thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Ninachokijua ni kwamba kwenye historia ya maisha ya viongozi wanapotunga vitabu hawawezi kutoa siri za nchi.
Hisia zangu ni kwamba Dr Salim Ahmed Salim kama mwanadamu kuna eneo alikwazwa sana, hasa kipindi anagombea urais 2005, kuna lugha za kijinga sana zilitumika na lile kundi kuhusu haiba yake, alibaguliwa sana na kuitwa Hizbollal, hili kwa imani yangu lilimkera sana sana.na inawezekana kwenye kitabu chake simulizi hii ipo na kawataja majina waliomtenda
Alibaki kuwa mkimya sana
Na waliofanyia jambo hili leo mmojawapo namuona ndani ya ukumbi akiwa kavaa nyeupe.
Huyu mwenye nyeupe hajawahi hata kuomba samahani kwa madhila aliyomtendea Dr Salim Ahmed Salim
Tusubiri nyaraka zilizozuiliwa na vyombo vya usalama kama kweli hapo baadae zitaachiwa, nchi hii ngumu sana.
Sidhani
Hisia zangu ni kwamba Dr Salim Ahmed Salim kama mwanadamu kuna eneo alikwazwa sana, hasa kipindi anagombea urais 2005, kuna lugha za kijinga sana zilitumika na lile kundi kuhusu haiba yake, alibaguliwa sana na kuitwa Hizbollal, hili kwa imani yangu lilimkera sana sana.na inawezekana kwenye kitabu chake simulizi hii ipo na kawataja majina waliomtenda
Alibaki kuwa mkimya sana
Na waliofanyia jambo hili leo mmojawapo namuona ndani ya ukumbi akiwa kavaa nyeupe.
Huyu mwenye nyeupe hajawahi hata kuomba samahani kwa madhila aliyomtendea Dr Salim Ahmed Salim
Tusubiri nyaraka zilizozuiliwa na vyombo vya usalama kama kweli hapo baadae zitaachiwa, nchi hii ngumu sana.
Sidhani