Dr Emma John
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 820
- 196
Kamanda naona upo kazini.
mkuu Ritz ktk magamba yote humu,angalau mwenye unafuu ni wewe! Huwa unajaribu sana kujenga hoja.sema tu lichama unaloliteteaga ndio hivyo tena limeshakata roho!
Kamanda naona upo kazini.
ni taahira tu ndio anaweza kuishabikia ccm
sikupendi na nakuchukia cdm
Inna lillahi waina illaihi Rajiiun...Marehemu CCM inasemekana huko Tunduma hakuacha watoto wala wajane! Baada ya kuundekeza ushoga na kuishia kuuza vidani vya ndani vikiwemo Dhahabu, Almasi, Tanzanite pia aliendelea zaidi kuharibu bustani nzuri ya wanyama na inasadikika Twiga wengi amewauza ikiwa ni pamoja na kuua Tembo wengi sana... Marehemu CCM aliendelea kuwahonga mahasha wake wa huko ulaya kwa kuhamisha mabilioni ya dola ndani na kuwapelekea mabasha zake eti wamtunzie!