Dr. Lawrence Gama ameaga dunia

Habari zilipatikana sasa hivi zinaleza kwamba mwanasiasa na mtumishi wa zamani serikalini, Dr. Laurence Gama ameaga dunia katika Hospitali ya Agakhan, Dar es Salaam. Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi Ameen.
i1290_g.jpg
 
Back
Top Bottom