Urani
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 288
- 99
Mkatoliki tena padre ameruhusiwa kufunga ndoa Na Mke wa MTU? Au Dr. Alibadili dini amefunga ya kiisilamu?
Mkuu huenda alibadili gia angani maana huwezi kujua haya mambo.
Mkatoliki tena padre ameruhusiwa kufunga ndoa Na Mke wa MTU? Au Dr. Alibadili dini amefunga ya kiisilamu?
Josephine ana rangi nyingi kama bendera.
Ni scating kama zilivyo rangi za magariJosephine amevaa gloves au?
For what reason?U must be idiot..... U need to check up ur mental health.....
Maji.....!Mbona rangi ya uso na mikono ya bibi arusi havina mshabihiano! kauso ka bibi arusi keupe mikono rangi halisi! hata hivo hongera zao!
Chief unawajua hawa The Unification Church?mwaka 2013 walileta tawi lao pale Sinza nyuma ya Mabatini Police Station acha bwana nilipiga pesa chafu msimu huo maana mpunga ulikua nje nje kuna watoto wa Kihaya walishtuka mapema wakaniita kwenye ujasiria dini baadae nikapepea zangu.Hilo kanisa sio la Chung moon Jung kweli? The unification church ambalo ASKOFU Millingo nae alifunga ndoa na mkorea mwaka uleeee? Maana naona wapambe ni wakorea/wachina!
Wanasheria mtujuze je ndoa ya wawili hawa itakuwa halali wakirudi Tanzania?![]()
Hatimaye aliyekuwa Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Josephine Mushumbusi.
Wawili hao walifunga ndoa nchini Canada jana katika kanisa moja, lakini habari zinaeleza si kanisa Katoliki ambalo Dr Slaa aliwahi kuwa Padri kwa kipindi cha miaka 20 iliyopita.
Ndoa hiyo imetimiza ndoto za muda mrefu za Dr Slaa ambaye mwaka 2010 aliyekuwa mume wa Mushumbusi alikimbilia mahakamani akidai bado anamtambua Josephine kuwa ni mke wake wake halali.
Mume huyo alidai Dr Slaa alimpora mke wake, hivyo akaitaka mahakama impatie haki yake. Hata hivyo kesi hiyo haikupewa mashiko makubwa.
Misukosuko ya wawili hao iliendelea ambapo mwaka 2012 aliyekuwa mke wake, Rose Kamili alifungua kesi kupinga ndoa hiyo huku akitaka alipwe milioni 50.
Dr Slaa na Mushumbusi wanaishi kwa takribani miaka sita sasa na waliwahi kuanza maandalizi ya kufunga ndoa wakiwa hapa nchini lakini wakashindwa kutokana na mapingamizi hayo.
Nimecheka sanaNatamani kuoa bukoba haiwezekani yaekekea kuna mambo, mazito huko!si bure mpaka mwanakondoo avurugikiwe!/