Nadhani wenye jibu watakujibu!
Kiongozi mwingine mzalendo aliyeugulia na kufia nchini hivi karibuni ni Mhe. Mbunge Sigfrid Ng'itu wa Lindi, huyu naye kaugulia na kufia Muhimbili! Hakuna cha nje ya nchi wala nini!
alikuwa akisumbuliwa na nini?Habari zilipatikana sasa hivi zinaleza kwamba mwanasiasa na mtumishi wa zamani serikalini, Dr. Laurence Gama ameaga dunia katika Hospitali ya Agakhan, Dar es Salaam. Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi Ameen.
RIP mzee Gama...
mhuu!!hivi kiongozi kufia nchini ni kipimo cha uzalendo?hapana!!!!!!Mwalimu JK alikuwa mzalendo au hapana!
mzee umepotea kidogo,Pole kwa ndugu na familia. Nitamkumbuka Gama kama mchapa kazi mzuri sana. Laiti hata robo ya Watanzania tungekuwa tunajituma kama huyu bwana, huenda nchi ingesogea.
RIP Dr. Gama.
RIP mzee Gama...
mhuu!!hivi kiongozi kufia nchini ni kipimo cha uzalendo?hapana!!!!!!Mwalimu JK alikuwa mzalendo au hapana!
rip mtazama...you tried very hard to block the current system to come into power in 1995 until they cried out loud...........
...Burn, mi nashauri siku moja hata yeye JK kweli akiugua apelekwe tu huko huko M'nyamala bila kuonja dhahama ya pale wataamini vipi kama huduma ni mbovu na zinatakiwa kuboreshwa? Kila siku ni story tu mara m'nyamala, mara temeke sijui amana wamama wanazalia nje ya geti za hospitali na vitimbi vya kila aina....lakini wao akisikia baridi kidogo amekamata pipa anarushwa zake kwenye zile hospitali zao za St...St..St....Haya mambo ya uzalendo yana mipaka yake, wewe umchulie mtu kama JK akalazwe M'nyamala hata dk kumi tu lazima ataaga dunia na uzalendo wake kwishney.