strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,919
- 3,312
Sawa sawa
Hongera zake dkt. Slaa,hakika anauishi utu wake kwa kuwa na misimamo yake ya ukweli. Maisha mema dkt. Slaa na mkeo.
Je wewe hujawahi kuzini?Wamehalalisha uzinzi wao kwa njia haramu!
Huyu nae, sasa kwanini hakufungia Tanzania????
Jipu! jipu! jipu!
Nikisoma comments za watu wanaoongea negative kuhusu mtu kufunga ndoa inanishangaza sana
Kisaikolojia naona dalili za wivu tu hakuna kingine
That's just how losers and mediocres console themselves
You should face your own life if you have one
Wengine watakuja hapa kulalamika mbona hajafungia nchini kama wale waliolialia kwenye thread ya jana usiku
Hii tabia ya kuzamia kwenye sherehe za watu ipo Tanzania tu.Dunia haiko hivyo
Tubadilike tuache majungu,Wivu na Chuki.
It will cost you nothing kutoa maneno ya Baraka kwa mwenzako aliyetenda jambo la kheri
Who the hell are you to judge others?
Tena wengine kama huyu anamtaja "mungu" wake kwa kumuandika kwa kuanza kwa Herufi ndogo,unafiki tu wa kutaka kuonyesha kuwa sisi tunamjua Mungu zaidi kuliko wengine.
Get a life !
Mbona wapo wengi walioacha na kuoa? Tukiacha mambo ya Siasa, nampongeza Dr. Silaa kwa kuwa mkweli, maana aliona kuliko kuishi ktk dhambi ya uzinzi huku akijiita Padri ni bora kuacha na kuoa.......alieuacha upadri.....akavunja nadhiri ya upadri wake aliowekewa mikono na mapadri......akashindwa kuuvumilia upadri.....akafanya unyanganyi ....hatimaye ....akaoa......mungu amsimamie.....!?
Rudi ukanisome vizuri.Je wewe hujawahi kuzini?
Unategemea, kama walifunga ndoa na Rose basi hii ni batili na anazini tu au kama hyu mama walifunga ndoa na mshumbushi basi hapa naye aziniKikristo inaruhusiwa hii?
Giant men wengi ni victim wa kuangushwa na wanawake.angalia
Samson na Delila
Daudi na Berthsheba
Solomon na wanawake wake (Queen of Sheba nk)
Adam na Eva
Clinton na Monica Lewisky ....
udhaifu mkubwa wa mwanaume upo kwenye sehemu zake za siri I guess...
Tanzania figisu figisu nyingiHuyu nae, sasa kwanini hakufungia Tanzania????
Jipu! jipu! jipu!
Unazijua vizuri taratibu za kuacha kutoa huduma ya Upadri kanisa Katoliki? Hebu tuwe tunauliza basikama hakuwa tayari kumtumikia mungu wetu aliingiaje upadriii....!?/
kila mahala pana miiko yake!
mf.huwezi oa dada yako nani mwiko!
*kukiuka miiko tena mbaya zaidi ya kiongozi wa kiimani!/
mungu wetu amsamehe.