Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Hakuna kiongozi yeyote wa serikali mwenye uthubutu wa kuhutubia Tunduma,muulize Raisi 2010,Makamu wa rais 2012,, shamsa vuai nahodhag,salma kikwete na mwenge!!!!hah hah
 
We kweli mlaghaiwa!

Mtu watoto aliowazaa mwenyewe kawatelekeza halafu wewe unamwita baba yako!

By the way, hapo walimchangia sh. ngapi? Maana Slaa kila anakoenda anakusanya michango ya kumalizia nyumba yake...

Kiongozi!

Mpaka mwaka 2015 ufike, utakuwa umesha kufa kwa high blood pressure! Maana kazi ya kuwa kuwadi wa Lumumba lazima uwe na akili ya maiti.
 
Hao wanajaa kwa Slaa wanapiga kura CCM.

Hee! Kweli wewe juha....yaani bado unaamini ya miaka ileeee........watz wa sasa hawadanganyiki tena na propaganda za kihuni za ccm
 
Hongera rais mtarajiwa.naona umeshaanza mdogo mdogo kujenga mahusiano mazuri ya kidiplomasia na nchi jirani.Hiyo ni nzuri,ili ukiingia magogoni, utulie home yani kusiwe na kurukaruka kwenda nje kama anavyofanya huyu kichwa cha nazi wa msoga!
 
Tunduma magamba yalishakufa siku nyingi. Shime tuelekee maeneo mengine.
 
Mwigulu Nchemba upo wapi? Nchi inaangamia, fanya vitu vyako jembe huyu mzee atatuua kwa presha..!
 
Hakuna kiongozi yeyote wa serikali mwenye uthubutu wa kuhutubia Tunduma,muulize Raisi 2010,Makamu wa rais 2012,, shamsa vuai nahodhag,salma kikwete na mwenge!!!!hah hah

Nakwambia watu wana akili zao timamu bana...sio wale wazee wa pilau na makofi mengi
 
ZeMarcoPolo,

Ha ha ha ha....... Asante kwa kunichamsha asubuhi na porojo zako. Angalau nimecheka na kucheka ni afya.
We kweli mlaghaiwa!

Mtu watoto aliowazaa mwenyewe kawatelekeza halafu wewe unamwita baba yako!

By the way, hapo walimchangia sh. ngapi? Maana Slaa kila anakoenda anakusanya michango ya kumalizia nyumba yake...
 
Mnambowa,

Tatizo lako ni kutofanya utafiti. Hivi umejiuliza TANU tangu 1955 ofisi zake zilikuwa wapi, na tangu 1961 hadi 1975 ofisi zake zilikuwa wapi, na ni kwenye mikoa na Wilaya zipi ilikuwa na ofisi, achilia mbalimbali ofisi za hadhi?

Ndugu zangu fanyeni utafiti badala ya kujiaibisha na hoja zisizo na maana.

ofisi yenu hii inaabisha eti ni ofisi ya mkoa cdm
 
Mkuu wangu ni mwanadamu gani anayependa habari mbaya?

Mnambowa,

Tatizo lako ni kutofanya utafiti. Hivi umejiuliza TANU tangu 1955 ofisi zake zilikuwa wapi, na tangu 1961 hadi 1975 ofisi zake zilikuwa wapi, na ni kwenye mikoa na Wilaya zipi ilikuwa na ofisi, achilia mbalimbali ofisi za hadhi?

Ndugu zangu fanyeni utafiti badala ya kujiaibisha na hoja zisizo na maana.

mh.Dr.Slaa kwa mara ya kwanza jana amekata kiu ya wanatunduma....

Karibu tena na tena.....
Mungu akujalie afya bora na maisha marefu.!!
 
Mangula kabeba totoz anaponda maraha kabla ya 2015.
 
Nauliza hivi , kama hali ya Tunduma ndiyo hii , na ya Tabora ndiyo kama ile mlivyoiona , hivi KUNA mahali Magamba yatapona kweli ? Nina Mashaka 2015 huenda Tukakosa Chama cha Upinzani Bungeni , CDM msiturudishe enzi za Chama Kimoja Bhana !
 
Mnambowa,

Tatizo lako ni kutofanya utafiti. Hivi umejiuliza TANU tangu 1955 ofisi zake zilikuwa wapi, na tangu 1961 hadi 1975 ofisi zake zilikuwa wapi, na ni kwenye mikoa na Wilaya zipi ilikuwa na ofisi, achilia mbalimbali ofisi za hadhi?

Ndugu zangu fanyeni utafiti badala ya kujiaibisha na hoja zisizo na maana.

Tuko pamoja Dr Slaa, tafadhali katika mipango yako mwaka huu usiisahau Tunduru.
Tunakukaribisha sana tuimalize ccm na cuf
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa anaanza ziara rasmi ya kichama leo katika wilaya za Momba na Mbozi.Dr Slaa anaingia Tunduma akitokea Zambia alikokuwa takribani wiki moja kwa ziara ya kikazi.

Kiongozi huyo mwenye mvuto mkubwa wa kisiasa nchini leo atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Tunduma katika viwanja vya shule ya msingi Tunduma.

Kesho Dr Slaa atahutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Vwawa katika wilaya ya Mbozi.

Dr Slaa anatarajiwa kupokea maelfu ya wanachama wapya wengi wao wakitokea CCM. Pia Mwanasiasa huyo asiyeyumba atazindua matawi kadhaa ya CHADEMA na kufungua ofisi mpya za chama hicho.

Katika ziara hiyo Dr Slaa atafuatana na maafisa kadhaa wa makao makuu,maafisa wa Kanda ya nyanda za juu kusini na Mbunge wa Mbozi David Silinde.

Kwa wiki hii nzima hapa Tunduma kuna hekaheka kubwa ya wananchi wakiwa na hamu kubwa na ujio wa Dr Slaa. Pia Polisi wanahaha kupiga doria huku na huko wakijipanga kusimamia usalama wakati wa mapokezi yake kwani sikuzote mapokezi ya kiongozi huyo hapa Tunduma yanautikisa mkoa mzima. Dr Slaa anachukuliwa na wananchi wa hapa kama Mfalme wa Tunduma.

==============================
Up dates baadhi ya maneno ya Hotuba
==============================

============
Updates katika picha:
attachment.php

Maharamia wa wanyama pori eti wasema chama kikabila nk.Nayo hiyo watakuja kwa uchovu wa fikra na kusema picha imetengenezwa lakini hawezi kushindana na ukweli daima.
 
Lowassa anatakiwa kuangalia umati huu apime kama agombeee kupitia ccm au akaye nyumbani ???
Maana watu wamechoka kuongozwa na ccm !!!!

Mtaji wa lowassa upo makanisani na kwa makusudi ya wenzake ccm imechafua mtaji huo kwa suala la nani achinje !!!!
Maaskofu nchini ambao ni mtaji wa lowassa wamechoka!!!

Mkuu usisahau, Lowassa pamoja na fedha zake za kifisadi juhudi zake ziligonga mwamba pale alipotaka kupenyeza Roman Catholic.
 
Huyu slaa kawalisha nini watanzania ? Mbona anazidi kukubalika na kupendwa kadiri ccm wanavyozidi kumshambulia ! Kwa kweli wenzetu hawapati usingizi na hata ukichunguza kwa makini utaona afya zao zinazidi kuporomoka. Ewe dr slaa waonee huruma wenzako. Utawaua wenzako kwa presha. Na nyie ccm ngumi za uso zikizidi mnaruhusiwa kukimbia
 
Huyu slaa kawalisha nini watanzania ? Mbona anazidi kukubalika na kupendwa kadiri ccm wanavyozidi kumshambulia ! Kwa kweli wenzetu hawapati usingizi na hata ukichunguza kwa makini utaona afya zao zinazidi kuporomoka. Ewe dr slaa waonee huruma wenzako. Utawaua wenzako kwa presha. Na nyie ccm ngumi za uso zikizidi mnaruhusiwa kukimbia

kinai Jibu ni moja tu..Shetani siku zote ni wa kuzimu na wao wana shetani lakini Chadema wana Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom