Mkatoliki tena padre ameruhusiwa kufunga ndoa Na Mke wa MTU? Au Dr. Alibadili dini amefunga ya kiisilamu?
Nina uhakika 99% wewew si Mkatoliki! Utakuwa wale wa injili sukari wewe!Ahaaa ht mi mkatoliki! Kufunga ndoa katoliki haimaanishi ni takatifu, ht madhehebu mengine yana ndoa takatifu!
Hoja yangu ni kuwa ndoa takatifu ni ile ambayo ni mpango wa Mungu, Kwahiyo unaweza ukafunga ndoa popote iwe katoliki au popote na isiwe mpango wa Mungu! Nina mifano kibao ambao walienda kwa waganga na wakafunga ndoa madhabahuni katoliki nk. Huwezi kuniambia ni mpango wa Mungu huo, au ni ndoa takatifu hiyo!!
Utakatifu wa ndoa hauletwi na dini /dhehebu Bali na Mungu /Yesu mwenyewe....
Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe..... Unfortunately nyingine zimeunganishwa na wanadamu sio Mungu.
Dini ya Kiislaam haiendekezi upumbavu na ndio maana kuna Talaka ! ..... upumbavu upo huko Ugalatiani, hammjielewi hamjitambui ! mwembemdogoMkatoliki tena padre ameruhusiwa kufunga ndoa Na Mke wa MTU? Au Dr. Alibadili dini amefunga ya kiisilamu?
Papa Benedict alisema Ukiristo ni dini ya kupanga !......alieuacha upadri.....akavunja nadhiri ya upadri wake aliowekewa mikono na mapadri......akashindwa kuuvumilia upadri.....akafanya unyanganyi ....hatimaye ....akaoa......mungu amsimamie.....!?
Utakuwa Umekula Nguruwe jana wewe. naona majini yanakurupuka!Papa Benedict alisema Ukiristo ni dini ya kupanga !
Giant men wengi ni victim wa kuangushwa na wanawake.angalia
Samson na Delila
Daudi na Berthsheba
Solomon na wanawake wake (Queen of Sheba nk)
Adam na Eva
Clinton na Monica Lewisky ....
udhaifu mkubwa wa mwanaume upo kwenye sehemu zake za siri I guess...
Utakuwa Umekula Nguruwe jana wewe. naona majini yanakurupuka!
Mkatoliki tena padre ameruhusiwa kufunga ndoa Na Mke wa MTU? Au Dr. Alibadili dini amefunga ya kiisilamu?[/QUOTE]
Hapo kwenye wekundu nadhani hakuna ukweli, sababu Waislamu HAWARUHUSU kufungisha ndoa na mke wa mtu. Waislamu ni Dini yenye maadili mema. Sijawasikia wakiozesha wake ambao walishaolewa.
Yani kwa maelezo yako nimejifunza kitu, Nimegundua huyu baba hapendi UNAFIKI si mbele ya Mungu wala Binadamu Mungu Amsimamie naungana na wewe, Mana kuna watu mpaka kesho ni Mapadre lakin wanazini na wamezaa hizo kesi ziko nyingi tumeshazisikia, Kuliko kuwa Mnafiki na Muongo mbele ya kondoo na mungu wako, ni vyema kuweka wazi kuwa kama binadamu nimeshindwa nataka maisha hayo Salute Dr. Slaa hata baba yako Adam alishindwa nae akakosea, wewe hukutaka kushindwa halafu umsingizie shetani,......alieuacha upadri.....akavunja nadhiri ya upadri wake aliowekewa mikono na mapadri......akashindwa kuuvumilia upadri.....akafanya unyanganyi ....hatimaye ....akaoa......mungu amsimamie.....!?
hahahaaaa kwa mawazo haya hautaoa wewe....maisha tunapita ndugu hakuna atakaye enjoy mali za dunia maisha yotelimama limejihakikishia mali za slaa. masikini watoto? sema tu mama yao ni mbunge.
Kuufahamu ukatoliki ni Jambo mmoja na kuuishi ukatoliki ni Jambo jingine, kuwa katibu wa Baraza la maaskofu haifanyi mtu awe mkatoliki bora kuliko wengine, mteteeni lakini ongeeni vitu vya maana sio hizi bla blaNever please anyone at your own detriment.Simple!
Kwa mtu asiyejitambua ndiye anayeweza kuyumbishwa tu.
Kuna watu hapa wanatoa comments utadhani wao wanaufahamu Ukatoliki kuliko aliyekuwa Katibu wa Baraza la Maaskofu (TEC)
Wanajifanya wanajua Dini na sheria zake kuliko Ph.D Holder wa Canon Law
Yet wao hata Bible Knowledge,Islamic Kwa Form Four au Divinity kwa Form Six hawajawahi kupata hata daraja C ziwaongezee Credit za daraja la ufaulu
Kuufahamu ukatoliki ni Jambo mmoja na kuuishi ukatoliki ni Jambo jingine, kuwa katibu wa Baraza la maaskofu haifanyi mtu awe mkatoliki bora kuliko wengine, mteteeni lakini ongeeni vitu vya maana sio hizi bla bla
Ahaaa ht mi mkatoliki! Kufunga ndoa katoliki haimaanishi ni takatifu, ht madhehebu mengine yana ndoa takatifu!
Hoja yangu ni kuwa ndoa takatifu ni ile ambayo ni mpango wa Mungu, Kwahiyo unaweza ukafunga ndoa popote iwe katoliki au popote na isiwe mpango wa Mungu! Nina mifano kibao ambao walienda kwa waganga na wakafunga ndoa madhabahuni katoliki nk. Huwezi kuniambia ni mpango wa Mungu huo, au ni ndoa takatifu hiyo!!
Utakatifu wa ndoa hauletwi na dini /dhehebu Bali na Mungu /Yesu mwenyewe....
Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe..... Unfortunately nyingine zimeunganishwa na wanadamu sio Mungu.