Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Best wishes on your wedding Dr & Mrs Slaa.
 
46c10715c85b100ddbe6be7c8e81f47c.jpg
 
Wa Bongo mmepiga figisuu wee, sasa Mzee kaibukia ughaibuni tuone sasa kama mtatengua ngoma iliyofungwa mbinguni na duniani.

Hongera DR.Slaa kupata jiko jipya - Bongo lini?
Jiko jipya? Asante kwa kumdanganya mzee
 
Mzee kaondoka kwenye siasa lakini siasa bado inamuandamisha, leo hii vijana badala ya kumpongeza wanamtolea maneno ya kashfa kisa aliamua kujitoa kwenye siasa za kishenzi. Ndugu zangu,tumpongeze Mzee Slaa na tumuombee maisha mema ya ndoa.
Tuombe administrators kuuhamishia uzi celebrity forum. Vinginevyo utaendelewa kuchangiwa kisiasa.

All the best our good dr.
 
Giant men wengi ni victim wa kuangushwa na wanawake.angalia
Samson na Delila
Daudi na Berthsheba
Solomon na wanawake wake (Queen of Sheba nk)
Adam na Eva
Clinton na Monica Lewisky ....
udhaifu mkubwa wa mwanaume upo kwenye sehemu zake za siri I guess...
Huyu Mama ni Lewinsky wa TZ aisee, sijui alimwambia nini alivyouza nyumba kwa mkopo kwa Equity Bank
 
Wakiwa Kwenye POZI
Hapo Kavaa Kofia ya KifreeMasons, sijui hakuijua?
image-jpeg.327016
 
Inapofikia hatua ya wananchi kushindwa kutenganisha ushabiki wa soccer na Ushabiki wa Siasa basi ujue "brainwashing is on point! " Hivi mtu mzima na akili zako unashindwaje kutofautisha maisha binafsi na Siasa?!

Besides Doctor Slaa kalifanyia mengi Taifa, mbali na makosa yake na madhaifu yake bado anastaili heshima kama binaadam yeyote yule bila kujali itikadi za Kisiasa, kiimani na wala kikabila!

**Siku watanzania tukijifunza kuheshimiana na kuheshimu mipaka baina ya utu wetu, undani wetu na utendaji wetu ndio siku tutakayopiga hatua mbele kutoka hapa tulipo ila kwa sasa "Sifa za pekee ziwaendee wale wanasiasa (sio wote) waliofanikisha Zoezi la DIVIDE & RULE (aka ABUSE)!!" mmefanikiwa sana kuhakikisha nchi haiongozwi unless FITNA & UZANDIKI vishike hatamu!

**Hongera sana wanandoa!

Precisely my point !

I appreciate and respect your words of wisdon.
 
Back
Top Bottom