Wadau mnamuonaje Dr.Salim,kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
Ndo umeanza kumfanyia kampeni? Haya anafaa kama atapambanishwa na wanyonge watakaojitokeza wakati huoWadau mnamuonaje Dr.Salim,kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
NasDas hujui Uzee ni Dawa?
Wadau mnamuonaje Dr.Salim,kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
Kimsingi Mh. Salim Ahmed Salim anafaa kuongoza taifa letu right from next year. Kusubiri mwaka 2015 atazeeka sana na huu is unyanyapaa kwake.
mma..... Tatizo si uzee
hatufai kwani hajainvest tz na wala hakai tz
hajui twala nini twaishi vp
Mkku mmaroroi heshima mbele,Wadau mnamuonaje Dr.Salim,kwa uadilifu wake na taswira na haiba yake Kitaifa na Kimataifa haimtoshi kuongoza Nchi yetu ya Tanzania kwenye ngazi ya Urais?
mma..... Tatizo si uzee
hatufai kwani hajainvest tz na wala hakai tz
hajui twala nini twaishi vp