Rais Samia: Tovuti ya Dkt. Salim Ahmed Salim ni hazina kubwa kwa taifa kwani ina manufaa kwa wale wote wanaotaka kujifunza

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,109
49,817
Legacy ni ipi katuachia yule bwana?

View: https://twitter.com/CyrilRamaphosa/status/1708497215356858878?t=8Txy9u4MgcWKiiiolvWvuQ&s=19

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tovuti ya Dk. Salim Ahmed Salim, ni hazina kubwa kwa taifa kwani ina manufaa kwa wale wote wanaotaka kujifunza, masuala ya kidiplomasia na uongozi.

Dk. Samia ameyasema hayo leo Septemba 30, 2023 katika uzinduzi wa tovuti ya kwanza ya hifadhi ya nyaraka ya Kiongozi kwa njia ya kidigitali inayotambulika "The Salim Ahmed Salim Digital Archive" www.salimahmedsalim.com katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC).

"Nimefarijika sana kusikia tovuti hii itakuwa endelevu na itakuwa ikiboreshwa mara kwa mara,"

Aidha, Dk. Samia amesema kupitia ushirikiano wa serikali na familia ya Dk. Salim, tovuti hii itamuwezesha kila mmoja kuifikia bila gharama yeyote.

"Tunapomzungumzia Dk. Salim Ahmed Salim, ni ukweli usiopingika kwamba huyu ni Mtanzania mahiri,

"Katika nyanja ya kidiplomasia Dk. Salim alituwakilisha katika nchi mbalimbali ikiwemo Misri, India, China.

"Dk.Salim alichapa kazi kwa moyo wake wote hivyo kudhihirisha uadilifu na uchapakazi," Dk. Samia amenukuliwa.

Imeandaliwa na Ismaily Kawambwa na Samwel Swai

Habari Leo

View: https://www.instagram.com/p/Cx0WzbpI21R/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Legacy ni ipi latuachia yule bwana?
---

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tovuti ya Dk. Salim Ahmed Salim, ni hazina kubwa kwa taifa kwani ina manufaa kwa wale wote wanaotaka kujifunza, masuala ya kidiplomasia na uongozi.

Dk. Samia ameyasema hayo leo Septemba 30, 2023 katika uzinduzi wa tovuti ya kwanza ya hifadhi ya nyaraka ya Kiongozi kwa njia ya kidigitali inayotambulika "The Salim Ahmed Salim Digital Archive" www.salimahmedsalim.com katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC).

"Nimefarijika sana kusikia tovuti hii itakuwa endelevu na itakuwa ikiboreshwa mara kwa mara,"

Aidha, Dk. Samia amesema kupitia ushirikiano wa serikali na familia ya Dk. Salim, tovuti hii itamuwezesha kila mmoja kuifikia bila gharama yeyote.

"Tunapomzungumzia Dk. Salim Ahmed Salim, ni ukweli usiopingika kwamba huyu ni Mtanzania mahiri,

"Katika nyanja ya kidiplomasia Dk. Salim alituwakilisha katika nchi mbalimbali ikiwemo Misri, India, China.

"Dk.Salim alichapa kazi kwa moyo wake wote hivyo kudhihirisha uadilifu na uchapakazi," Dk. Samia amenukuliwa.

Imeandaliwa na Ismaily Kawambwa na Samwel Swai

Habari Leo
 
Legacy ni ipi latuachia yule bwana?
---

Rais Samia Suluhu Hassan, amesema tovuti ya Dk. Salim Ahmed Salim, ni hazina kubwa kwa taifa kwani ina manufaa kwa wale wote wanaotaka kujifunza, masuala ya kidiplomasia na uongozi.

Dk. Samia ameyasema hayo leo Septemba 30, 2023 katika uzinduzi wa tovuti ya kwanza ya hifadhi ya nyaraka ya Kiongozi kwa njia ya kidigitali inayotambulika "The Salim Ahmed Salim Digital Archive" www.salimahmedsalim.com katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC).

"Nimefarijika sana kusikia tovuti hii itakuwa endelevu na itakuwa ikiboreshwa mara kwa mara,"

Aidha, Dk. Samia amesema kupitia ushirikiano wa serikali na familia ya Dk. Salim, tovuti hii itamuwezesha kila mmoja kuifikia bila gharama yeyote.

"Tunapomzungumzia Dk. Salim Ahmed Salim, ni ukweli usiopingika kwamba huyu ni Mtanzania mahiri,

"Katika nyanja ya kidiplomasia Dk. Salim alituwakilisha katika nchi mbalimbali ikiwemo Misri, India, China.

"Dk.Salim alichapa kazi kwa moyo wake wote hivyo kudhihirisha uadilifu na uchapakazi," Dk. Samia amenukuliwa.

Imeandaliwa na Ismaily Kawambwa na Samwel Swai

Habari Leo
Hizo archive zinaleta maji Huku Kyela?
 
Shujaa amefanya mambo mengi Sana Tanzania ebu tuache wivu
Shujaa haitaji tovuti..kwamba mpaka umtafute kwa tochi..shujaa hakufanya kazi za mdomo..matendo yake yanaongea. Hakuna mahali hajagusa umkose. Kuanzia barabara, afya, umeme wa bei chee vijijini, uhakika wa umeme na maji enzi zake, barabara za lami na zege hadi mitaa iliyokuwa imesahaulika, mpango wa elimu bure, zahanati na vituo vya afya hadi kwenye tarafa.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Shujaa haitaji tovuti..kwamba mpaka umtafute kwa tochi..shujaa hakufanya kazi za mdomo..matendo yake yanaongea. Hakuna mahali hajagusa umkose. Kuanzia barabara, afya, umeme wa bei chee vijijini, uhakika wa umeme na maji enzi zake, barabara za lami na zege hadi mitaa iliyokuwa imesahaulika, mpango wa elimu bure, zahanati na vituo vya afya hadi kwenye tarafa.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Kama vyote hivyo alifanya si inamaana alimaliza Kila kitu Sasa mbona vilio viko pale pale? Alifanya wapi?
 
Hizo archive zinaleta maji Huku Kyela?
Maji ni kitu kidogo Sana kuliko archives ambazo zinajenga benchmark ya kufundishia Watoto.

Kumbe Bado mna shida ya Maji,kwani shujaa wenu hakuwaletea si mumesema alifanya kila kitu au? 😁😁😁
 
Hadi sasa taifa la watu milioni 62+ tumekaa tunasubiri mradi aliouanisha shujaa utuokoe na mgao wa umeme.

Bila huo mradi hakuna future ya hili taifa.
Kwa nini hakujenga yeye ili awaokoe? Alikuwa anafanya nini miaka 5?
 
Ndio kama umkumbukavyo hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯🐼
Nachokumbuka baada ya wanancjo kumuomba lami alisema kama mnafikiri kujenga lami ni sawa na kulima majaruba geuzeni vinyesi vyenu view lami πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shujaa alikuwa harembi πŸ˜‚πŸ˜‚
Imagine takataka kama hizo ndio eti ligacy 🀣🀣

Serikali haijaleta tetemeko hapo ni baada ya kula rambirambi 😁😁

Yaani yule Jamaa alikuwa na laana ndio maana hakuchukua round
 
Imagine takataka kama hizo ndio eti ligacy 🀣🀣

Serikali haijaleta tetemeko hapo ni baada ya kula rambirambi 😁😁

Yaani yule Jamaa alikuwa na laana ndio maana hakuchukua round
Kazi zake zinaonekana

Shujaa Magufuli angetaka tuwe na katiba tungeshaipata kitambo sana kwa sababu ni mtu wa kumaanisha

Nyie Katiba Pendekezwa mmefungia kabatini then mnaanzisha mchakato wa Katiba nyingine πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom