Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 246
Uchunguzi huwa unafanyika pale mtuhumiwa anapokua hana cheo chochote.
1.lowasa alikuwa pm.so ili uchunguzi uweze kuwa ni wa huru pia wa haki ni lazima angejiuzulu kupisha uchunguzi(iwapo yeye ndiyo aliyekuwa anatuhumiwa mean e.l)
2.kilichoundiwa tume ni kampuni ya richmond na si lowasa ambaye alikuwa ni pm wakati ule.
Kwaiyo kumlaumu mwakyembe haina sana mashiko.ni kukosa hoja.
Mwakyembe tumlaumu kwa kuficha baadhi ya ushaidi na tumlaumu sita kw kuuzima bungeni.
1.lowasa alikuwa pm.so ili uchunguzi uweze kuwa ni wa huru pia wa haki ni lazima angejiuzulu kupisha uchunguzi(iwapo yeye ndiyo aliyekuwa anatuhumiwa mean e.l)
2.kilichoundiwa tume ni kampuni ya richmond na si lowasa ambaye alikuwa ni pm wakati ule.
Kwaiyo kumlaumu mwakyembe haina sana mashiko.ni kukosa hoja.
Mwakyembe tumlaumu kwa kuficha baadhi ya ushaidi na tumlaumu sita kw kuuzima bungeni.
Translate