NDOA ALOFUNGA SLAA NI YA KIKATOLIKI AU YA MAKANISA YA UFUFUO YA KINA;- mf. kakobe,mzee wa upako?
Ben Saanane tujuze!
Kuna bendera nyingine hazina rangi nyingi....tafuta mfano mwingine....[emoji6]Josephine ana rangi nyingi kama bendera.
Aisome MmawiaNi mwanasiasa asiye na ukomavu wa kisiasa(Political Maturity) atakayemshambulia Dr.Slaa kipindi hiki au kumtakia mabaya.
Nje ya Siasa kuna maisha.Hizo nadiriki kuziita ni siasa za kipumbavu kabisa kabisa
Hakuna Mwanasiasa aliyeenda shule anyeweza kufikiria kutengeneza uadui wa namna hiyo ikiwa mwanasiasa huyo anajitambua na anajua potentials zake au kama yupo real kwa ajili ya utumishi wa watu.
Kuna comments za chuki nimezisoma,sidhani hao wanaofanya hivyo kama ni wanasiasa kweli.Comments hizo pamoja na kwamba naheshimu maoni ya watu lakini nyingine ziko ranked katika level ya takataka.Comment zozote za chuki dhidi ya mtu na maisha yake ambayo has nothing to do with you ,Kwangu mimi ni Takataka tupu.
katika saikolojia tunasema kwamba mtu unapomzungumzia adui wako kila mara ina mana kwamba bado ana thamani katika maisha ndio maana hata ulipogombana nae umeshindwa kujizuia kuishi pasipo kukzungumzia
pia tunasema kwamba kila unapo mzungumzia adui yako ndivyo unavyo zidi kushuka chini kimawazo maana utakuwa hautoi mawazo ya kusaidia Taifa utakuwa kila mara unatengeneza bomu la kumuangamiza.
Unavyomzungumzia sana adui yako ndivyo unavyozidi kumpa kick na kuutesa moyo wako pale anapogundua kwamba nusu ya maisha yako yanachunguza maisha yake so atakuwa anafnya kila jambo ambalo anaona litakuwa negative au litakufanya ucoment kwa kila jambo analolifanya
Yeye ni mtu popular kumtakia excuses ili watu wasimseme haitosaidia.Hapa nimegundua vitu viwili siasa na maisha binafsi yamtu,watu lazima tuelewe kwamba kila binadamu anayo haki ya kufanya kitu chochote kile pasipo kuvunja sheria ya nchi. Dr slaa ametimiza ekaristi takatifu(imani za kiroma) katika dini.
Siasa;watu hili suala la Dr Slaa kufunga ndoa limewagusa watu wengi,ikumbukwe kwamba Dr Slaa alikuwa kada wa CHADEMA na jinsi alivyotoka paleCHADEMA makada wa CHADEMA hawakufurahishwa japo sio wote. So makada hao wamejenga package kwenye mioyo yao ambapo inapelekea lolote atakalo fanya DR halitakuwa positive hata likiwa jambo lenye manufaa kwa Taifa.
MAISHA BINAFSI; hili ndilo tatizo la siasa ugomvi wake hauishi kirahisi yaani kuna long-term course na short-term course,CHADEMA wana long-term course maana tangu last year haya matatizo hayaishi kuhusu Dr Slaa. Lazima watu tuelewe kwamba sio kila muda mtu utazungumzia siasa kuna muda mwingine mtu utafanya mambo yako binafsi,ikiwa ni pamoja na hilo alilolifanya la kufunga ndoa
Sina muda wa kuyajuaunajua ya Tundu lissu na mkewe hayasemeki
Ze Dk kapigwa roba la hatariHilo kanisa sio la Chung moon Jung kweli? The unification church ambalo ASKOFU Millingo nae alifunga ndoa na mkorea mwaka uleeee? Maana naona wapambe ni wakorea/wachina!
Nazungumzia bendera ya Tanzania wewe kiroboto.Kuna bendera nyingine hazina rangi nyingi....tafuta mfano mwingine....[emoji6]
U didn't specify what ur talking about ladyNazungumzia bendera ya Tanzania wewe kiroboto.
huyu mke wa bwana wako ni mweupe usoni tu! Huku mikononi na kwingineko ni mweusi kama mkaa!
Josephine ambaye ni mke wa bwana wako, amejichubua mpaka amepoteza rangi yake ya asili!U didn't specify what ur talking about lady
Its because ladies like u always put jealous first.....Josephine ambaye ni mke wa bwana wako, amejichubua mpaka amepoteza rangi yake ya asili!
Unadhani kwanini anaikimbia rangi yake ya awali?
Toa kwanza boriti lililo jichoni kwako ndio utoe kibanzi cha Dr. Slaa sawasawa Crocodiletooth?!?!?!......alieuacha upadri.....akavunja nadhiri ya upadri wake aliowekewa mikono na mapadri......akashindwa kuuvumilia upadri.....akafanya unyanganyi ....hatimaye ....akaoa......mungu amsimamie.....!?
Mkuu Ben wanadam hatuta acha kufuatiliana ndo maana tuna historia za watu wa kale kanakwamba tuliishi pamoja, na hii sio mbaya endapo hakuna upotoshwaji wa taarifa zaoCrimea,
Inashangaza sana. Kazi kufuatilia mambo ya watu na kuhukumu tena hata bila sufficient grounds
By the way nimeukumbuka mjadala huu
www.jamiiforums.com/threads/rose-kamili-amemsafisha-dr-wilbrod-slaa-hongera-rose-kamili-na-wenzako-mliofanikisha-hilo.291721/
NDIYO. Upadre ni choice. Mtu haziliwi nao. Ana haki ya kuuacha muda wowote ule kama alivyoupata.Priesthood is an office. Not an inborn status. It is aquired. And it can likewise be terminated.Kikristo inaruhusiwa hii?