Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Katibu mkuu wa chadema Dr. Willibrod Slaa Leo atafungua Matawi mapya kadhaa pamoja Na ofisi ya Jimbo la Momba CHADEMA pamoja na kuhutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya shule ya msingi Tunduma. Fuatana Na thread hii Kwa matukio mbalimbali yatakayojiri leo.

Peopleeeeees!

Mkuu Chilipamwao najua utakuwa maeneo husika hakikisha unapata picha za kutosha.
 
Last edited by a moderator:
Mwampamba karibu usikie sumu zinavyo mwagwa.
 
tunawatakia mkutano mwema na muwe makini na mamluki wa uvccm waovalishwaga magwanda wanakuja kuleta fujo ili ionekane ni chadema wameleta.Mungu awatangulie katika yote Ameni.

Mkuu Chadema nyanda za juu kusini kipo makini kuliko maelezo
 
Mwampamba karibu usikie sumu zinavyo mwagwa.
WAGANGA NJAA MWAPAMBA NA WAKUFYONZWA.jpg shonza na mwampamba.jpg shonza.jpg
huyo kijana na shoga yake uelewa wao kama wasira au Lamaeck mkumbo a.k. Mwigulu mchemba
 
Chadema nendeni vijijini mkatoe elimu ya uraia, wao wanaamini ccm ndo kila kitu! Mkifanikiwa kutoa elimu ya uraia kwa asilimia 60 tu vijijini mnaweza kubadilisha historia ya taifa letu!
 
acha kuharibu sred ya mwenzio kwa kuanzisha nyingine.. Vilevile huwezi kumchanganya slaa na kundi la madudedude tia heshma mkuu..

Slaa ni mtu mwenye heshima zake ndani na nje ya uzio wa mipaka ya nchi yetu. Wewe dudus mtu akikuchanganya na mavi utafurahi..? Acha ivo bana

anamchanganya dr slaa na kinana bariiidi?duh
 
Kila la kheri makamanda wa Tunduma na Mbozi. Huu si wakati wa kufanya ajizi na magamba hata kidogo.

Ni lazima tushirikiane kuwakataa ccm kwa vitendo na walitambue hilo.

Mungu akujalie afya njema kamanda Dr.W.Slaa ili hatimaye watanzania wapate kunufaika na utumishi wako.
 
Last edited by a moderator:
Safi sana CDM..haya ndio mambo tunataka kusikia... Dr piga kazi achana na porojo za magamba......
 
Kila la heri dr mungu akupe afya njema uweze kufanya shughuli za chama ipasavyo kwani tunaamini tulianza na mungu na tunaendelea na mungu na tutamaliza na mungu amina.
 
Chadema nendeni vijijini mkatoe elimu ya uraia, wao wanaamini ccm ndo kila kitu! Mkifanikiwa kutoa elimu ya uraia kwa asilimia 60 tu vijijini mnaweza kubadilisha historia ya taifa letu!

hili nalo neno mkuu inabidi makamanda wasambae interior kabisa ushindi lazima utapakatikana
 
Ma housegirl wanalika mkuu na wengi tunajisevia. Me mwenyewe baada ya kuona mke wangu anatoka na jamaa mwingine niliamua kupooza makali kwa housegirl wangu na nikawa naenjoy kwelimaana wanajua kucare na heshima inakuwa juu. Maana huku bosi, kule ni honey. So kunakuwa na utulivu kweli. Sasa nimeamua kumuacha huyu zumbukuku na nimetulia na house girl na nimefunganaye ndoa huku tukibarikiwa kwa kupata watoto mapacha wawili wa kike nakiume. Thanks God. Wakati mwingine Mungu ana makusudi yake. Ila kwa kuchukua mke wa mtu ni kashfa kubwa na huko ni kukosa ujasiri wa kutongoza. Maana wake za watu hawatongozwi bwali ni makubaliano tu hufanyika. Salamu pekee yatosha kumpata mke wa mtu hasa ikiwa mjamaa ni mvivu wa ule mchezo au kama ana kale kamchezo ka bafuni kama anavyofanya katibu mkuu wa chama fulani[/QUOTE]

Pamoja na kukubali kuwa unatembea na House girl pia umeonyesha uzoefu na wake za watu.

Na zaidi kuwa wewe mkeo alichukuliwa kwa kuwa ulikuwa unafanya mchezo wa bafuni! kama nimekuelewa hapo kwenye nyekundu na blue.
 
CDM walipanga mkakati mzuri sana wa kiuongozi Bungeni na nje ya Bunge ambao unatoa mbadala sawia kwa serikali iliyoko madarakani.

Kwamba; kila kiongozi wa CCM bungeni na nje ya bunge anaye mbadala wake ndani ya CDM, Kifo cha CCM 2015 ni dhahili, hata wana CCM wengi wanalijua hilo.

Madam Supika, Makinda -------------- Mbowe, Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Waziri Mkuu, Pinda -------------------- Zitto, Makamu Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Msemaji wa CCM bungeni, Lukuvi ------- Tundu Lissu, Mnadhimu Kambi ya upinzani bungeni
Raisi aka Mkuu wa nchi, Kikwete ------- Dr. Slaa; Katibu Mkuu CDM; Rais Mioyoni mwa waTZ (Majority)
Mawaziri, --------------------------------- Mawaziri Vivuli
Wakuu wa mikoa -------------------------- Wakuu wa Kanda
----------
----------
---------
Mkuu wa PoliCCM; Saidi Mwema --------------------------------- Rwakatare (haaaa haaa ), Mkuu wa Usalama CDM
 
Moyo wangu hujisikia raha sana kila nikisikia jina la dr.Slaa likitamkwa popote.nadhani kwa kuwa kiongozi bora hutoka kwa MUNGU,basi sina shaka kuwa dr.Slaa katoka kwa MUNGU kwa ajili ya watu wake wa TANZANIA.
 
CDM walipanga mkakati mzuri sana wa kiuongozi Bungeni na nje ya Bunge ambao unatoa mbadala sawia kwa serikali iliyoko madarakani.

Kwamba; kila kiongozi wa CCM bungeni na nje ya bunge anaye mbadala wake ndani ya CDM, Kifo cha CCM 2015 ni dhahili, hata wana CCM wengi wanalijua hilo.

Madam Supika, Makinda -------------- Mbowe, Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Waziri Mkuu, Pinda -------------------- Zitto, Makamu Kiongozi wa Upinzani Bungeni
Msemaji wa CCM bungeni, Lukuvi ------- Tundu Lissu, Mnadhimu Kambi ya upinzani bungeni
Raisi aka Mkuu wa nchi, Kikwete ------- Dr. Slaa; Katibu Mkuu CDM; Rais Mioyoni mwa waTZ (Majority)
Mawaziri, --------------------------------- Mawaziri Vivuli
Wakuu wa mikoa -------------------------- Wakuu wa Kanda
----------
----------
---------
Mkuu wa PoliCCM; Saidi Mwema --------------------------------- Rwakatare (haaaa haaa ), Mkuu wa Usalama CDM

Mkuu hapo kwenye red mbona husomeki? Ulichoandika hapo ni zaidi ya matusi unajua hilo? Unawezaje ku-equate hao watu wawili!
 
  • Thanks
Reactions: MC
Mkuu hapo kwenye red mbona husomeki? Ulichoandika hapo ni zaidi ya matusi unajua hilo? Unawezaje ku-equate hao watu wawili!

Mkuu Dudus, wewe ndio hujanielewa, ninachoongelea ni mbadala, kumbuka mbadala sio lazima iwe sawasawa inaweza kuwa zaidi. Kikwete ni President kama alivyo Obama. Kikiitishwa kikao cha Marais wote wana nafasi sawa kimsingi, lakini practically influence yao ni tofauti sana kwenye kikao hicho.

Nielewe mkuu;
 
Ma housegirl wanalika mkuu na wengi tunajisevia. Me mwenyewe baada ya kuona mke wangu anatoka na jamaa mwingine niliamua kupooza makali kwa housegirl wangu na nikawa naenjoy kwelimaana wanajua kucare na heshima inakuwa juu. Maana huku bosi, kule ni honey. So kunakuwa na utulivu kweli. Sasa nimeamua kumuacha huyu zumbukuku na nimetulia na house girl na nimefunganaye ndoa huku tukibarikiwa kwa kupata watoto mapacha wawili wa kike nakiume. Thanks God. Wakati mwingine Mungu ana makusudi yake. Ila kwa kuchukua mke wa mtu ni kashfa kubwa na huko ni kukosa ujasiri wa kutongoza. Maana wake za watu hawatongozwi bwali ni makubaliano tu hufanyika. Salamu pekee yatosha kumpata mke wa mtu hasa ikiwa mjamaa ni mvivu wa ule mchezo au kama ana kale kamchezo ka bafuni kama anavyofanya katibu mkuu wa chama fulani

Bila shaka atakuwa ni mzee Ndovu.
 
Muda sio mrefu kila kitu kitakua sawa.!!!
 
mkuu Greenwich tupatie picha na updates kwa ajili ya hawa ndugu zetu wapendwa ccm waweze kusadiki!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom