We kweli mlaghaiwa!
Mtu watoto aliowazaa mwenyewe kawatelekeza halafu wewe unamwita baba yako!
By the way, hapo walimchangia sh. ngapi? Maana Slaa kila anakoenda anakusanya michango ya kumalizia nyumba yake...
Hao wanajaa kwa Slaa wanapiga kura CCM.
Hakuna kiongozi yeyote wa serikali mwenye uthubutu wa kuhutubia Tunduma,muulize Raisi 2010,Makamu wa rais 2012,, shamsa vuai nahodhag,salma kikwete na mwenge!!!!hah hah
We kweli mlaghaiwa!
Mtu watoto aliowazaa mwenyewe kawatelekeza halafu wewe unamwita baba yako!
By the way, hapo walimchangia sh. ngapi? Maana Slaa kila anakoenda anakusanya michango ya kumalizia nyumba yake...
ofisi yenu hii inaabisha eti ni ofisi ya mkoa cdm
Mkuu wangu ni mwanadamu gani anayependa habari mbaya?
Mnambowa,
Tatizo lako ni kutofanya utafiti. Hivi umejiuliza TANU tangu 1955 ofisi zake zilikuwa wapi, na tangu 1961 hadi 1975 ofisi zake zilikuwa wapi, na ni kwenye mikoa na Wilaya zipi ilikuwa na ofisi, achilia mbalimbali ofisi za hadhi?
Ndugu zangu fanyeni utafiti badala ya kujiaibisha na hoja zisizo na maana.
Mnambowa,
Tatizo lako ni kutofanya utafiti. Hivi umejiuliza TANU tangu 1955 ofisi zake zilikuwa wapi, na tangu 1961 hadi 1975 ofisi zake zilikuwa wapi, na ni kwenye mikoa na Wilaya zipi ilikuwa na ofisi, achilia mbalimbali ofisi za hadhi?
Ndugu zangu fanyeni utafiti badala ya kujiaibisha na hoja zisizo na maana.
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa anaanza ziara rasmi ya kichama leo katika wilaya za Momba na Mbozi.Dr Slaa anaingia Tunduma akitokea Zambia alikokuwa takribani wiki moja kwa ziara ya kikazi.
Kiongozi huyo mwenye mvuto mkubwa wa kisiasa nchini leo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Tunduma katika viwanja vya shule ya msingi Tunduma.
Kesho Dr Slaa atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Vwawa katika wilaya ya Mbozi.
Dr Slaa anatarajiwa kupokea maelfu ya wanachama wapya wengi wao wakitokea CCM. Pia Mwanasiasa huyo asiyeyumba atazindua matawi kadhaa ya CHADEMA na kufungua ofisi mpya za chama hicho.
Katika ziara hiyo Dr Slaa atafuatana na maafisa kadhaa wa makao makuu,maafisa wa Kanda ya nyanda za juu kusini na Mbunge wa Mbozi David Silinde.
Kwa wiki hii nzima hapa Tunduma kuna hekaheka kubwa ya wananchi wakiwa na hamu kubwa na ujio wa Dr Slaa. Pia Polisi wanahaha kupiga doria huku na huko wakijipanga kusimamia usalama wakati wa mapokezi yake kwani sikuzote mapokezi ya kiongozi huyo hapa Tunduma yanautikisa mkoa mzima. Dr Slaa anachukuliwa na wananchi wa hapa kama Mfalme wa Tunduma.
==============================
Up dates baadhi ya maneno ya Hotuba
==============================
============
Updates katika picha:
![]()
Lowassa anatakiwa kuangalia umati huu apime kama agombeee kupitia ccm au akaye nyumbani ???
Maana watu wamechoka kuongozwa na ccm !!!!
Mtaji wa lowassa upo makanisani na kwa makusudi ya wenzake ccm imechafua mtaji huo kwa suala la nani achinje !!!!
Maaskofu nchini ambao ni mtaji wa lowassa wamechoka!!!
Huyu slaa kawalisha nini watanzania ? Mbona anazidi kukubalika na kupendwa kadiri ccm wanavyozidi kumshambulia ! Kwa kweli wenzetu hawapati usingizi na hata ukichunguza kwa makini utaona afya zao zinazidi kuporomoka. Ewe dr slaa waonee huruma wenzako. Utawaua wenzako kwa presha. Na nyie ccm ngumi za uso zikizidi mnaruhusiwa kukimbia