Dr Slaa aizika CCM Tunduma

Dr Slaa aizika CCM Tunduma

tunduma naona watu wameamka yaan wamebaki songea tu sijui kwa nini yaaan
 
Leo tuko Vwawa,na mkutano unaendelea,hizo ni picha.

Sasa wewe kijana Mwampamba unatumia akili gani.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1368367048941.jpg
    uploadfromtaptalk1368367048941.jpg
    17.6 KB · Views: 83
  • uploadfromtaptalk1368367068373.jpg
    uploadfromtaptalk1368367068373.jpg
    47.2 KB · Views: 76
  • uploadfromtaptalk1368367093706.jpg
    uploadfromtaptalk1368367093706.jpg
    11 KB · Views: 67
  • uploadfromtaptalk1368367118065.jpg
    uploadfromtaptalk1368367118065.jpg
    11.9 KB · Views: 67
2015 ccm hawatoki, hadi kijijini kwetu wazee waliokuwa wanaikumbatia ccm walisha badili mwelekeo. cdm kazeni boot nchi inachukulika.
 
Watanzania kwa jinsiwalivyopigika na kusagika wanahitaji inspiration,wanahitaji matumaini toka kwa kiongozi. Na kazi ya matumaini ilipaswa kufanywa na Kikwete ambaye kwa mujibu wa katiba anatuunganisha sisi sote CCM,CHADEMA na wasio vyama.Sasa Rais wetu anasema kuwa hajuwi umaskini wa Tanzania umesababishwa na nini na kuwa hajuwi hata huu udini unaosemwa unatoka wapi. Kwa hali hiyo ya fikra za Rais anaweza kutu-inspire kweli? Rais amejitoa katika nafasi hii na Dr. Slaa kaingia hapo na anasema lugha ya kuleta matumaini. Swali ni kwani Rais Kikwete amejitoa katika nafasi yake?
 
2015 ccm hawatoki, hadi kijijini kwetu wazee waliokuwa wanaikumbatia ccm walisha badili mwelekeo. cdm kazeni boot nchi inachukulika.

ni taahira tu ndio anaweza kuishabikia ccm
 
Dr. Slaa hakika Mungu wa wote waislamu na wakristo na wasio na dini amekuleta ulikomboe Taifa hili ambalo kwa sasa viongozi wanashabikia uongo na dhuluma badala ya kushabikia haki na ukweli.
 
Dr. Slaa hakika Mungu wa wote waislamu na wakristo na wasio na dini amekuleta ulikomboe Taifa hili ambalo kwa sasa viongozi wanashabikia uongo na dhuluma badala ya kushabikia haki na ukweli.
acha kutukuza binadamu wenzio wewe
 
Hivi Kikwete akienda Tunduma leo hii atapata umati mkubwa kama huo?
 
Dr. Slaa hakika Mungu wa wote waislamu na wakristo na wasio na dini amekuleta ulikomboe Taifa hili ambalo kwa sasa viongozi wanashabikia uongo na dhuluma badala ya kushabikia haki na ukweli.

Kamanda naona upo kazini.
 
GREENWHICH,

Tunashukuru kwa habari uliyoituma, it was well organized, pictures were great and full of details.

Once again Thanks.
 
Back
Top Bottom