Kaolewe wewe basi uwasaidie hao watoto
Mkuu, punguza ukali wa maneno!
Kaolewe wewe basi uwasaidie hao watoto
Huna lolote......Dr atakuoa ili uwalee watoto wake unaowaonea hurumaTangu dr mihogo alivyo amua kuasi cdm sababu ya fweedha za ccm ndio siku hiyo akili ilipo hama kutoka kichwani mwake
HaaaaahaaaKaolewe wewe basi uwasaidie hao watoto
Naungana na wewe 100%Nikisoma comments za watu wanaoongea negative kuhusu mtu kufunga ndoa inanishangaza sana
Kisaikolojia naona dalili za wivu tu hakuna kingine
That's just how losers and mediocres console themselves
You should face your own life if you have one
Wengine watakuja hapa kulalamika mbona hajafungia nchini kama wale waliolialia kwenye thread ya jana usiku
Hii tabia ya kuzamia kwenye sherehe za watu ipo Tanzania tu.Dunia haiko hivyo
Tubadilike tuache majungu,Wivu na Chuki.
It will cost you nothing kutoa maneno ya Baraka kwa mwenzako aliyetenda jambo la kheri
Who the hell are you to judge others?
Tena wengine kama huyu anamtaja "mungu" wake kwa kumuandika kwa kuanza kwa Herufi ndogo,unafiki tu wa kutaka kuonyesha kuwa sisi tunamjua Mungu zaidi kuliko wengine.
Get a life !
Kiwavi utamjua tu, Tuliwatimua kama mandeziHuna lolote......Dr atakuoa ili uwalee watoto wake unaowaonea huruma
NI WAPI MUNGU AMEWEKA NADHIRI YA UPADRI KWENYE BIBLIA? KUACHA UPADRI NA KUOA NI UAMUZI BINAFSI, MAHUSIANO YA DR. SLAA NA MUNGU NI YAKE BINAFSI. ASIHUKUMIWE NA WATU.......alieuacha upadri.....akavunja nadhiri ya upadri wake aliowekewa mikono na mapadri......akashindwa kuuvumilia upadri.....akafanya unyanganyi ....hatimaye ....akaoa......mungu amsimamie.....!?
Mi bado sina imani na uhalali wa hii ndoa ya dokta. Anyway maisha binafsi...
What's the big deal?
Watu wameamua maisha yao kwa faida yao na watoto wao.
Stop poking your nose into their family affairs.
......alieuacha upadri.....akavunja nadhiri ya upadri wake aliowekewa mikono na mapadri......akashindwa kuuvumilia upadri.....akafanya unyanganyi ....hatimaye ....akaoa......mungu amsimamie.....!?
Ahaaa ht mi mkatoliki! Kufunga ndoa katoliki haimaanishi ni takatifu, ht madhehebu mengine yana ndoa takatifu!
Hoja yangu ni kuwa ndoa takatifu ni ile ambayo ni mpango wa Mungu, Kwahiyo unaweza ukafunga ndoa popote iwe katoliki au popote na isiwe mpango wa Mungu! Nina mifano kibao ambao walienda kwa waganga na wakafunga ndoa madhabahuni katoliki nk. Huwezi kuniambia ni mpango wa Mungu huo, au ni ndoa takatifu hiyo!!
Utakatifu wa ndoa hauletwi na dini /dhehebu Bali na Mungu /Yesu mwenyewe....
Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe..... Unfortunately nyingine zimeunganishwa na wanadamu sio Mungu.
Kugongewa ni kwa kila mmoja. Unajuaje labda na wewe unagongewa au baba yako anagongewa. La kugongewa liache, kama siyo wewe basi baba yako anagongewa, huwezi kujuaMijitu inatokwa povu hapa utafikiri yenyewe ndoa zao ziko imara..
Kumbe ukute inagongewa kila siku
Mkuu, nimesemea taratibu za kikatoliki tu. Madhehebu mengine yana taratibu zake, na yanajua yenyewe misimamo yao kuhusu ndoa. Hakuna ndoa ya kikatoliki ambao si takatifu. Na ninasisitiza neno TAKATIFU kwa sababu lina maana kubwa sana kwa imani yetu. kwa hiyo unaposema........"Kufunga ndoa katoliki haimaanishi ni takatifu, ht madhehebu mengine yana ndoa takatifu!" haya ni maneno na imani yako na si ya imani ya kikatoliki. Kama wewe ni Mkatoliki, basi nakualika tena uisome vizuri Katekesi na uyafuatilie vizuri mafundisho ya kanisa letu. Dr. Slaa analijua sana fundisho hili kwa sababu ni padri, na bila shaka ndiyo maana ameamua kufunga ndoa kwingine. Zaidi ya hapa, mimi ni nani? ninakuacha uamini kile unachoona ni sahihi kwako...
Mipango ya ndoa ni matakwa ya miili yetu Bali Mungu humheshimu maagano tuyafanyayo katikati ndoa.Mkuu sio kila ndoa ni mpango wa Mungu ht km imefungiwa kanisani!