Sijakuelewa,
Utakuja kujua siku za mbele kaka, we fata upepo na mashairi mazuri yenye kukuliwaza, issue ya ESCROW kweli ipo na ni wizi wa mchana kabisa, Muhongo kahusikaje hapo?
tuelewe nini tena? Ina maana huyo Mengi kazihonga kamati zote za uchunguzi pamoja na wajumbe wote wa kamati ya bunge iliyochambua ripoti ya uchunguzi?. You must be joking, right? Kama hivyo ndivyo basi Mengi kawahonga wabunge wote!. Au wewe ndo shabiki wa kina muhongo uayeingiza hoja dhaifu zilizopita?. Wote ni wezi kwani wamesaidia wizi kufanikiwa na tutajua tu dau lake soon. Kiburi na dharau kwa mwanadamu huwa ni mwanzo wa anguko la aibu. Wezi wetu hawa waliacha mianya ambayo watu makini wameitumia kuwa-trace kirahisi.
Let them go nao wakazionje magereza ili wakirudi waagize magereza zijengwe kama hoteli za nyota tano na yale mabasi yageuzwe boeng za business class. Nyodo zitaisha sasa.