Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,988
nani msafi hapa ajitokeza yaani sio mwizi ama hajawahi kutuibia hata shilingi moja ajitokeze,aseme tuaze kutoa tuliyonayo moyoni ajitokeze? iwe W,J,Malecela,tena wewe nimesoma na ............Mpwapwa-Dodoma, tutamwaga sumu hapa tuanze kuogopana,January makamba ndio usiseme tunaujumbe ulioibwa kutoka VODACOM 2010 mawasiliano yao na Barick,nani mwingine ,acheni tunanyamaza tu ili Dunia iende na mambo yaende lakini tukitaka kuweka wazi kila kitu tutapigana ban za bure humu
unapomnyooshea kidore mwenzako tambuwa kuwa nawe kuna vingine vinakutazama
Hili nalo ni tatizo kubwa miongoni mwetu na kama tunataka kupiga hatua lazima tubadilike.
Kama mtu unafahamu kitu kwanini usikiseme kwa ajili ya maslahi ya watu wengi unaishia kutoa vitisho vya hapa na pale, au ndo siasa za maji taka zenyewe!?
Hapa analaumiwa mwakyembe kwa kuficha baadhi ya mambo, na wewe engineer unaficha baadhi ya mambo, sasa ndio nini hii? Kwa maslahi ya nani?