inaeleza mwanachama anaruhusiwa kukopa fedha za chama? Kama ipo basi chama kikikusanya pesa kiweke wazi kuwa hizo pesa zitatumika kukopeshana pia sio kujenga chama peke yake.

Mosi, Tupe kipengele cha katiba ya Chadema kinachosema ni marufuku kumkopesha katibu mkuu.

Baraza kuu ndo tunaweza kuhoji hilo siyo wewe.
 
Weka ushahidi kuonyesha kwamba sio 140 ni 20, na ushahidi kwamba zimelipwa zote...kwa hiyo yaya analipwa na chama?
We usituletee arguments za kifala hapa jf,kwani Dhaifu hana madeni?Hana mkopo?Sasa kamuulize kama ameshayalipia akupe na ushahidi utuletee hapa.Majitu mingine kama matoto yaani...!
 
Hiyo nihoja mfu,ccm timizeni mliyo ahidi.plz DR usipoteze mudawako kwa mambo ya kijinga watanzania tunaimani nawewe na tunaamini utatukomboa. Hoja za wafu hazina mashiko zipotezee sisi tutadili nao hawa niwepes hawa
 
Weka ushahidi kuonyesha kwamba sio 140 ni 20, na ushahidi kwamba zimelipwa zote...kwa hiyo yaya analipwa na chama?

ndugu na waliotoa tuhuma walete ushahidi ni mil. 140 na sio 20 na kama zimerudishwa au hazijarudishwa zote
 
Sasa Mwita Maranya, na wale wanaopata mgao wa zile bil 3 zilizotengwa kwa ajili ya kumchafua Dr Slaa na Chadema nao hawana cha kuandika kweli kama wewe??
Mkuu Aweda,una fununu zozote za matumizi ya mkopo wa tsh 140 mil alizokopa babu?

 
National interest should come first. Sioni issue na msingi wa hoja hii.Twiga na tembo wanaisha kwenye ifadhi za taifa and NO major concern from Tanzanians.Wawekezaji migodini humaliza tunu za taifa.Nenda Geita,kahama,Nyamongo ujionee hali ya huduma za kijamii.No serious concern.Angalia government recurrent expenditure very shocking BUT no concern.
Tunaungana na watu wenye uchu wa madaraka na kujaribu kubomoa personality za watu.Let them bring national issues for discussion.Nani anajua mikopo wa vigogo wote hapa nchini?Utashangaa wengine wanadaiwa UPATU
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom