Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Dr. Slaa afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

Mi bado sina imani na uhalali wa hii ndoa ya dokta. Anyway maisha binafsi...
 
Hivi kwanini watu waliosoma seminary hasa katoliki huwa mara nyingi hawapati wenza sahihi, au hawajui kuchagua wanawake wa kuishi nao? Nasema kitu ambacho nimefanya utafiti kwa zaidi ya watu 37 waliosoma seminary!

Mkuu, kwa uzoefu wangu, ukichagua wito wa kumtumikia Mungu na kuwa padri unapaswa kubaki ktk wito huo kwa maisha yako yote. Kiapo ni kiapo. Nimeona wengi walioapa na kisha kuvunja viapo vyao maisha yao huenda kombo siku zote. Sijui, lakini pengine hiyo ndy gharama ya kuruka kiapo. Lkn, sisi ni nani kumhukumu mtu? tunamwombea tu kila la heri katika maisha yake ya ndoa.
 
Unategemea, kama walifunga ndoa na Rose basi hii ni batili na anazini tu au kama hyu mama walifunga ndoa na mshumbushi basi hapa naye azini

Mkuu sio kila ndoa ni mpango wa Mungu ht km imefungiwa kanisani!
 
Unategemea, kama walifunga ndoa na Rose basi hii ni batili na anazini tu au kama hyu mama walifunga ndoa na mshumbushi basi hapa naye azini
Mkuu sio kila ndoa ni mpango wa Mungu ht km imefungiwa kanisani!

Mkuu, ndoa za kanisa katoliki ni takatifu, na hakuna ndoa ya kikatoliki ambayo si takatifu. Huwezi kufunga ndoa ya kikatoliki na kisha ukasema haikuwa mpango wa Mungu. Naomba tu nikusahihishe kwa sababu mimi ni Mkatoliki. Hayo ndiyo mafundisho na imani yetu.
 
Mkuu, ndoa za kanisa katoliki ni takatifu, na hakuna ndoa ya kikatoliki ambayo si takatifu. Huwezi kufunga ndoa ya kikatoliki na kisha ukasema haikuwa mpango wa Mungu. Naomba tu nikusahihishe kwa sababu mimi ni Mkatoliki. Hayo ndiyo mafundisho na imani yetu.
Ni kwasababu ndani ya katoliki. Ndoa Ni moja tu hufungwa, mpaka kifo kiwatenganishe.

Ndoa ya namna hii ni ndoa takatifu .
Ndo hii inapofungwa haitambui talaka.

Napata Shida kama ndoa ya dokta slaa vigezo na masharti vimezingatiwa
 
Chezea katerero!Haya mambo unaweza ua ndugu zako hata ukatengwa na jamii mzima eti kisa tu boksi nyoya.Mungu tusaidie maana kule mahali kama kuna sumaku hauwezi elewa lolote lile kama umependa hiyo ndude.Kila kheri Dr.
 
Kaolewe wewe basi uwasaidie hao watoto
Hiyo tabia unayo wewe maana baada ya kufurumushwa kutoka cmd ukaenda act na ccm,kiwavi mkubwa wewe
1456985970965.jpg
 
Mzee alivyo muongo utakuta amewadanganya wazungu kuwa hajawahi kuwa na mke ili wamfungie hiyo ndoa.
 
Ni kwasababu ndani ya katoliki. Ndoa Ni moja tu hufungwa, mpaka kifo kiwatenganishe.

Ndoa ya namna hii ni ndoa takatifu .
Ndo hii inapofungwa haitambui talaka.

Napata Shida kama ndoa ya dokta slaa vigezo na masharti vimezingatiwa
Tangu dr mihogo alivyo amua kuasi cdm sababu ya fweedha za ccm ndio siku hiyo akili ilipo hama kutoka kichwani mwake
 
What's the big deal?

Watu wameamua maisha yao kwa faida yao na watoto wao.

Stop poking your nose into their family affairs.
Naona wewe ndiye mlinzi uliye mbebea begi lake siku amefukuzwa na mushumbusi
 
Wa Bongo mmepiga figisuu wee, sasa Mzee kaibukia ughaibuni tuone sasa kama mtatengua ngoma iliyofungwa mbinguni na duniani.

Hongera DR.Slaa kupata jiko jipya - Bongo lini?
 
Mkuu, ndoa za kanisa katoliki ni takatifu, na hakuna ndoa ya kikatoliki ambayo si takatifu. Huwezi kufunga ndoa ya kikatoliki na kisha ukasema haikuwa mpango wa Mungu. Naomba tu nikusahihishe kwa sababu mimi ni Mkatoliki. Hayo ndiyo mafundisho na imani yetu.

Ahaaa ht mi mkatoliki! Kufunga ndoa katoliki haimaanishi ni takatifu, ht madhehebu mengine yana ndoa takatifu!

Hoja yangu ni kuwa ndoa takatifu ni ile ambayo ni mpango wa Mungu, Kwahiyo unaweza ukafunga ndoa popote iwe katoliki au popote na isiwe mpango wa Mungu! Nina mifano kibao ambao walienda kwa waganga na wakafunga ndoa madhabahuni katoliki nk. Huwezi kuniambia ni mpango wa Mungu huo, au ni ndoa takatifu hiyo!!

Utakatifu wa ndoa hauletwi na dini /dhehebu Bali na Mungu /Yesu mwenyewe....

Alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe..... Unfortunately nyingine zimeunganishwa na wanadamu sio Mungu.
 
Back
Top Bottom