Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Wako kwenye hani muuni
1456994359867.jpg

Mahaba niue....
 
Nasubiria kile kijigazeti cha makanjanja na half-schooled columnists kitakavyokuwa kinaandika majungu na umbea toleo lijalo.Hii kwao ndio story ya kuuzia Gazeti
kale ka uhuru sio???
kagazeti kaumbea...pamoja na tazama......magazeti ya kimbea sana haya........
 
Tusihukumu tusije kuhukumiwa kazi ya kuhukumu ni ya Mungu.hongereni Dr slaa na mkeo.
 
NI WAPI MUNGU AMEWEKA NADHIRI YA UPADRI KWENYE BIBLIA? KUACHA UPADRI NA KUOA NI UAMUZI BINAFSI, MAHUSIANO YA DR. SLAA NA MUNGU NI YAKE BINAFSI. ASIHUKUMIWE NA WATU.
Naona umejitokeza kumtetea dr mihogo,sijui kama bado anazo leo ungeambulia buku7
 
kuna wengi wanaomponda lakini kiukweli wengine hata ndoa hawajafunga,wengine wamefunga lakini ndoa zao zina matatizo kibao wengine wako kwa wazazi ambao ndo zao zina matatizo kabla ujamshambulia mwenzako jiangalie na wewe
Dr mihogo alifukuzwa na mushumbusi na kulala kwenye gari,hii ni aibu ya mwaka
 
Naona umejitokeza kumtetea dr mihogo,sijui kama bado anazo leo ungeambulia buku7
Mimi sio wa Buku 7, take time to read my comments, Am Independent. Acheni kuingilia maisha ya watu kwa siasa uchwala.
 
Naona umejitokeza kumtetea dr mihogo,sijui kama bado anazo leo ungeambulia buku7
Wedding in exile away from your beloved country, ancestors, friends foes and relatives. . . something is very wrong somewhere
 
Mimi sio wa Buku 7, take time to read my comments, Am Independent. Acheni kuingilia maisha ya watu kwa siasa uchwala.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, kachukue angalau buku 3 kwa mwakyembe
 
duuh kumbe padre alikuwa anazini tu miaka yote??
 
Waliniwacha hoi waliposema kuwa hata familia yake haitakiwi kwenda kushuhudia mwili wa ndugu yao
OMG hata familia...! Halafu likaandaliwa lile kaburi bandia...kuna siku huyu mtu atarejea au la ukweli utajulikana hakuna siri ya milele
 
AL
Mkatoliki tena padre ameruhusiwa kufunga ndoa Na Mke wa MTU? Au Dr. Alibadili dini amefunga ya kiisilamu?
Alikuwa mke wa mtu wakati silaa akiwa Chadema lakini baada ya usaliti na kutumika kama dodoki pale hotelini analindwa tena yupo juu ya sheria hashikiki.N;B hiyo picha hapo juu mbona sioni dalili ya pete kwa mwali au macho yangu?
 
OMG hata familia...! Halafu likaandaliwa lile kaburi bandia...kuna siku huyu mtu atarejea au la ukweli utajulikana hakuna siri ya milele
Kweli mkuu hapo ndio watawala watatamani dunia ibadiishe mzunguko wake,yaani usiku uwe mchana na mchana uwe usiku
 
AL
Mkatoliki tena padre ameruhusiwa kufunga ndoa Na Mke wa MTU? Au Dr. Alibadili dini amefunga ya kiisilamu?
Alikuwa mke wa mtu wakati silaa akiwa Chadema lakini baada ya usaliti na kutumika kama dodoki pale hotelini analindwa tena yupo juu ya sheria hashikiki.N;B hiyo picha hapo juu mbona sioni dalili ya pete kwa mwali au macho yangu?
 
Back
Top Bottom