Enzi zetu tukiwa secondary kila weekend tulikuwa tunapanga foleni pale kisutu ili kupata service na uzoefu, sijui Padri wetu alisomea wapi!What's the big deal?
Watu wameamua maisha yao kwa faida yao na watoto wao.
Stop poking your nose into their family affairs.
....i concur with you....zee limekamatwa haswa...btw ....kuna watu wanajipambanua kumtetea huyu mzee humu...wanasahau kuwa huyu alikuwa public figure hapa TZ....in fact huyu aligombea hata urais hapa TZ...sasa hao wanaopinga yeye kujadiliwa wao ndio wana yao....Aibu yake ndio imemkimbiza kufungia ndoa nje ya nchi...Mungu ana makusudi sana hili zee tungelipa urais 2010 lingeuza nchii.. Kaukana upadri kaiba mke wa mtu na kafunga naye ndoa bila aibu.. Duuu zee limeshikwa masikio hili sijawai kuona
ulaya sio kama bongo wanne wanatosha.mbona kama sio kwenye kufunga ndoa hapo?
Hawana furaha kwenye nyuso zao dhamira zao zinawahukumuHayawi hayawi sasa yamekuwa Hatimate Dk Slaa alifunga ndoa na mchumba wake wa mda mrefu Josephine Mshumbusi na kufanya nchi ya Canada kusimama kwa masaa kadha ambapo vifijo na nderemo vilisikika toka miji tofauti Montreal, Calgary na kushambaa hadi Toronto na ottawa ya nchi.
Katika harusi iyo raisi wa mioyo dk slaa alivalia suti moja matata ya rangi nyeusi na shati ya blue uku bibie first lady wa mioyo wa Tanzania alivaa gauni moja matata la rangi la blue ilioivaa na mda wote walikuwa wanatoa tabasamu murua.
Heko kwa dk slaa na Josephine muwe na maisha marefu na ndoa yenye furaha
![]()
Ukiwa sura zimewashuka kama dume la shupaza...Hawana furaha kwenye nyuso zao dhamira zao zinawahukumu
huoni wazungu weupe wawili, wazungu weusi wawili na huyo mpiga picha?Aliposimamisha jiji mbona hapoenekani,kweli badhunguu washangae ndoa ya mswahila,unatania wewe
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Ukiwa sura zimewashuka kama dume la shupaza...
Nasubiria kile kijigazeti cha makanjanja na half-schooled columnists kitakavyokuwa kinaandika majungu na umbea toleo lijalo.Hii kwao ndio story ya kuuzia Gazeti