Dr. Lawrence Gama ameaga dunia

alikuwa akisumbuliwa na nini?
nauhakika kule Ruvuma muda huu ni msiba mzito,
aliisaidia sana timu ya Majimaji.
Tuko nao pamoja kwenye msiba huu mzito,
Kazi ya Mungu haina makosa.
Tulikupenda ila Mwenyezi Mungu amekupenda zaidi.

Bujibuji, you are very right, huu ni msiba mzito sana kule Ruvuma, hususani mji mzito wa songea na vitongoji vyake ambako aliwahi kuwa mbunge kwa miaka mingi.
Sio kwamba aliisaidia tu timu ya Majimaji, ila huyu ndio Mwanzilishi wa hii timu, na alihusika sana katika kuiimarisha pia akihamasisha ujenzi wa Uwanja a Majimaji na pia akileta wachezaji hodari kama vile Abdallah "King" Kibaden (Mputa), Madaraka Seleman (Mada), Peter Tino, Mhando Mdeve, Octavian Mrope, Celestine "Sikinde" Mbunga na wengineo, bila Kumsahau Kocha maarufu toka Bulgaria Marehemu Samsarov.Ni katika enzi za uongozi wake Ruvuma ilipoweka mkazo sana katika kilimo hasa cha Mahindi ambacho ni zao kuu hadi leo na ujenzi wa nyimba bora. This is surely a big loss to them.
RIP LMG.Amen
 
R.I.P Dr. Laurance Mtazama Gama , bwana alitoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
 
Sijui nilikuwa wapi sikuiona hii? I see, this' a sad news, RIP mzee Gama, poleni wafiwa, sote ni wa njia moja!
 
Habari zilipatikana sasa hivi zinaleza kwamba mwanasiasa na mtumishi wa zamani serikalini, Dr. Laurence Gama ameaga dunia katika Hospitali ya Agakhan, Dar es Salaam. Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi Ameen.

Outstanding men also goes. Pole wanafamilia ya Gama.

Leka
 
Wana ruvuma tutakukumbuka daima kwa yote uloyafanya huku nyumbani uwanja na timu ya majimaji ni vichache kati ya mengi uloyafanya poleni wana familia tupo pamoja hadi mwili utakapopumzika kijijini kwake AMANI MAKORO
 
Msiba utakua wapi? Mbezi Beach karibu na Art Gallery au?
 
Bujibuji, you are very right, huu ni msiba mzito sana kule Ruvuma, hususani mji mzito wa songea na vitongoji vyake ambako aliwahi kuwa mbunge kwa miaka mingi.
Sio kwamba aliisaidia tu timu ya Majimaji, ila huyu ndio Mwanzilishi wa hii timu, na alihusika sana katika kuiimarisha pia akihamasisha ujenzi wa Uwanja a Majimaji na pia akileta wachezaji hodari kama vile Abdallah "King" Kibaden (Mputa), Madaraka Seleman (Mada), Peter Tino, Mhando Mdeve, Octavian Mrope, Celestine "Sikinde" Mbunga na wengineo, bila Kumsahau Kocha maarufu toka Bulgaria Marehemu Samsarov.Ni katika enzi za uongozi wake Ruvuma ilipoweka mkazo sana katika kilimo hasa cha Mahindi ambacho ni zao kuu hadi leo na ujenzi wa nyimba bora. This is surely a big loss to them.
RIP LMG.Amen

You are very right mkuu, alisimamia kidete ujenzi wa uwanja wa majimaji enzi zile, watu, wafanyakazi wa serikali walienda pale kujitolea kubeba tofali na kazi nyingine mpaka wanja likawa tayari.
RIP Lawrence Mtazama GAMA
 
Duh
Pole watanzania, pole wanafamilia.
Mungu awafariji na kuwapa subira
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa.

Mungu ailaze roho ya Dr. Gama mahali pema peponi. Amina
 
Mimi namkubuka haswa wakati wa mchakato wa kutafuta mgombea wa CCM wa Urais mwaka 1995 wakati akiwa katibu mkuu wa CCM. Ndugu Kikwete wakati huo alimsuta hadharani kwa kusema hana imani naye kwa vile alikuwa akimuwekea kiwingu! Mizengwe ya kugombea urais CCM haikuanza juzi juzi. Mungu amrehemu.
 
dah! hii ni habari mbaya kwa kweli, tutamkumbuka kwa mapinduzi ya kilimo mkoani Ruvuma.
 
Bujibuji, you are very right, huu ni msiba mzito sana kule Ruvuma, hususani mji mzito wa songea na vitongoji vyake ambako aliwahi kuwa mbunge kwa miaka mingi.
Sio kwamba aliisaidia tu timu ya Majimaji, ila huyu ndio Mwanzilishi wa hii timu, na alihusika sana katika kuiimarisha pia akihamasisha ujenzi wa Uwanja a Majimaji na pia akileta wachezaji hodari kama vile Abdallah "King" Kibaden (Mputa), Madaraka Seleman (Mada), Peter Tino, Mhando Mdeve, Octavian Mrope, Celestine "Sikinde" Mbunga na wengineo, bila Kumsahau Kocha maarufu toka Bulgaria Marehemu Samsarov.Ni katika enzi za uongozi wake Ruvuma ilipoweka mkazo sana katika kilimo hasa cha Mahindi ambacho ni zao kuu hadi leo na ujenzi wa nyimba bora. This is surely a big loss to them.
RIP LMG.Amen

RIP, Mzee Gama.
Mimi nilishaanza kuwa na wasiwasi maana pamoja na sifa kem kem za utendaji wake ushahidi pekee unaoletwa ni kwenye michezo! Hivi hauwa na mafanikio katika nyanja nyingine? Ni mafanikio gani alipata katika kilimo na ujenzi wa nyumba bora huko Ruvuma? Aliboresha vipi maisha ya wananchi wa mkoa huo?

Amandla......
 
RIP, Mzee Gama.
Mimi nilishaanza kuwa na wasiwasi maana pamoja na sifa kem kem za utendaji wake ushahidi pekee unaoletwa ni kwenye michezo! Hivi hauwa na mafanikio katika nyanja nyingine? Ni mafanikio gani alipata katika kilimo na ujenzi wa nyumba bora huko Ruvuma? Aliboresha vipi maisha ya wananchi wa mkoa huo?

Amandla......

Huyu mzee aliwahi kuanzisha, kuonyesha mfano na kusimamia mapinduzi ya kilimo (kama sikosei iliitwa 'kilimo mlale/ulale') sina uhakika na programu hiyo iliitwaje. Ruvuma hawakuwa wazalishaji wakubwa wa mahindi kabla ya programu hiyo.

Huyu Mzee amejenga kiwanda cha kusaga mahindi (Msamala milling co.) sembe za Azam haziendi Ruvuma. Kule unga unakula kwa bei karibu na bure na unasambazwa hadi ktk maeneo ya makazi na wabeba baiskeli. Upo packed ktk mifuko ya ujazo mbalimbali. Anazo mashine za kisasa kabisa.

Wananchi wa mkoa Ruvuma hawataweza kumsahau huyu mzee.
 
Back
Top Bottom