Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Mzee kaondoka kwenye siasa lakini siasa bado inamuandamisha, leo hii vijana badala ya kumpongeza wanamtolea maneno ya kashfa kisa aliamua kujitoa kwenye siasa za kishenzi. Ndugu zangu,tumpongeze Mzee Slaa na tumuombee maisha mema ya ndoa.
 
Kuna matusi common kwa Dr Slaa ukiangalia na IDs zenyewe utajua hawa wengi ndio wale waliokuja Chadema na mafuriko ya kuzungurusha mikono ......wapo baadhi waliofuata mkumbo wa vijana wa M4U wanatukana tu sababu wanajua vyema jinsi jaribio la kukabidhi ikulu "vibaka" lilivyofeli baada ya wazalendo wachache wa CCM, Chadema ,CUF na wananchi wengine kuamua kuweka maslahi ya taifa kwanza.
 
AL

Alikuwa mke wa mtu wakati silaa akiwa Chadema lakini baada ya usaliti na kutumika kama dodoki pale hotelini analindwa tena yupo juu ya sheria hashikiki.N;B hiyo picha hapo juu mbona sioni dalili ya pete kwa mwali au macho yangu?
Usijadili usiyo yajua ndugu yangu.
 
AL

Alikuwa mke wa mtu wakati silaa akiwa Chadema lakini baada ya usaliti na kutumika kama dodoki pale hotelini analindwa tena yupo juu ya sheria hashikiki.N;B hiyo picha hapo juu mbona sioni dalili ya pete kwa mwali au macho yangu?
Mkuu huwezi kuiona maana mushumbusi tayari ana ndoa yake hivyo siyo raisi avalishwe pete 2
 
Mzee kaondoka kwenye siasa lakini siasa bado inamuandamisha, leo hii vijana badala ya kumpongeza wanamtolea maneno ya kashfa kisa aliamua kujitoa kwenye siasa za kishenzi. Ndugu zangu,tumpongeze Mzee Slaa na tumuombee maisha mema ya ndoa.
Hata hiyo dua yako inatosha , wacha kutukumbusha wimbo ulikwisha tuchosha wa kuwambea watawala
 
Mzee kaondoka kwenye siasa lakini siasa bado inamuandamisha, leo hii vijana badala ya kumpongeza wanamtolea maneno ya kashfa kisa aliamua kujitoa kwenye siasa za kishenzi. Ndugu zangu,tumpongeze Mzee Slaa na tumuombee maisha mema ya ndoa.
He's a quieter. It is difficult to.say what he likes to do most. Cause...

Alishindwa kuendelea na nadhiri yake ya upadre na useja,

na akashindwa ndoa ya mke mmoja
Akashindwa kuendelea kua mwana CCM.

Akashindwa kwenye mbio za urais mwaka 2010 dhidi ya jk wa CCM.

Kama ilivyokua kwenye upadre, alipelekwa kusoma ili kuja kugombea urais kupitia cdm hata hivyo alishindwa tena kupendekezwa tena kugombea tena urais mwaka 2015 dhidi ya Lowasa aliyetokea CCM.

Hakuondoka kwenye siasa bali alishindwa SIASA.

He always quit when he fails to meet his objectives in life. He's a quieter.
That's how he really is...
 
Kubenea njoo chukua picha hizi ukauzie kipeperushi chako cha Mwanahalisi

1b243ebf6e764a4ac5498342feb316b4.jpg


e61f8d876dbe98761e49de65bd6caade.jpg
 
......alieuacha upadri.....akavunja nadhiri ya upadri wake aliowekewa mikono na mapadri......akashindwa kuuvumilia upadri.....akafanya unyanganyi ....hatimaye ....akaoa......mungu amsimamie.....!?
MUNGU HANA MOYO MGUMU KAMA WAKO...HATA DHAMBI YAKO IWE NYEKUNDU KAMA DAMU LAKIN ATASAFISHA NA KUWA CHEUPE KAMA JUA
 
Tatizo kwetu waafrika Dini imegeuka kuwa uchawi mbaya kuliko hata uchawi wenyewe.Na wewe inawezekana ni victim
toka utoswe ubunge wa rombo una hasira sana na chadema..si uhame chama tu yanini kuutesa moyo wako hivi hamia act wazalendo
 
Nikisoma comments za watu wanaoongea negative kuhusu mtu kufunga ndoa inanishangaza sana

Kisaikolojia naona dalili za wivu tu hakuna kingine

Kuna kijigazeti fulani kinamilikiwa na makanjanja fulani toleo lifuatalo utaona kitaweka suala la ndoa na hii picha front page na au ukurasa wa katikati.Kisha kitajiita "Gazeti la Uchunguzi"

That's just how losers and mediocres console themselves

You should face your own life if you have one

Wengine watakuja hapa kulalamika mbona hajafungia nchini kama wale waliolialia kwenye thread ya jana usiku

Hii tabia ya kuzamia kwenye sherehe za watu ipo Tanzania tu.Dunia haiko hivyo

Tubadilike tuache majungu,Wivu na Chuki.

It will cost you nothing kutoa maneno ya Baraka kwa mwenzako aliyetenda jambo la kheri

Who the hell are you to judge others?

Tena wengine kama huyu anamtaja "mungu" wake kwa kumuandika kwa kuanza kwa Herufi ndogo,unafiki tu wa kutaka kuonyesha kuwa sisi tunamjua Mungu zaidi kuliko wengine.

Get a life !
huyu ndio Ben sa 8 aka Kifaranga cha Babu, sasa kina lia lia hakimuoni mama na hakijui pa kwenda... ha ha ha !! siasa bwana
 
Hapa nimegundua vitu viwili siasa na maisha binafsi yamtu,watu lazima tuelewe kwamba kila binadamu anayo haki ya kufanya kitu chochote kile pasipo kuvunja sheria ya nchi. Dr slaa ametimiza ekaristi takatifu(imani za kiroma) katika dini.
Siasa;watu hili suala la Dr Slaa kufunga ndoa limewagusa watu wengi,ikumbukwe kwamba Dr Slaa alikuwa kada wa CHADEMA na jinsi alivyotoka paleCHADEMA makada wa CHADEMA hawakufurahishwa japo sio wote. So makada hao wamejenga package kwenye mioyo yao ambapo inapelekea lolote atakalo fanya DR halitakuwa positive hata likiwa jambo lenye manufaa kwa Taifa.

MAISHA BINAFSI; hili ndilo tatizo la siasa ugomvi wake hauishi kirahisi yaani kuna long-term course na short-term course,CHADEMA wana long-term course maana tangu last year haya matatizo hayaishi kuhusu Dr Slaa. Lazima watu tuelewe kwamba sio kila muda mtu utazungumzia siasa kuna muda mwingine mtu utafanya mambo yako binafsi,ikiwa ni pamoja na hilo alilolifanya la kufunga ndoa
 
Hapa nimegundua vitu viwili siasa na maisha binafsi yamtu,watu lazima tuelewe kwamba kila binadamu anayo haki ya kufanya kitu chochote kile pasipo kuvunja sheria ya nchi. Dr slaa ametimiza ekaristi takatifu(imani za kiroma) katika dini.
Siasa;watu hili suala la Dr Slaa kufunga ndoa limewagusa watu wengi,ikumbukwe kwamba Dr Slaa alikuwa kada wa CHADEMA na jinsi alivyotoka paleCHADEMA makada wa CHADEMA hawakufurahishwa japo sio wote. So makada hao wamejenga package kwenye mioyo yao ambapo inapelekea lolote atakalo fanya DR halitakuwa positive hata likiwa jambo lenye manufaa kwa Taifa.

MAISHA BINAFSI; hili ndilo tatizo la siasa ugomvi wake hauishi kirahisi yaani kuna long-term course na short-term course,CHADEMA wana long-term course maana tangu last year haya matatizo hayaishi kuhusu Dr Slaa. Lazima watu tuelewe kwamba sio kila muda mtu utazungumzia siasa kuna muda mwingine mtu utafanya mambo yako binafsi,ikiwa ni pamoja na hilo alilolifanya la kufunga ndoa


Ni mwanasiasa asiye na ukomavu wa kisiasa(Political Maturity) atakayemshambulia Dr.Slaa kipindi hiki au kumtakia mabaya.

Nje ya Siasa kuna maisha.Hizo nadiriki kuziita ni siasa za kipumbavu kabisa kabisa

Hakuna Mwanasiasa aliyeenda shule anyeweza kufikiria kutengeneza uadui wa namna hiyo ikiwa mwanasiasa huyo anajitambua na anajua potentials zake au kama yupo real kwa ajili ya utumishi wa watu.

Kuna comments za chuki nimezisoma,sidhani hao wanaofanya hivyo kama ni wanasiasa kweli.Comments hizo pamoja na kwamba naheshimu maoni ya watu lakini nyingine ziko ranked katika level ya takataka.Comment zozote za chuki dhidi ya mtu na maisha yake ambayo has nothing to do with you ,Kwangu mimi ni Takataka tupu.
 
Back
Top Bottom