KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
kwa jinsi Chadema ilivyojipanga ccm haina pa kuchomokea.
ccm inatia huruma
Jaman ivi katibu wetu mkuu mzee wa meno ya tembo aka dentist pia katibu wetu mwenezi yule kidomo domo waKo wapi?? au zomea zomea ya morogoro na ushind wa chadema uko kilosa vimewanyong'onyeza??
jamani naomba muamini kifo cha ccm ni mpango wa Mungu wala msisikitike sana. ah ah hii ni raha pia utamu.....