Tunahitaji mbadala wa CCM na CHADEMA
Kwa hiyo lawama ya kwanza kwa wanachama na mashabiki ni pale walipokubali kugeuzwa kuwa mashabiki wa viongozi ndani ya chama badala ya kuwa mashabiki wa chama(WE MWENYEWE NI MSHABIKI WA ZITTO KWA HOYO BEBA LAWAMA ZAKO PEKE YAKO). Na kwa kuwa ushabiki hupofusha macho na akili, mashabiki wa viongozi hawatofautishi kati ya uongozi na chama(WE MWENYEWE NI KIPOFU WA AKILI HAUJATUELEZA ZILE LAKI MBILI MBILI MLIZOKUWA MNAPOKEA KWA ZITTO ZILIKUWA NA AJENDA GANI). Ni kama vile wamedanganywa na viongozi waliopo na wakakubali kudanganyika, kwamba uongozi wa chama ndio chama, na chama ndio uongozi!(NA WEWE UMEKUBALI KUDANGANYIKA KUWA UONGOZI WA CHAMA NI ZITTO, NA ZITTO NDIO CHAMA)
Ni kwa sababu ya ushabiki kwa viongozi, ndio maana ilifika mahala wanachama na mashabiki wa CHADEMA wakagawanyika katika makundi ya washabikia viongozi(WEWE UKAWA SHABIKI WA ZITTO), na chama kikakosa watu (WATU TUPO BADO NDO MAANA HATUJAONDOKA NA NYIE NA WALA HATUTAONDOKA NA NYIE)wa kukishabikia na hapo kikajikuta hakina mlinzi(HUKO MNAKOENDA SI KUNA GREEN GUARD??).
Makosa yaliyofanywa na uongozi na wanachama wa CHADEMA unafanana sana na makosa yaliyofanywa na viongozi na wanachama wa NCCR Mageuzi miaka ya tisini.(NI UCHIZI WA FIKRA KUMFANANISHA MREMA WA MIAKA YA 90 NA ZITTO....UTAKUWA MWEHU). Mbadala CCM na CHADEMA.(UFUASI WA CHAMA SIO MAKALIO, KWAMBA KILA MTU ANAYO, ANZISHENI CHAMA CHENU MKIJENGE, MBONA BADO MNANG'ANG'ANIA???)
Source: Raia Mwema