MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Umetumia kigezo au vigezo gani kumlinganisha na Obama? Maana sioni similarities zozote kati ya hawa watu wawili.
.............haiwezekani,atakuwa mzee sana!Wadau mnamuonaje Dr.Salim,kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
Sidhani kama hizi ni sifa za mtu anayetaka kuwania urais wa tanzaniaHuyo ni Mpemba ingawa inasemwa kuwa aliukana Upemba alipokuwa katika Kinyanganyiro kwa kuwa mama yake ana asili ya Kimanyema au ni mmanyema baba yake ni muarabu pure hata kiswahili hakitamki vizuri ,vipi atakubalika katika jamii ya WaTanzania kuwa Raisi wao ? Pili ni Muislamu wakati japo sijawahi kumuona msikitini wengine wanasema ni mkoministi kama kingunge ,sina uhakika ,si kuna msemo kuwa Mpemba hatawali ,sasa huoni kama kwamba unawasimanga WaPemba ,si unajua kuna msemo unasemwa kuwa Mpemba si ntu ?
Wadau mnamuonaje Dr.Salim,kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
Na Nyingine walidai alimuua Karume lakini baada ya uchanguzi huo kuisha hatukusikia tena tuhuma hizo zikizungumziwa...CCM kwa mbinu chafu hawajambo...Huyo mheshimiwa hukumbuki aliyofanyiwa 2005 wakati wa kura za maoni ya urais? Jamaa ana CV nzuri lakini kura za maoni 2005 ni sawa na za mwaka 2010.
Watu walichakachua kila kona, mtandao ulifanya kazi yake, mzee akapigwa benchi. Mojawapo ya skendo ni madai ya kuwa yeye ni raia wa nchi nyingine na siyo tanzania.
Wana JF katika kampeni zinazoendelea, Mmoja wa wana CCM ambao nilitegema na ambaye ni mwanachama mwenye ushawishi simsikii kabisa! SALIM AHMED SALIM. Jama mbona amekaa kimya sana? Kulikoni?
Na Nyingine walidai alimuua Karume lakini baada ya uchanguzi huo kuisha hatukusikia tena tuhuma hizo zikizungumziwa...CCM kwa mbinu chafu hawajambo...