Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Dr Slaa aizika CCM Tunduma

attachment.php
Huu umati hadi kufika hapa ungewagharimu sana magamba,
kuferry watu kwa mafuso toka kila kona ya nchi kuipeleka Tunduma
 
Japo mwenye thread hajasema kama hizo hela mil. zilizo tolewa na mbunge Silinde zimefanya kazi, nilikuwa TDM mwezi wa 3 sijaona hayo maji. na maji ya bomba ya upande wa Mwaka hayana maji. na hivyo visima viko sehem gani I know TDM well.
 
attachment.php


Utukufu na heshima kwa Mungu! dah mbona naona kama ajabu vile ukombozi utatokea nikiwa hai nione live! God Bless CHADEMA!

CCM mlisema mnazo mbinu 25 za kuvuruga wapinzani ya Lwakatare imepwaya z=mnakuja na ipi?
 
We kweli mlaghaiwa!

Mtu watoto aliowazaa mwenyewe kawatelekeza halafu wewe unamwita baba yako!

By the way, hapo walimchangia sh. ngapi? Maana Slaa kila anakoenda anakusanya michango ya kumalizia nyumba yake...

Mkuu maneno yako ni sawa na kelele za chura zisizo mzuia tembo kunywa maji.dr slaa mmeshamtukana sanaa, mshamtengenezea zengwe sanaaa na kila aina ya ufedhuli ila. Dr slaa ni kipenzi cha watu na nyie maccm mnajua. Zemarcopolo hebu nipatie Kinana lager bariiidi sana....haraka tafadhali"
 
Zemarcopolo njoo tupate "kinana bariiiidi " kabla ya kwenda kwa mkutano mkuuubwa wa kamanda wetu kipenzi cha wengi kamanda dr slaa.
 
ZeMarcoPolo,

Ha ha ha ha....... Asante kwa kunichamsha asubuhi na porojo zako. Angalau nimecheka na kucheka ni afya.

Mnambowa,

Tatizo lako ni kutofanya utafiti. Hivi umejiuliza TANU tangu 1955 ofisi zake zilikuwa wapi, na tangu 1961 hadi 1975 ofisi zake zilikuwa wapi, na ni kwenye mikoa na Wilaya zipi ilikuwa na ofisi, achilia mbalimbali ofisi za hadhi?

Ndugu zangu fanyeni utafiti badala ya kujiaibisha na hoja zisizo na maana.[/QUOTE Dr.W.Slaa MUNGU AKUBARIKI,TUNAKUSUBIRI 2015 TUKUPE NCHI KABISA!
 
unaweza ukaijua Tunduma.lakini usijue maendeleo yako wapi.
Tuambie Tunduma yako unayoijua ni wapi,vijiji gani?maana wananchi walikubali walipo ulizwa kama maendeleo yapo.

tuache ushabiki,pale tunapozungumza mambo ya msingi ya maendeleo.
 
Hakika raisi wa miyoyo ya watanzania watumikie waja wako! Hongera sana cdm
 
ZeMarcoPolo,

Ha ha ha ha....... Asante kwa kunichamsha asubuhi na porojo zako. Angalau nimecheka na kucheka ni afya.

Mnambowa,

Tatizo lako ni kutofanya utafiti. Hivi umejiuliza TANU tangu 1955 ofisi zake zilikuwa wapi, na tangu 1961 hadi 1975 ofisi zake zilikuwa wapi, na ni kwenye mikoa na Wilaya zipi ilikuwa na ofisi, achilia mbalimbali ofisi za hadhi?

Ndugu zangu fanyeni utafiti badala ya kujiaibisha na hoja zisizo na maana.
Hongera Dk Slaa.Mungu akubariki sana.
 
Hakuna kiongozi yeyote wa serikali mwenye uthubutu wa kuhutubia Tunduma,muulize Raisi 2010,Makamu wa rais 2012,, shamsa vuai nahodhag,salma kikwete na mwenge!!!!hah hah
Kama hujui kujitafutia hela wewe mwenyewe lazima uwe mtumwa wa magamba,miko yoote ambayo ina watu wanaojua kutafuta hela wenyewe CCM haipati kura hata siku moja.
 
Nimekubali hawa watani zetu wanaenda kwa kasi ambayo si ya kubeza hata kidogo,nami kwa mbaaali uzalendo unaanza kunishinda ,sijui nisiwe naingia jamii forum, wandugu kazi ipo 2015 !!?? mdharau mwiba mguu utaota tende.
Karibu CDM!
 
Back
Top Bottom