Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Nikiwa napitapita humu jamvini nimemuona Dr.Slaa akiwa anaendelea kusoma najua atakuwa mchangiaji muhimu sana kwetu .
Karibu Dr Slaa.
habari kubwa hiyo! humu ndani itabidi siku moja tujitambulishe kwa majina yetu halisi, nina uhakika hata Makamba yupo huku JF!! na tena usikute ndio huyu "Antsadism" na propaganda zake za CCM!
Mh Daktari
Nakupa changamoto...ukiwa kule seminari lazima ulipitia msemo huu wa kilatini: Vita vivenda non vitanda est!
Kama ni mgeni hapa namshauri kwamba kama ana mawazo kuwa JF ni club ya elites basi atakuwa amekosea njia. hapa ni mahala pa wote, wapo waliokwenda shule na wasiokwenda shule lakini wengi kama si wote ni WATANZANIA, hapa wapo wajenga hoja na pia wapo wapinga hoja lakini wengi kama si Wote ni WATANZANIA, wapo wanaofurahisha na wapo wanaokera, kwako wewe itategemea ni wepi hao si lazima wawe sawa na wa kwangu mimi lakini bottom line ni kwamba Wengi kama si wote Wote ni WATANZANIA. kiufupi hapa ni reflection ya jamii ndo maana pakaitwa jamiiforums, siyo club ya waliosoma peke yao, kwa hiyo ukiwa hapa dr itabidi ucheze namba zote, yaani ureflect jamii yetu, lakini kwa lengo la kuisukuma mbele
dr habari ndo hiyo!
Asante mzee wetu. Wembe ni ule ule mpaka kieleweke.Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Makamba anatumia kweli internet?
wanaomjua na waseme
Nashukuru wana JF. Nchi ni yetu tushirikiane kuijenga.
Nilidhani antisadism Ni Lowasa Au Karamagi
Kama ni mgeni hapa namshauri kwamba kama ana mawazo kuwa JF ni club ya elites basi atakuwa amekosea njia. hapa ni mahala pa wote, wapo waliokwenda shule na wasiokwenda shule lakini wengi kama si wote ni WATANZANIA, hapa wapo wajenga hoja na pia wapo wapinga hoja lakini wengi kama si Wote ni WATANZANIA, wapo wanaofurahisha na wapo wanaokera, kwako wewe itategemea ni wepi hao si lazima wawe sawa na wa kwangu mimi lakini bottom line ni kwamba Wengi kama si wote Wote ni WATANZANIA. kiufupi hapa ni reflection ya jamii ndo maana pakaitwa jamiiforums, siyo club ya waliosoma peke yao, kwa hiyo ukiwa hapa dr itabidi ucheze namba zote, yaani ureflect jamii yetu, lakini kwa lengo la kuisukuma mbele
dr habari ndo hiyo!
JF we dare to talk openly!Karibu mheshimiwa Dr Slaa
Kuna member aliyesajiri hapa kwa jina la Dr Slaa July 1, 2007 ambaye siku zote nimekuwa nikiamini kuwa ndiye mbunge wa Karatu. Huyu wa leo nina shaka kama ndiye shujaa wetu, vinginevyo mtu kama Zitto anithibitishie tofauti.
Nitamkaribisha!ili na yeye awe anatoa mchango wake!Maana mchango wake ni muhimu sana kwa taifa letu!Hollo...Kwanini usimkaribishe na CHEYO?
Tafadhali bana.